Dr Mabisi

Dr Mabisi Tunaelimisha, tunahamasisha.

Afya yako ni msingi wa maisha bora.
| Tiba | Lishe | Mazoezi | Afya ya Akili |
Wasiliana nasi: emmanuelmabisi5@gmail.com
WhatsApp +255 652 399090

TIBA ILIYOOMBWA NA WENGIUnahisi k**a kitu kimekwama kooni unakitoa unakutana na kipunje kidogo sana cheupe lakini kinato...
26/02/2026

TIBA ILIYOOMBWA NA WENGI

Unahisi k**a kitu kimekwama kooni unakitoa unakutana na kipunje kidogo sana cheupe lakini kinatoa harufu mbaya—inayokera.

Hii si hali ya kawaida ni ugonjwa wa Mawe ya Tonsils (Tonsil stones au Tonsilloliths)

Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (hasa chakula, ute na bakteria) vinavyokusanyika kwenye mifuko midogo ya tonsils, hasa za upande wa koo (palatine tonsils).

Aina 3 za tonsils:
1. Palatine – upande wa koo (ndizo wengi huziita "tonsils")
2. Pharyngeal – nyuma ya koo
3. Lingual – chini ya ulimi

Chanzo kikuu cha mawe ya tonsils: Ni chakula, ute na bakteria wanaonaswa kwenye mifuko midogo ya tonsils.

HAPA NAKUORODHESHEA TIBA ASILI ZA KUTUMIA—UTACHAGUA IPI RAHISI KWAKO KUIPATA

1️⃣ S**i ya tufaa (Apple cider vinager) au s**i yoyote yenye tindikali:
—Changanya na maji na tumia kwa gargle (kusukutua kwenye koo) mara mbili kwa siku. Husaidia kuyeyusha mawe madogo na kuua bakteria.

2️⃣ Matunda ya Mwarobaini (Neem fruits)

● Chukua matunda ya mwarobaini
● Kula kwa kufyonza nyama yake na utupe mbegu
● Kula mbegu 5 asubuhi na jioni
● Fanya zoezi hilo kwa siku 7 hadi 14
● Utapona na harufu mbaya ya kinywa itapotea

Hakikisha asubuhi unapoamka kabla ya kupiga mswaki unasukutua na maji ya moto yaliyotiwa chumvi.

3️⃣ MCHANGANYIKO MAALUMU

Mahitaji
● Kitunguu
● Kitunguu swaumu
● Tangawizi
● Limao

Maandalizi ya dawa
▪️Osha viambata vyako na ukate vipande vipande
▪️Weka kwenye sufuria ya maji na uchemshe
✅️Njia nyingine ya maandalizi unaweza kusaga/blend ukapata juisi

Matumizi:
▪️Kunywa kwa kusukutua (gargle) kwenye koo
▪️Tumia asubuhi mchana na jioni kwa siku 7 - 14

4️⃣ MAJANI YA KING GRASS

▪️Chukua majani ya kutosha ya mmea huu (king grass)
▪️Pondaponda na ukamue juisi yake
▪️Kamlia maji ya limao.
▪️Kunywa kwa kusukutua koo (gargle)
▪️Fanya zoezi hili asubuhi na jioni kwa siku 7

Mdharau asili hufa kikatili

15/02/2026
KUNA NGUVU KATIKA MIZIZI YA PAPAI (CARICA PAPAYA)​Kuchemsha mizizi ya papai (Carica papaya) pamoja na pilipili manga hut...
15/02/2026

KUNA NGUVU KATIKA MIZIZI YA PAPAI (CARICA PAPAYA)

​Kuchemsha mizizi ya papai (Carica papaya) pamoja na pilipili manga hutibu:
✅​Bawasiri (Piles)
✅​Malaria
✅​Maumivu ya kiuno
✅​Maumivu ya hedhi
✅​Matatizo ya nguvu za kiume (Erectile issues)
✅​Mvurugiko wa vichocheo mwilini (Hormonal imbalance)
✅​Maambukizi ya vimelea vya “Staphylococcus”

​Maelekezo:
Chemsha mchanganyiko huu kwa muda wa dakika 20 mpaka 30 na unywe kikombe kimoja cha chai mara mbili kwa siku.
Unaweza kuongeza limao kwa ajili ya ladha

📌Mizizi ya papai dume ndiyo yenye ufanisi mkubwa katika tiba

​Faida nyingine:
Mmea huu una uwezo pia kusaidia kwenye matatizo ya figo, k**a vile kuondoa mawe au mchanga (mineral concretions) kwenye figo.

DAWA YA MASIKIO NA MACHOChukua kitunguu swaumu na kitunguu maji menya kisha saga upate juisi yake weka na asali kidogo.Y...
15/02/2026

DAWA YA MASIKIO NA MACHO

Chukua kitunguu swaumu na kitunguu maji menya kisha saga upate juisi yake weka na asali kidogo.

Yeyusha almiti kidogo changanya na juisi yako uliyoandaa.

1.Kwa matatizo ya macho
A. Weka tone 1 kwenye macho muda wa kulala tu kila siku
B.Changanya na unga mdalasini,pakaa kwenye kope...

Ni usku tu wakati wa kulala.

Faida zake
1.Hutibu macho kuuma,
2.Macho kuwasha,
3. kuhisi michanga machoni,
4.kuona giza (uoni hafifu),
5.Macho kutoa tongotongo,
6.Macho kuwa mekundu,

(Wekundu wa macho sio ishara ya uchawi,wala uzee sio ishara ya uchawi..uchawi ni taaluma anayofundishwa mtu kwa kuandaliwa muda mrefu)

2.MASKIO

1.weka tone 1 mas**ioni usku muda wa kulala.

FAIDA ZAKE
1. Huondoa fangasi s**ioni
2.Maumivu ya s**io,
3.Us**ivu hafifu,
4.Mas**io kuunguruma au kupiga kelele,

5.Vidonda mas**ioni.

FAIDA ZA JUMLA ZA JUISI HIYO
1.Kusafisha damu,
2.Kusafisha Tumbo, 3.Kuupa nguvu moyo, 4.Kuondoa uchovu, 5.Maumivu ya kichwa, 6.Matatizo ya moyo kwenda mbio,
7.Kupoteza hisia, 8.Kutopata hedhi,
9.Ukiweka tangawizi tu..inatibu nguvu za kiume,homon imbalance, kusafisha kizazi n.k

Mafanikio mema Mtanzania

Tiba dawa na ushauri
+255 652 399 090

14/02/2026

Unapendelea nini leo kwenye siku ya Valentines day 💓 💖

BAADHI YA FAIDA ZA UNGA WA JUMBA LA KONOKONO1.Kung'arisha menoChanganya na sabuni yako ya meno,tumia kusugulia meno kwa ...
11/02/2026

BAADHI YA FAIDA ZA UNGA WA JUMBA LA KONOKONO

1.Kung'arisha meno
Changanya na sabuni yako ya meno,tumia kusugulia meno kwa mswaki

2.Maumivu ya mifupa..
Tumia unga wake kijiko 1 koroga kwa maziwa fresh kikombe 1 kunywa x 3

3.Bawasiri ya nje
Changanya na mafuta ya mnyonyo tumia kupakaa..(jitahidi upate na dawa ya kunywa maana bawasiri huanzia ndani)

4.Ni dawa nzuri sana ya kuzuia wezi ukipata vichanganyio vyake

5.Ni dawa nzuri sana ya kuondoa nyota ya kimaskini ukipata vichanganyio vyake(Vizimba)

6.Ni tiba kwa wanaokula udongo,mchele n.k tumia kunywa kwa maziwa...

7.Wazee wetu walitumia kupata watoto kwa mama asieweza kubeba mimba au kufunga uzazi..

8.Huondoa uchawi kwa kuoga na kunywa..

Tiba,dawa na ushauri
+255 652 399 090

10/02/2026

Jifunze kidogo mdau!!

10/02/2026

Muhimu hii kwa wadada wote!!

10/02/2026

Kwa afya njema mzigo huu hapa usio na gharama!!!

10/02/2026

Hii hapa sasa Dawa ya ....... kwa kina dada!!

07/02/2026

Tumia mchanganyiko huu bila kuniuliza unasaidia nini ila utanishukuru kwa afya yako!!

Chemsha ndevu za mahindi kwenye maji na uongeze tangawizi ukipenda. Kunywa kikombe kimoja kila siku. Inasaidia kuimarish...
07/02/2026

Chemsha ndevu za mahindi kwenye maji na uongeze tangawizi ukipenda. Kunywa kikombe kimoja kila siku.
Inasaidia kuimarisha afya ya figo, kutibu maambukizi ya njia ya mkojo (UTI), na kusafisha kibofu kwa kusaidia kutoa vijidudu nje ya mwili.

Address

Ngamiani
Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Mabisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Mabisi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram