Dawa ZA Mitishamba

Dawa ZA Mitishamba See Translation 👇
https://dmshambaplus.blogspot.com
(1)

🚦NJIA RAHISI YA KUZIFANYA NYWELE ZIKUE HARAKA! 🔁 Dawa ZA Mitishamba 🤗 Unasumbuliwa na nywele kukatika, kuwa kavu au hazi...
12/04/2026

🚦NJIA RAHISI YA KUZIFANYA NYWELE ZIKUE HARAKA! 🔁 Dawa ZA Mitishamba

🤗 Unasumbuliwa na nywele kukatika, kuwa kavu au hazikui haraka? Jaribu njia hii ya asili 👇

💥 Mchanganyiko:

👉 Yai 1
👉 Vijiko 2 vya asali
👉 Kijiko 1 cha mafuta ya n**i

💥 Jinsi ya kutumia:
Pakaa kwenye nywele kuanzia mizizi hadi mwisho, acha kwa dakika 20–30 kisha osha kwa maji ya uvuguvugu na shampoo.

💥 Faida zake:
✔ Hukuza nywele haraka
✔ Hufanya nywele ziwe laini na zenye kung’aa
✔ Hupunguza kukatika
✔ Hutoa unyevu wa asili

⚠️ Kumbuka:
Epuka kutumia maji ya moto ili yai lisigande kichwani.

🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) 🔁 Dawa ZA Mitishamba ✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa...
05/04/2026

🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) 🔁 Dawa ZA Mitishamba

✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu 👇

💥 MAHITAJI:
✔️ Tangawizi
✔️ Kitunguu swaumu
✔️ Majani ya mpera
✔️ Maji
✔️ Juisi ya limao
✔️ Asali

💥 JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10–15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

💥 MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5–7

💪 FAIDA:
✔️ Huua bakteria
✔️ Hupunguza maumivu
✔️ Husafisha njia ya mkojo
✔️ Huzuia maambukizi kurudi

⚠️ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

🤗 Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

💬 Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

29/03/2026
🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) 🔁 Dawa ZA Mitishamba ✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa...
22/03/2026

🚦TIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) 🔁 Dawa ZA Mitishamba

✍️Unasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu 👇

💥 MAHITAJI:
✔️ Tangawizi
✔️ Kitunguu swaumu
✔️ Majani ya mpera
✔️ Maji
✔️ Juisi ya limao
✔️ Asali

💥 JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10–15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

💥 MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5–7

💪 FAIDA:
✔️ Huua bakteria
✔️ Hupunguza maumivu
✔️ Husafisha njia ya mkojo
✔️ Huzuia maambukizi kurudi

⚠️ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

🤗 Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

💬 Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

🤗 EMBU TUAMBIE KWENU MNAYAITAJE  "CHANGIA BANDO LA 5000Tsh/= NIKUPE FAIDA ZAKE KUU" 🔁 Dawa ZA Mitishamba ✍️Matunda haya ...
22/03/2026

🤗 EMBU TUAMBIE KWENU MNAYAITAJE "CHANGIA BANDO LA 5000Tsh/= NIKUPE FAIDA ZAKE KUU" 🔁 Dawa ZA Mitishamba

✍️Matunda haya yanafaida Kubwa sana Ukichanganya na miti mingine unapata Tiba ya ugonjwa WA kisukari

🚦FAIDA KUU (5 ) ZA ULAJI WA TIKITI MAJI ( Watermelon ) KWA AFYA 🍉 🔁 Dawa ZA Mitishamba :✍️Tikiti maji ( Watermelon ) siy...
19/03/2026

🚦FAIDA KUU (5 ) ZA ULAJI WA TIKITI MAJI ( Watermelon ) KWA AFYA 🍉 🔁 Dawa ZA Mitishamba :

✍️Tikiti maji ( Watermelon ) siyo tu kitamu na cha kutuliza kiu, bali pia ni dawa asilia yenye faida nyingi kwa mwili.

✅ Lina maji mengi (karibu 90%) – husaidia mwili kuepuka upungufu wa maji.

✅ Huimarisha afya ya figo kwa kusaidia kutoa taka mwilini.

✅ Lina lycopene – kinga asilia inayopunguza hatari ya saratani na magonjwa ya moyo.

✅ Hupunguza shinikizo la damu na kuimarisha mzunguko wa damu.

✅ Huchangia kuongeza nguvu na kupunguza uchovu.

✨ Tikiti maji ni kinywaji na tiba asilia kwa pamoja – kula mara kwa mara hasa kwenye joto.

🚦DAWA YA ASILI YA MAFUA NA KIKOHOZI 🔁 Dawa ZA Mitishamba :✍️ Mchanganyiko wa Majani ya Mpera + Mchaichai ni tiba rahisi ...
17/03/2026

🚦DAWA YA ASILI YA MAFUA NA KIKOHOZI 🔁 Dawa ZA Mitishamba :

✍️ Mchanganyiko wa Majani ya Mpera + Mchaichai ni tiba rahisi na yenye nguvu kwa matatizo ya mfumo wa hewa.

💥 Faida zake:

✅ Husaidia kupunguza mafua

✅ Husaidia kutuliza kikohozi

✅ Husaidia kusafisha njia ya hewa (mapafu)

✅ Huongeza kinga ya mwili

💥 Jinsi ya kuandaa:

1️⃣ Chukua majani safi ya mpera

2️⃣ Ongeza majani ya mchaichai

3️⃣ Chemsha pamoja kwa dakika 10–15

4️⃣ Chuja kisha kunywa k**a chai ya moto

☕ Matumizi:
Kunywa mara 2 kwa siku (asubuhi na jioni)

⚠️ Tahadhari:
Tumia kwa kiasi, na k**a hali ni kali tafuta ushauri wa daktari.

