Misima Herbal Clinic Center

Misima Herbal Clinic Center Misima Herbal Clinic Center 🌿🌵

PETE YA MVUTO NA BAHATI KWENYE MAISHA(KAZI,MAHUSIANO,NDOA)      Unawezajikuta unapoteza vitu vyako ovyo maishai au pesa ...
25/05/2025

PETE YA MVUTO NA BAHATI KWENYE MAISHA
(KAZI,MAHUSIANO,NDOA)

Unawezajikuta unapoteza vitu vyako ovyo maishai au pesa kutumika vibaya,kutooa au kuolewa,nuksi kwenye mambo yako,kupoteza heshima au cheo chako na hata kutokua na bahati ya mafanikio kwa kutokamilisha ununuaji wa pete hii.

Pete ni muhimu sana kwa wenye matatizo hayo niliyoyasema Hapo juu yanayoitaji pete kutokana na mafanikio yako ya ,biashara,kazi na hata mapenzi unaweza ukawa hutakiwi au hupendezi kwa watu ili hali mungu kakujalia uzuri wako lakini kukosa mume au mke wakupendana nae

Tafakari hilo la pete vizuri sana baada ya kusoma kisha ujuulize maswali mwenyewe pengine ulishawai ambiwa na mwalimu ununue pete ukasahau au pengine ulioteshwa lakini ukapuuzia

24/03/2025
SAFISHA FIGO ZAKO KWA KUTUMIA MAJANI YA NYANYA  CHUNGU (NTOLE) KUEPUKA DIALYSIS 1.Yakatekate majani kuwa vipande vidogov...
19/03/2025

SAFISHA FIGO ZAKO KWA KUTUMIA MAJANI YA NYANYA CHUNGU (NTOLE) KUEPUKA DIALYSIS
1.Yakatekate majani kuwa vipande vidogovidogo .
2.Osha vizuri kuondoa uchafu na wadudu.
3.Weka kwenye chubgu chako au sufuria safi lenye maji safi.
4. Chemsha kwa dakika 10.
5. Chuja kisha weka kwenye chupa safi dawa yako hiyo .
6. Iache Ipoe vizuri.Tumia Glasi moja iliyojaa.Angalia mkojo wako unapokojoa.

1.Utakojoa uchafu sana usiogope.
2.Utagundua kuwa chumvi chumvi na uchafu mwingine ndani ya mwili utatoka kupitia mkojo wako!

✅RUDISHA NDOA NA MAHUSIANO YAKO KWA MCHANGANYIKO WA DAWA HIZI.📞📱+255 752 326 159 WHATSAPP Bonyeza maandishi ya Blue kuwa...
16/03/2025

✅RUDISHA NDOA NA MAHUSIANO YAKO KWA MCHANGANYIKO WA DAWA HIZI.

📞📱+255 752 326 159 WHATSAPP

Bonyeza maandishi ya Blue kuwasiliana na mimi Whatsapp muda wowote wa.me/+255766106884

🔯NI DAWA YA KURUDISHA MAHUSIANO YAKO
🔯DAWA YA KUREJESHA NDOA YAKO ILIYO VUNJUKA
🔯NI DAWA YA MVUTO KWENYE MAHUSIANO YAKO
🔯NI DAWA YA KUVUMISHA JINA LAKO POPOTE

☪️CHUKUA MWIBA WA KARUNGUYEYE KISHA UCHOME KWENYE MKAA KISHA USAGE UPATE UNGA LAINI CHANGANYA NA DAWA HIZI ZOTE SEHEMU MOJA
✅MLIPULIPU 🌿
✅ITINGINYWA🌵
✅MELEMELE🌿
✅KASELLA YA BARA🌵
✅MVUMO🌴
✅UNGA WA KIJUMBA CHA KISENYA KUNI🌿
✅LUFYAMBO 🌳

VITU VYOTE VIWEKE KWENYE UNGO PAMOJA,KISHA ANIKA JUANI NDANI YA SIKU 7 ACHA VIKAUKE KABISA BAADA YA HAPO TWANGA VYOTE KWENYE KINU UPATE UNGA UNGA LAINI

✅UTAUTUMIA KWA KUJIFUKISHA (NYUNGU) NA NYINGINE UTATUMIA KUOGA KWA MANUIZI YAKO MAZITO NA KUMTAJA MPENZI WAKO KISHA UNAWEKA NDANI YA MAJI YA KUOGA BAADA YA HAPO UNASEMEA YOTE UNAYOHITAJI KWENYE NDOA YAKO AU KWENYE MAHUSIANO YAKO KISHA OGA.

HII ITAKUSAIDIA
🕉️KURUDISHA NDOA YAKO
🕉️ KURUDISHA MAHUSIANO YAKO
🕉️KUMFUNGA MKE AU MME WAKO
🕉️KUONDOA KELELE ZA UKE WENZA

KWA CHANGAMOTO YOYOTE NAOMBA TUWASILIANE KWA NAMBA ZANGU (0752 326 159)

✅Kurudisha ndoa yako
✅Kurudisha Mahusiano yako
✅Matatizo ya uke mwenza
✅Matatizo ya uzazi (mama)
✅Kusafisha nyota na Kuweka kinga
✅Kuondoa Chuma ulete Kazini
✅Kuwa na Mvuto kwenye Biashara
✅Kinga ya Biashara mali na Mifugo

Vyote hivi nitakusaidia kwa wewe kununua vifaa vya kufanyia jambo lako inshallah nafanya hivi ili kuwasaidia watu wote wenye changamoto.

📞📱+255 752 326 159 WHATSAPP

Bonyeza maandishi ya Blue kuwasiliana na mimi Whatsapp muda wowote wa.me/+255766106884

I've received 1,900 reactions to my posts in the past 30 days. Thanks for your support. 🙏🤗🎉
01/03/2025

I've received 1,900 reactions to my posts in the past 30 days. Thanks for your support. 🙏🤗🎉

‎☪️أسهل طريقة لختم القرآن الكريم في رمضان المبارك☪️NJIA NYEPESI ZAIDI ZA KUKHITIMISHA (KUMALIZA) QUR AAN TUKUFU (MARA MO...
01/03/2025

‎☪️أسهل طريقة لختم القرآن الكريم في رمضان المبارك

☪️NJIA NYEPESI ZAIDI ZA KUKHITIMISHA (KUMALIZA) QUR AAN TUKUFU (MARA MOJA AU ZAIDI YA MARA MOJA) NDANI YA MWEZI WA RAMADHANI WENYE BARAKA

طريقة ختم القرآن في خلال (30 يوم) كل يوم جزء من القرآن.

☪️Njia ya kwanza ya kumaliza Qur aan ndani ya siku thelathini (30) kila siku utasoma juzuu moja ktk Qur aan.

‌‏- الفجر : 4 صفحات
Swala ya alfajiri utasoma kurasa 4.

‌‏- الظهر : 4 صفحات
Swala ya adhuhuri utasoma kurasa 4.

‌‏- العصر : 4 صفحات
Swala ya alasiri utasoma kurasa 4.

‌‏- المغرب : 4 صفحات
Swala ya magharibi utasoma kurasa 4.

‌‏- العشاء : 4 صفحات
Swala ya ishaa utasoma kurasa 4.

طريقة ختم القرآن في (15 يوم) كل يوم خلال جزئين من القرآن.

‎🔹Njia ya pili ya kumaliza Qur aan ndani ya siku kumi na tano (15) kila siku utasoma juzuu mbili ktk Qur aan.

‌‏- الفجر : 8 صفحات
Swala ya alfajiri utasoma kurasa 8.

‌‏- الظهر : 8 صفحات
Swala ya adhuhuri utasoma kurasa 8.

‌‏- العصر : 8 صفحات
Swala ya alasiri utasoma kurasa 8.

‌‏- المغرب :8 صفحات
Swala ya magharibi utasoma kurasa 8.

‌‏- العشاء : 8 صفحات
Swala ya ishaa utasoma kurasa 8.
‌‏
‎طريقة ختم القرآن في خلال (12 يوم) كل يوم جزئين ونصف من القرآن.

🔸Njia ya tatu ya kumaliza Qur aan ndani ya siku kumi na mbili (12) kila siku utasoma juzuu mbili na nusu ktk Qur aan.

‌‏- الفجر : 10 صفحات
Swala ya alfajiri utasoma kurasa 10.

‌‏- الظهر : 10 صفحات
Swala ya adhuhuri utasoma kurasa 10.

‌‏- العصر : 10 صفحات
Swala ya alasiri utasoma kurasa 10.

‌‏- المغرب : 10 صفحات
Swala ya magharibi utasoma kurasa 10.

‌‏- العشاء : 10 صفحات
Swala ya ishaa utasoma kurasa 10.

‎طريقة ختم القرآن في خلال ( 10 أيام ) كل يوم ثلاثة أجزاء من القرآن.

🔹Njia ya nne ya kumaliza Qur aan ndani ya siku kumi (10) kila siku utasoma juzuu tatu ktk Qur aan.

‌‏- الفجر : 12 صفحة
Swala ya alfajiri utasoma kurasa 12.

‌‏- الظهر : 12 صفحة
Swala ya adhuhuri utasoma kurasa 12.

‌‏- العصر : 12 صفحة
Swala ya alasiri utasoma kurasa 12.

‌‏- المغرب : 12 صفحة
Swala ya magharibi utasoma kurasa 12.

‌‏- العشاء : 12 صفحة
Swala ya ishaa utasoma kurasa 12.
‌‏
‎هذا البرنامج لأصحاب الهمم العالية طريق ختم القرآن في خلال (6 أيام) كل يوم خمسة أجزاء من القرآن.

🔸Mpangilio huu na utaratibu huu na ratiba hii ni kwaajili ya watu wenye bidii na pupa mno na maazimio ya hali ya juu kabisa.
🔹Njia ya tano ya kumaliza Qur aan ndani ya siku sita (6) kila siku utasoma juzuu tano ktk Qur aan.

‌‏- الفجر : 20 صفحة
Swala ya alfajiri utasoma kurasa 20.

‌‏- الظهر : 20 صفحة
Swala ya adhuhuri utasoma kurasa 20.

‌‏- العصر : 20 صفحة
Swala ya alasiri utasoma kurasa 20.

‌‏- المغرب : 20 صفحة
Swala ya magharibi utasoma kurasa 20.

‌‏- العشاء : 20 صفحة
‌‏swala ya ishaa utasoma kurasa 20.

👈🏾انشرها في المجموعات فإنك فلا تدري كم من الأجر سيصلك حين يختم أحدهم القرآن الكريم بسببك.

👉🏾Sambaza na tawanya na eneza ujumbe huu ktk magrupu mbalimbali ya dini ya Uislamu au magrupu mbalimbali ya Waislamu, basi hakika yako wewe haujui utapata malipo kiasi gani wakati atakapomaliza mmoja wao Qur aan Tukufu (miongoni mwa watu watakaopata ujumbe huu) kwasababu yako.

🔺NYONGEZA KUTOKA KWA ALIYETAFSIRI:
🔸Ewe ndugu yangu Muislamu Mtukufu ALLAH akubariki na akuhifadhi, jitahidi sana kusoma Qur aan Tukufu ndani ya mwezi wa Ramadhani na usiwe mvivu, na chagua njia moja ktk njia hizo unayoweza uitumie au jiwekee utaratibu mwengine unaoweza uutumie na usijizuilie kheri,na hakika Qur aan Tukufu iliteremshwa ndani ya mwezi wa Ramadhani na haitokuwa jambo la sawa na si katika ukamilifu wa imani kuacha kuisoma Qur aan.

👈🏾قَالَ اللَّهُ تَعَالَى:

شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنْزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَنْ شَهِدَ مِنْكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَنْ كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ

👉🏾Amesema ALLAH Aliyejuu Mtukufu Ametukuka:

Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur aani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hesabu katika siku nyengine.ALLAH anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hesabu, na mumtukuze ALLAH kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.

Sura ya 2 aya ya 185.

🔹Ewe ndugu yangu Muislamu Mtukufu, jitahidi sana kujifundisha Qur aan Tukufu na wafundishe watoto wako Qur aan Tukufu, na chukulia umuhimu mkubwa sana swala la kujifundisha kitabu chako kitukufu, na chukulia umuhimu mkubwa sana wa kuwafundisha watoto wako kitabu chao kitukufu kuliko unavyochukulia umuhimu wa kuwatafutia rizqi, na ikiwa haukujifundisha Qur aan Tukufu, hautoweza kumaliza Qur aan Tukufu kwa kusoma vizuri zaidi.
🌟Tanbiih: Hakuna idadi maalum ya siku za kumaliza Qur aan bali, ni bora zaidi Muislamu ajitahidi kusoma Qur aan mara kwa mara, na asimalize Qur aan chini ya siku tatu, na ikiwa Muislamu anapupa mno na bidii zaidi na maazimio ya juu kabisa na ak**aliza Qur aan chini ya siku tatu yaani ak**aliza Qur aan kwa siku mbili au moja siyo haramu na wako baadhi ya waja wema waliofanya hivyo.
Lakini siku tatu ni bora zaidi..

Waumini wa Kiislamu wakifuatilia mafundisho. Picha|Hawa AliSIFA zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu Subhānahu Wata‘āla,...
28/02/2025

Waumini wa Kiislamu wakifuatilia mafundisho. Picha|Hawa Ali

SIFA zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu Subhānahu Wata‘āla, swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad Swallallahu Alayhi Wasallam, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya Kiyama.

Tunapoelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, ni wajibu wetu kuukaribisha kwa shauku, furaha, na maandalizi ya kiroho na kimwili. Ramadhan ni mwezi wa rehema, maghfira na ukombozi kutokana na moto wa Jahannam.

Ni fursa adhimu kwa waumini kujitakasa, kujirekebisha na kujikaribisha zaidi kwa Mwenyezi Mungu.

Katika mwezi huu, amri ya kufunga imewekwa juu ya waumini k**a alivyosema Mwenyezi Mungu katika Qur’ani Tukufu: “Enyi mlioamini! Mmeandikiwa Saumu k**a ilivyoandikwa kwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu.” (Surah Al-Baqarah: 183).

Hii inaonyesha kuwa saumu si tu ibada ya kujizuia na chakula na vinywaji bali ni safari ya kujifunza uchaji Mungu, subira, na kujidhibiti nafsi.

Tunapokaribia Ramadhan, ni vyema tuanze kujiandaa kwa kufanya toba ya dhati kwa Allah, kuondoa kinyongo, chuki, na husuda mioyoni mwetu.

Tuwaombe msamaha wale tuliowakosea na tujiepushe na mambo yote yanayoweza kupunguza thawabu zetu katika mwezi huu mtukufu.

Pia, tujiimarishe katika ibada k**a kusoma Qur’ani, kuswali sunna, na kutoa sadaka.

Mtume Swallallahu Alayhi Wasallam alikuwa mkarimu sana katika Ramadhan, k**a alivyosimulia Ibn Abbas: “Mtume alikuwa mkarimu sana, na alikuwa mkarimu zaidi katika mwezi wa Ramadhan…” (Bukhari na Muslim).

Ramadhan ni wakati wa kuimarisha uhusiano wetu na Qur’ani kwa sababu ndio mwezi ulioteremsha Kitabu hiki kitukufu.

Mwenyezi Mungu anasema: “Mwezi wa Ramadhan ambao imeteremshwa humo Qur’ani…” (Surah Al-Baqarah: 185).
Hivyo, tujitahidi kuisoma, kuizingatia na kuifuata kwa vitendo.

Kwa kumalizia, tuombe Mwenyezi Mungu atufikishe Ramadhan tukiwa na afya njema, atujaalie tufunge kwa ikhlasi, na atupe fursa ya kujipatia msamaha wake na pepo yake.

DALILI ZA MTU ALIYEINGIWA NA SHETANI WA KIJINI NDANI YA KIWILIWILIMtu anaweza kuwa na shetani wa KIJINI na asijitokeze n...
28/02/2025

DALILI ZA MTU ALIYEINGIWA NA SHETANI WA KIJINI NDANI YA KIWILIWILI

Mtu anaweza kuwa na shetani wa KIJINI na asijitokeze na ikawa anasumbuliwa na maumivu tu au tafrani za kindoa , kizazi , nuksi , mikosi na akashindwa kuelewa Nini kinamsumbuwa
Zifuatazo ni baadhi ya dalili za MTU kuwa na shetani wa KIJINI :
1. Kuumwa tumbo chini ya kitovu kwa akina mam
2. Kuumwa kichwa upande mmoja , masikio , meno, mgongo, kiuno na kubana kifua.
3. Moyo kwend mboo na kushtuka bila ya sababu
4. Kushuka Moto mwili hasa miguu pmj na ganzi na maumivu makali
5. Kutembea vitu mwilini
6. Kuota unaingilia kinyume na maumbile
7. Kushtuka Mara kwa Mara usingizin
8. Kuota watu watishao
9.kuota unafany mashauri na watu waliokufa ( mizimu)
10. Kuota unafanya shughuli zote za mazishi
11. Kuota ibada ziszo na muelekeo
12. Julia ,kucheka , kusema na kupiga kelele usingizin ( jinamizi )
13. Kuota ndot za vitisho km wanyam wakali au unafanyiwa uadui au umezingirwa na maji , .
14 kuota unapaa hewani
15 . Kujihisi unaingilia au unaingilia Sio ndotoni .
16. Hasira , uvivo , hofu bila ya sababu
17. Kuvurugikiwa mipango ya kuoa ama kuolewa Mara kwa Mara
18. Kuyeyuka mimb na kuharibik bila sabab za msingi
19. Kuota unapaa au unaolew , unazaa , unanyonyesha
20. Kuharibik mimb baada ya kuota unafany tendo la ndowa na mtu atishae
21kusahau sahau Mara kwa Mara
22. Tamaa kupita kiasi na kujihisi no mtu wa thamani Sana kinyume na ulivo

Zingatia:
Hizo no baadh tu ya dalili na Sio lazima uwe nazo zote , ukiwa na chache tu unatosha kujijuwa , na pia hio sababu iwe ni ya Mara kwa Mara Sio umeota Mara moja au mbili.

Asalam walyekum..........Katika kuukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani sitakuwa Tanga kwa kipindi Chote Cha mwezi mtuku...
27/02/2025

Asalam walyekum..........
Katika kuukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani sitakuwa Tanga kwa kipindi Chote Cha mwezi mtukufu nitakuwa visiwa vya mafya kwa muda wote wa ramadhani

Wale ambao mlikuwa mkiniuliza k**a nitafanya kazi kipindi Cha ramadhani jibu ni ndiyo ila itakuwa kwa muda maalumu ratiba ni kuanzia saa 7:00 Asubuhi
Mpaka saa 12:30 jioni Baada ya muda huo sitafaya kazi

Kumbuka:Mimi sifanyi Ramli Wala sitibu kwa kutumia shirki Duwaaa ni dawa tosha kwa watu wenye changamoto mbalimbali

KWA SHIDA MBALIMBALI K**A NDOA, MUME AMEKUACHA AU ANAHANGAIKA NJE YA NDOA/MPENZI WAKO AMEKUACHA/UPO KWENYE UCHUMBA KWA MUDA MREFU UNAITAJI NDOA/MWANAFUNZI UNASOMA LAKINI DARASANI HUELEWI CHOCHOTE/ UMEIBIWA AU KUTAPELIWA? UMEMKOPESHA MTU HATAKI KUKULIPA/KUONGEZWA MSHAHARA KAZINI/MKE MWENZA ANAKULOGA/BIASHARA ZAKO KWENDA VIBAYA NK.

NIPIGIE SIMU KWA KUTUMIA NAMBA HII ILI NIKUSAIDIE JAMBO LAKO HARAKA +255752326159
HAKIKISHA NAMBA UNAYONIPIGIA IMESAJILIWA KWA JINA LANGU YAHAYA JUMA KABANDA

Faida Tano za Kitunguu Saumu:1. Huimarisha kinga ya mwili – Kitunguu saumu kina uwezo wa kuimarisha mfumo wa kinga ya mw...
21/02/2025

Faida Tano za Kitunguu Saumu:

1. Huimarisha kinga ya mwili – Kitunguu saumu kina uwezo wa kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili kutokana na kuwa na kiungo kinachoitwa allicin ambacho husaidia kupambana na maambukizi.

2. Husaidia kudhibiti shinikizo la damu – Kitunguu saumu kimeonekana kusaidia kupunguza shinikizo la juu la damu kwa watu wenye shinikizo la damu (hypertension). Hii ni kwa sababu husaidia kutanua mishipa ya damu.

3. Hupunguza kolestroli mbaya – Kitunguu saumu husaidia kupunguza kiwango cha kolestroli mbaya (LDL) mwilini, hivyo kusaidia kudhibiti hatari ya magonjwa ya moyo na kiharusi.

4. Husaidia kuondoa sumu mwilini – Kitunguu saumu ni dawa ya asili inayosaidia mwili kuondoa sumu na kemikali hatarishi zinazoweza kuleta magonjwa.

5. Huboresha afya ya ngozi – Kitunguu saumu kina virutubisho vinavyosaidia kupunguza upele, chunusi, na magonjwa ya ngozi kutokana na sifa zake za kupambana na bakteria na fangasi.

Jinsi ya Kutumia Kitunguu Saumu:

1. Kwa kuimarisha kinga: Saga punje moja au mbili za kitunguu saumu na zichanganye na kijiko cha asali, kula mchanganyiko huu mara moja kwa siku.

2. Kwa kushusha shinikizo la damu: Tumia punje tatu hadi nne za kitunguu saumu ghafi kila siku kwa kutafuna au kumeza na maji.

3. Kwa kupunguza kolestroli: Meza punje moja au mbili za kitunguu saumu kila siku kabla ya chakula cha asubuhi.

4. Kwa kuondoa sumu mwilini: Tumia kitunguu saumu ghafi kwa kumeza punje moja au mbili kila asubuhi pamoja na maji ya uvuguvugu.

5. Kwa afya ya ngozi: Saga kitunguu saumu na paka kwenye ngozi yenye upele au chunusi kwa dakika chache, kisha osha na maji ya uvuguvugu. Rudia kila siku mpaka upate nafuu.

Angalizo kwa Watu Wenye Presha ya Kushuka (Low Blood Pressure): Watu wenye presha ya kushuka wanatakiwa kutumia kitunguu saumu kwa tahadhari, kwani kinaweza kupunguza zaidi shinikizo la damu. Ni vyema kutumia kwa kiasi kidogo au kushauriana na daktari kabla ya kuanza matumizi ya kitunguu saumu, hasa kwa wale wanaotumia dawa za presha.

0752326159
Sheikh Yahaya Juma

16/02/2025

1️⃣ DUA YA ISTIKHARA YA NDOA
-------------------------------------------------------------------------------
✅Pindi mtu anapo oneleya kufanya istikhara kwajili ya ndoa, basi mweke yule mtu amabye utamuowa/atakuowa katika fikra unapotia niyah, Kisha chukua wudhu na uswali, kisha mshukuru ALLAH, lete takbir, kisha omba dua ifuatayo:
اللَّهُمَّ إِنَّكَ تَقْدِرُ وَلَا أَقْدِرُ وَتَعْلَمُ وَلَا أَعْلَمُ وَأَنْتَ عَلَّامُالْغُيُوبِ ، فَإِنْ رَأَيْتَ أَنَّ فِي فُلَانَةِ خَيْرَاً لِي فِي دِينِي وَدُنْيَايَ وَآخِرَتِي فَاقْدُرْهَا لِي وَإِنْ كَانَ غَيْرُهَا خَيْرٌ مِنْهَا لِي فِي دِينِي وَآخِرَتِي فَاقْدُرْهَا لِي

