07/05/2026
🚦MAFUA NA KIKOHOZI KWISHA KABISA — JARIBU MCHANGANYIKO HUU WA ASALI, LIMAO NA TANGAWIZI! 🔁 Dawa ZA Mitishamba
✅ Husaidia mafua na kikohozi
✅ Husaidia koo na kifua
✅ Hutoa joto mwilini
✅ Huongeza kinga ya mwili
🥄 Jinsi ya kutumia:
Changanya asali, maji ya limao na tangawizi kwenye maji ya uvuguvugu, kisha kunywa mara 1–2 kwa siku. 🍯🍋☕
💥Tahadhari
👉Usitumie maji ya moto sana ukichanganya asali
👉Wenye vidonda vya tumbo watumie kwa kiasi