🚦JINSI YA KUEPUKANA NA TATIZO LA JICHO KUTETEMEKA 🔁 Dawa ZA Mitishamba :✍️ Watu wengi hupata hali ya jicho kutetemeka (k...
15/03/2026

🚦JINSI YA KUEPUKANA NA TATIZO LA JICHO KUTETEMEKA 🔁 Dawa ZA Mitishamba :

✍️ Watu wengi hupata hali ya jicho kutetemeka (kurukaruka) lakini hawajui chanzo chake. Mara nyingi hutokea pale misuli ya jicho inapochoka au kupata msongo.

💥 Sababu zinazoweza kusababisha jicho kutetemeka :

• Kukosa usingizi wa kutosha 😴
• Msongo wa mawazo 😟
• Kuangalia simu au kompyuta muda mrefu 📱
• Kunywa kahawa au vinywaji vyenye caffeine nyingi ☕
• Uchovu wa macho

💥 Njia rahisi za kupunguza tatizo hili :

✔️ Pata usingizi wa kutosha
✔️ Punguza kahawa na soda
✔️ Pumzisha macho mara kwa mara
✔️ Kunywa maji mengi 💧

⚠️ Muone daktari k**a jicho linaendelea kutetemeka kwa zaidi ya wiki mbili au linaambatana na maumivu.

💬 Je, umewahi kupata tatizo la jicho kutetemeka? Tuambie kwenye maoni.

🚦DAWA YA ASILI YA MAUMIVU YA TUMBO NA KUHARISHA 🔁 Dawa ZA Mitishamba :✍️ Mchanganyiko wa majani ya mpera na tangawizi ni...
15/03/2026

🚦DAWA YA ASILI YA MAUMIVU YA TUMBO NA KUHARISHA 🔁 Dawa ZA Mitishamba :

✍️ Mchanganyiko wa majani ya mpera na tangawizi ni dawa nzuri ya asili inayosaidia kutibu matatizo ya tumbo.

🍃 Faida zake:

✅ Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo
✅ Husaidia kutibu kuharisha
✅ Hupunguza gesi tumboni
✅ Husaidia mmeng'enyo wa chakula kuwa mzuri

💥 Jinsi ya kuandaa:

1️⃣ Chukua majani machache ya mpera uyasafishe vizuri.

2️⃣ Kata vipande vidogo vya tangawizi.

3️⃣ Chemsha pamoja kwenye maji kwa dakika 10–15.

4️⃣ Chuja kisha kunywa k**a chai.

💥 Matumizi yake:

Kunywa kikombe mara 2 kwa siku (asubuhi na jioni).

👉 Tahadhari :

Tumia kwa kiasi na epuka kutumia kupita kiasi bila ushauri wa daktari.

🚦UNAJUA KUWA BAMIA SIO TU CHAKULA  PIA NI TIBA YA ASILI 🔁 Dawa ZA Mitishamba 🤗 Faida za ulaji wa BAMIA:✅ Hupunguza maumi...
14/03/2026

🚦UNAJUA KUWA BAMIA SIO TU CHAKULA PIA NI TIBA YA ASILI 🔁 Dawa ZA Mitishamba

🤗 Faida za ulaji wa BAMIA:

✅ Hupunguza maumivu ya viungo na mgongo
🦠 Virutubisho vyake husaidia kulinda mifupa na kupunguza maumivu ya ndani ya viungo.

✅ Hutunza ngozi
🦠 husaidia kupunguza chunusi na kufanya ngozi iwe laini na yenye afya.

✅ Huimarisha kinga ya mwili
🦠 kwa sababu ni chanzo kizuri cha vitamini C na antioxidants.

✅ Huboresha mmeng’enyo wa chakula
🦠 shukrani kwa nyuzinyuzi (fiber) nyingi zilizomo ndani yake.

💪 Hii ni Tiba asilia na ni zawadi kutoka kwa Mungu
Jaribu kuongeza Bamia kwenye mlo wako wa kila siku na uone tofauti kwenye afya yako!

👉 Shiriki na Rafiki ili na wao wajue faida hizi za ajabu za Bamia.

🚦JIFUNZE KUONDOA TATIZO LA WEUSI KWENYE MAKWAPA 🔁 Dawa ZA Mitishamba Tunza ngozi yako Kwa Tiba za Asili
13/03/2026

🚦JIFUNZE KUONDOA TATIZO LA WEUSI KWENYE MAKWAPA 🔁 Dawa ZA Mitishamba

Tunza ngozi yako Kwa Tiba za Asili

🚦KUKAA KWENYE NDOO ISIYO NA MFUNIKO KWA MUDA MREFU KUNAWEZA KUSABABISHA... Dawa ZA Mitishamba :Japo zipo sababu nyingi l...
11/03/2026

🚦KUKAA KWENYE NDOO ISIYO NA MFUNIKO KWA MUDA MREFU KUNAWEZA KUSABABISHA... Dawa ZA Mitishamba :

Japo zipo sababu nyingi lakini hii pia nimoja wapo

🤗 Kukaa kwenye kitu kigumu k**a ndoo isiyo na mfuniko kwa muda mrefu kunaweza kusababisha:

✍️ Kuwepo kwa presha kubwa kwenye sehemu ya haja kubwa. Hii inaweza kufanya mishipa ya damu katika puru kuvimba na Kusababisha hatari ya bawasili k**a utakaa Kwa muda mrefu.

✍️ Uke kulegea haubani. Hali hii inasababishwa na kulegea Kwa misuli ya Uke

Weka nyongeza Yako + Kwenye " Comment "

Address

Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dawa ZA Mitishamba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dawa ZA Mitishamba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram