
04/09/2025
🚦FAIDA ZA KIAFYA ZILIZO SHEHENI KATIKA MMEA WA MWANI : Dawa ZA Mitishamba
Mmea wa Mwani ni mmea wa majini unaoota zaidi baharini na mara nyingine katika maziwa yenye chumvi. Ni chanzo kizuri cha lishe na tiba za asili, hasa kwa jamii za pwani. Huitwa pia Seaweed kwa Kiingereza.
Usiangaike kutafuta wapi nitaupata Mmea huu karibu sana Tunauza MWANI Original Kwa bei nafuu ya Jumla na Lejaleja Popote ulipo mzigo unakikufikia (ulipo Tupo)Tutapokea pesa yako Baada ya mzigo kukufikia karibuni sana. Kwamawasiliano zaidi tutafute kwa 👇
Phone No_ 📞+255682181819
Inapatikana Whatsapp pia
🔘 Epuka Matapeli
🪴 SIFA KUU ZA MMEA WA MWANI :
🦠 Hukua kwenye maji ya chumvi (baharini) au maji yenye chumvi kidogo.
🦠 Huwa na rangi tofauti: kijani, kahawia, au nyekundu.
✍️ BAADHI YA MADINI YANAYOPATIKANA KWENYE MWENI NI :
Kalsiamu (Ca) – Husaidia katika ukuaji na uimara wa mifupa na meno.
Magnesiamu (Mg) – Husaidia kazi za misuli na mishipa ya fahamu, pia huimarisha mifupa.
Potasiamu (K) – Hudhibiti shinikizo la damu na usawa wa maji mwilini.
Sodiamu (Na) – Huwezesha usafirishaji wa virutubisho na utendaji wa misuli.
Iodini (I) – Muhimu kwa utengenezaji wa homoni za tezi (thyroid). Mwani ndio chanzo bora zaidi cha iodini asilia.
Chuma (Fe) – Husaidia katika utengenezaji wa damu (hemoglobin).
Zinki (Zn) – Muhimu kwa kinga ya mwili na uponyaji wa majeraha.
Shaba (Cu) – Inasaidia katika utengenezwaji wa seli nyekundu za damu na kazi za vimeng’enya.
Seleniamu (Se) – Kinga ya mwili dhidi ya uharibifu wa seli (antioxidant).
Fosforasi (P) – Inahitajika kwa nguvu (ATP) na ukuaji wa mifupa na meno.
🔹 Mbali na madini hayo, mwani pia una vitamini (k**a A, C, E, K, na baadhi ya vitamini B) na protini kidogo.
🌿 Tiba za Asili za Mwani :
1. Kuimarisha Tezi za Shingo (Thyroid)
🩺 Mwani una iodini nyingi ambayo husaidia kudhibiti homoni za tezi.
🩺 Kula mwani huzuia ugonjwa wa goita (uvimbe wa shingo).
2. Kuimarisha Kinga ya Mwili
🩺 Vitamini na madini yaliyomo husaidia mwili kupambana na magonjwa na maambukizi.
3. Kutibu Upungufu wa Damu (Anemia)
🩺 Mwani una madini ya chuma (iron) mengi yanayosaidia kutengeneza damu.
4. Kusaidia Utumbo na Usagaji Chakula
🩺 Mwani una nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia kuondoa sumu tumboni na kuzuia kuvimbiwa.
5. Kupunguza Uzito
🩺 Husaidia kudhibiti hamu ya kula kwa sababu ya nyuzinyuzi nyingi na virutubisho.
6. Kutibu Ngozi na Nywele
🩺 Maski ya mwani hutumika kupunguza chunusi, kung’arisha ngozi, na kuimarisha nywele.
7. Afya ya Moyo na Mishipa
🩺 Hupunguza mafuta mabaya mwilini (cholesterol) na kulinda moyo.
🥗 Namna ya Kutumia Mwani :
✨ Kuliwa mbichi baada ya kuoshwa vizuri.
✨ Kukausha na kusaga kuwa unga wa kuongeza kwenye vyakula.
✨ Kuweka kwenye supu, tambi, au saladi.
✨ Kutengeneza juisi au chai ya mwani.
✨ Kutumia k**a dawa ya nje kwa ngozi.
🧠 MAELEKEZO YA MATUMIZI TUTATOA KWAALIE FANYA MANUNUZI PEKEE
🔔 Tahadhari:
Hakikisha mwani umetoka kwenye maji safi usio na sumu au metali nzito
Pro