✅Allahhuma innaka takdiru wala akdiru, wata'llamu wala A'llamu, wanta 'allamul ghuyuubi, fain raayta anna fiy (taja jina lake) khayran liy fiy diiniy wa dunyaayah wa aakhiratiy fakdurhaa(k**a ni mwanamke anaomba dua hii atasema FAKDURHUU) liy, wa inkaana ghayruhaa(k**a ni mwanamke anaomba dua hii atasema GHAYRUHUU) khayrun minhaa(k**a ni mwanamke anaomba dua hii atasema MINHUU) liy fiy diiniy wa aakhiratiy fakdurhaa(k**a ni mwanamke anaomba dua hii atasema FAKDURHUU) liy.
__________________________________________________
2️⃣DUA YA KUKUFANYA UPATE MCHUMBA MWEMA
-------------------------------------------------------------------------------
✴BISMILLAAHI RRAHMAANI RRAHIIM. WALHAMDU LILLAAHI RABBIL `AALAMIIN

✴WASSALAATU WASSALAAMU `ALAA ASHRAFIL MURSALIIN. WA-ALAA AALI BAYTIHI WASAHBIHI AJMA`IIN
✴ALLAAHUMMA INNIY AS-ALUKA BIANNIY ASH-HADU AN LAA-ILAAHA ILLA ANTA L-AHADU SSWAMADU LLADHI LAM YALID WALAM YUWLAD WALAM YAKUN LAHU KUFUWAN AHAD

✴IQDHI HAAJATIY WA-ANIS WAHDATIY FARRIJ KURBATIY AJ-`ALLIY RAFIYQAN SWAALIHAN KAY NUSABBIHUKA KATHIYRAN WANADHKURUKA KATHIYRAN FA-ANTA BIY BASWIYR

✴YAA MUJIYBUL MUDHTAR IDHAA DA`AAK. AHLIL `UQDATI WA-AMIN RAW`ATIY WAFARRIJ KURBATIY

✴YA ILAAHI HABLI MIN LADUNKA ZAWJAN SWAALIHAN WAJ`AL BAYNANAL MAWADDATAN WARAHAMATAN INNAKA `ALAA KULLI SHAY-IN QADIYR. YAMAN YAQUWLU LISHAY-IN KUN FAYAKUWN

✴ALLAAHUMMA AATINA FIY DDUNIYA HASANATAN WAFIL AAKHIRATI HASANATAN WAQINAA `ADHAABA NNAAR. RABBI LA TADHARNIY FARDAN WA-ANTA KHAYRUL WAARITHIYN
__________________________________________________
3️⃣DUA YA KUOMBA KUOLEWA/KUPATA MUME BORA
-------------------------------------------------------------------------------
❇Huwenda ikawa ni Qadari ya Mwenye-Enzi-Mungu au umeandamwa na vijicho, vifungo au Uchawi au umekumbwa na majini waovu.

❇Ikiwa ni Qadari ya Allah basi muombe Allah Kwani haibadiliki Qadari isipo kuwa kwa dua.

❇Ikiwa umeandamwa na vifungo,vijicho,uchawi au umekumbwa na majini waovu kwa uweza wa Allah atakukidhia hitajio lako kwa dua hii.

❇MAHITAJI.
↙️Ubani dhukra
↙️Mustwaq
↙️Maqar Azraq

❇UTARATIBU WA DUA.
↙️Istighfar x 100
↙️suratul fat'ha x 1
↙️Swatul ibrahim x 7
↙️Ayatul ibtwilu sihri
↙️Ayatul Qursiyu x 313
↙️Ayatul mahabbah ايات قرانية للمحبة الشديد
________________________________________________
NIPIGIE SIMU KWA CHANGAMOTO YOYOTE ILI NIWEZE KUKUSAIDIA KURUDISHA MAHUSIANO/KURUDISHA NDOA ILIYO VUNJIKA/KUONDOA MIGOGORO YA NDOA AU FAMILIA/KUONDOA UCHAWI WA KUTUPIWA NA MKE MWENZIO/KULIPWA MADENI YAKO KWA WATU UNAOWADAI/MATATIZO YA UZAZI KWA WANAWAKE/PID NA FANGASI SUGU (KUTUPIWA)/KUFUTA AU KUSHINDA KESI HARAKA (MAHAK**ANI)
----------------------------------------------------------------------------
©Sheikh Yahaya Juma
📞+255 752 326 159
----------------------------------------------------------------------------

Address

Lushoto
Tanga
21102

Website

https://wa.me/+255752326159

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Misima Herbal Clinic Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share