Dauda Herbal Medicine

Dauda Herbal Medicine Tiba na ushauri

*IJUMAA YA LEO TUNA OFFER YA DAWA MBILI* *🍆🍌YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UKUNI**🔥💪NA YA NGUVU ZA KIUME💪🔥*Nafasi hii ni kw...
25/07/2025

*IJUMAA YA LEO TUNA OFFER YA DAWA MBILI*

*🍆🍌YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UKUNI*

*🔥💪NA YA NGUVU ZA KIUME💪🔥*

Nafasi hii ni kwa watu watano tu

```📍💸💸Ingia tu inbox offer ya leo ni ya zaidi ya asilimia 35%```

Bonyeza link ikulete inbox kwangu
https://wa.me/message/LHKMMYWUG2Z7D1

*Hizi ni dalili tano za ngiri (hernia) kwa mwanaume ambazo hujitokeza mara nyingi*1️⃣ Uvimbishaji au uvimbe sehemu ya ch...
09/07/2025

*Hizi ni dalili tano za ngiri (hernia) kwa mwanaume ambazo hujitokeza mara nyingi*

1️⃣ Uvimbishaji au uvimbe sehemu ya chini ya tumbo au kinena

Uvimbe huu huonekana zaidi wakati wa kusimama, kukohoa au kubeba vitu vizito. Mara nyingi hutokea upande mmoja wa kinena.

2️⃣ Maumivu au hisia ya kuchoma sehemu ya kinena

Mwanaume huhisi maumivu au kuchomachoma katika eneo la kinena, hasa anapoinama au kunyanyua vitu.

3️⃣ Maumivu yanayosambaa hadi kwenye korodani

Ngiri ya kinena inaweza kusababisha maumivu yanayoelekea moja kwa moja hadi kwenye korodani.

4️⃣ Hisia ya uzito au kushuka kwa kitu tumboni

Mwanaume huhisi kana kwamba kuna kitu kinavuta au kushuka ndani ya tumbo kuelekea kwenye kinena au korodani.

5️⃣ Maumivu huongezeka ukifanya shughuli ngumu

K**a vile kubeba mizigo, kufanya mazoezi au kukohoa – maumivu au uvimbe huongezeka.

🔴 Tahadhari:
Ngiri ikiachwa bila kutibiwa inaweza kuwa hatari kwa maisha, hasa ikiwa inasababisha kuharibika kwa sehemu ya utumbo. Ni vyema kumwona daktari kwa uchunguzi sahihi.

*Epuka Mambo Haya Matano K**a Unataka kua na  Nguvu za Kiume za Kutosha*1. 🍻 Uunywaji pombe– hii hupunguza uwezo wa nguv...
07/07/2025

*Epuka Mambo Haya Matano K**a Unataka kua na Nguvu za Kiume za Kutosha*

1. 🍻 Uunywaji pombe
– hii hupunguza uwezo wa nguvu za kiume.

2. 🚬 Kuvuta sigara – huharibu mishipa ya damu ya uume.

3. 🍔 Kula vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi – husababisha unene na kupunguza nguvu.

4. 🛌 Kutokupumzika vizuri – usingizi hafifu huathiri homoni za kiume.

5. ⚠️ Msongo wa mawazo – huua hamu na uwezo wa tendo la ndoa.

Asili ni Asili Yetu
27/01/2024

Asili ni Asili Yetu

*MAMBO YA KUZINGATIA KWA MGONJWA WA BAWASIRI*1.📎Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi 2.📎Jitahidi kun...
07/01/2024

*MAMBO YA KUZINGATIA KWA MGONJWA WA BAWASIRI*

1.📎Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
2.📎Jitahidi kunywa maji ya mengi kwa siku
3.📎Acha kufanya mapenzi kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
4.📎Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
5.📎 Acha kunywa pombe
6.📎Punguza kula nyama nyekundu
7.📎Punguza matumizi ya pili pili.
8.📎Jitibie vidonda vya tumbo
9.📎 Jitibie Ngiri
10.📎 Dhibiti uzito wako
11.📎 Jiepushe/punguza kunyanyua vitu vizito mara kwa mara
13: 📎 Jiepushe kula vyakula vyenye kusababisha kupata choo kigumu
14:📎 Jiepushe kufanya mazoezi magumu

Nipigie0653190699 nikupe bidhaa ya uhakika cha chap
23/05/2023

Nipigie
0653190699 nikupe bidhaa ya uhakika cha chap

*TIBA YA KUDUMU YA NGIRI (HERNIA) , CHANGO KWA WANAUME na BAADHI KWA WANAWAKE *____________________*➖(+255653190699)*___...
05/04/2023

