Rucho Herbal

Rucho Herbal Tunawasaidia Wahanga wa kuzidi kwa Acid tumboni n.k kwa kutoa Elimu, Ushauri na Matibabu

___________________*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)*⚫ Zipo dalili nyingi ambaz...
03/09/2023

___________________

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)*

⚫ Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:

1.πŸ–‡οΈ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.πŸ–‡οΈ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.πŸ–‡οΈ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.πŸ–‡οΈ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.πŸ–‡οΈ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.πŸ–‡οΈ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.πŸ–‡οΈ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.πŸ–‡οΈ Kupata kikokozi kisichoisha
11.πŸ–‡οΈ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.πŸ–‡οΈ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.πŸ–‡οΈ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.πŸ–‡οΈ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.πŸ–‡οΈ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.πŸ–‡οΈ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.πŸ–‡οΈ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.πŸ–‡οΈ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.πŸ–‡οΈ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.πŸ–‡οΈKichefuchefu na kutapika.

⚫ Ili kupata Elimu zaidi Juu ya Afya yako, Ushauri na Matibabu pia basi usisite kuwasilian nasi.

https://wa.me/message/PGIVY6D5OKDFG1

GERD SOLUTION
From: Rucho Herbal Clinic
Pongwe Tanga & Ilala Dsm Tanzania.
+255 787 278 759
_______________________

____________________________BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX1.πŸ–‡οΈ Saratani/Kansa ya koo2.πŸ–‡οΈ Kupungua kwa ukubwa wa koo/Ku...
26/08/2023

____________________________

BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX

1.πŸ–‡οΈ Saratani/Kansa ya koo

2.πŸ–‡οΈ Kupungua kwa ukubwa wa koo/Kuziba kwa koo(EUSOPHAGEAL STRICTURE)

3.πŸ–‡οΈ Wasiwasi/Khofu isiyokuwa na kikomo.

4.πŸ–‡οΈ Kukosa amani ya kuishi duniani na kuona dunia nzima imekutenga

5.πŸ–‡οΈ Kupata Bawasiri kutokana na kujisaidia choo Kigumu

6.πŸ–‡οΈ Kupoteza kuwezo wa kushiriki tendo (Wanawake & wanaume)

7.πŸ–‡οΈ Mwili kudhoofika na kukonda kupita kiasi. Hasa pale Acid reflux hupelekea kupotea hamu ya kula.

8.πŸ–‡οΈ Kunenepa kupita kiasi. Hasa pale Acid hupelekea upate njaa mara kwa mara na kupelekea kula mara kwa mara.

9.πŸ–‡οΈ Kupata Fangasi wa mdomoni na katika mfumo mzima wa chakula

10.πŸ–‡οΈ Kupata ngiri ya Kifua /Hiatal hernia.

____________________________
GERD SOLUTION
From Rucho Herbal Clinic
Pongwe Tanga & Ilala Dsm Tanzania
+255 787 278 759

____________________________A .HATUA YA KWANZA (MILD GERD).● Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika h...
26/08/2023

____________________________

A .HATUA YA KWANZA (MILD GERD).

● Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.

DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)

1.πŸ–‡οΈ Kiungulia
2.πŸ–‡οΈ Maumivu ya kifua
3.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kuna vitu vya kunata katika kooni
4.πŸ–‡οΈ Kucheua chakula au vinywaji

⚫ Katika Hatua hii,mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.

Hizi ni miongoni mwa Hatua za Kuzidi kwa Acid Tumbo, unaweza kuwasiliana nasi ili kujua hatua zingine zaidi.

GERD SOLUTION
From Rucho Herbal Clinic
Pongwe Tanga & Ilala Dsm Tanzania
+255 787 278 759
____________________________

____________________MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI1.πŸ–‡οΈ Uvutaji wa sigara2.πŸ–‡οΈ Unywaji wa po...
26/08/2023

____________________

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI

1.πŸ–‡οΈ Uvutaji wa sigara
2.πŸ–‡οΈ Unywaji wa pombe
3.πŸ–‡οΈ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.πŸ–‡οΈ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.πŸ–‡οΈ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.πŸ–‡ Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.πŸ–‡οΈ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.πŸ–‡οΈ Kuwa Mjamzito
9.πŸ–‡οΈ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.πŸ–‡οΈ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

_________________________

______________________TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD) NI NINI.?Gastroesophageal reflux d...
26/08/2023

______________________

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD) NI NINI.?

Gastroesophageal reflux disease (GERD);

⚫ Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

_______________________

Address

Pongwe Tanga
Tanga

Telephone

+255787278759

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rucho Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Rucho Herbal:

Share