*TIBA YA KUDUMU YA NGIRI (HERNIA) , CHANGO KWA WANAUME na BAADHI KWA WANAWAKE *
____________________

*➖(+255653190699)*
____________________

➖NGIRI (HERNIA) CHANGA NA SUGU (ILIYOKOMAA)
____________________

➖ DALILI ZA NGIRI CHANGA KWA MWANAUME
____________________
1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto
____________________

➖DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)
____________________
1. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3. kufanyiwa UPASUAJI wa herbia mara 1
4. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5. kende( pumbu) kupotea zote au moja
6. Kenda kujaa maji.
7. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wwnye kujaa k**a nyama
8. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
10. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/
____________________
➖MAZINGATIO
____________________
➖k**a ukiitaji tiba ya kudumu ya ngirii changa na ngiri sugu (iliyo komaa) hata ikiwa na uvimbe wa aina yoyote.Nipigie simu moja kwa moja au nitext watsapp andika "NGIRI" ntakujibu haraka👇👇👇👇👇
____________________

➖Tanzania -Dar -es-salaam
➖Dauda Herbs
➖(+255653190699)
Call➖sms&txt➖Whatsapp ➖telegram ➖imo

____________________

11/01/2023
*FAIDA ZA MAGIC FLUS POWDER*———————————————⇒⇒Calls/WhatsApp 0653190699⇐⇐> Kupunguza mafuta mwilini> Kupunguza uzito wa m...
11/11/2022

*FAIDA ZA MAGIC FLUS POWDER*
———————————————
⇒⇒Calls/WhatsApp 0653190699⇐⇐

> Kupunguza mafuta mwilini
> Kupunguza uzito wa mwili
> Kuondosha sumu mwilini.
> Hutibu bawasiri.
> Nzuri kwa matatizo ya
kutokupata choo.
> Husaidia mmeng'enyo wa
chakula.
> Hutibu maradhi ya ngozi.
> Huondoa gasi tumboni
> Huondosha harufu mbaya
ya kinywa.
>Inaondoa kitambi cha mafuta.
> Inaondoa minyama uzembe.
> Inaboresha mzunguko wa damu.
> Inazui sukari isifyonzwe mwilini.
> Inaongeza uwezo wa mwili kuchoma mafuta.
> Inazui mafuta yasifyonzwe na kuhifadhiwa mwilini.
> Inaondoa hamu ya kupenda vitu vitamu.
> Inazui ubadilishwaji wa chakula cha wanga.
> Inayayusha mafuta yaliyoko mwilini
———————————————

*Matumizi yake*
> kijiko kidogo cha chai☕️ mara mbili kwa siku.

*🌴🩺MISULI SOLUTION*Mara nyingi vijana na watu wazima huwa wanalalamikia tatizo la ulegevu wa dhakar wakati wa tendo la n...
09/11/2022

*🌴🩺MISULI SOLUTION*

Mara nyingi vijana na watu wazima huwa wanalalamikia tatizo la ulegevu wa dhakar wakati wa tendo la ndoa

Tatizo hilo huwa ni Sehemu miongoni mwa sehemu za upungufu wa nguvu za kiume, hivyo ipo haja ya kujua jinsi ya kukabiliana na changamoto hii kupitia miti shamba,

Leo nitatoa somo la jinsi ya kuandaa Dawa inayoimarisha na kukomaza misuli ya Dhakar

*🌴🩺MATIRIO*

1️⃣NJANO POWDER
2️⃣MUSTARD OIL
3️⃣ASALI MBICHI
4️⃣HALTITI POWDER
5️⃣UBUYU WA UNGA

*🌴🩺KIWANGO🩺🌴*

Asali mils 50
Mustard Oil mils 20
Haltiti kijiko kidogo cha chai
Njano powder kijiko cha chakula kimoja
Unga wa Ubuyu kijiko cha chai

*🩺🌴Maandalizi🩺🌴*

Changanya hizo dawa za unga pamoja kisha changanya hayo mafuta na asali changanya hivyo vitu vizuri kisha koroga kwa pamoja vizuuri kisha ikishaachanyanyika vizuri

*Hapo itakuwa tayari kwa kwa matumizi*

https://chat.whatsapp.com/CcuZC4e0jWMDQcQiO2LCNI

Address

Tanga

Opening Hours

09:00 - 17:00

Telephone

+255653190699

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dauda Herbal Medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dauda Herbal Medicine:

Share