Suluhisho la Ndoa na Uchumba

Suluhisho la Ndoa na Uchumba Tabibu Bibi Aisha

LUFYAMBA AU MLAZALAZA HUONDOA TATIZO LA UZAZI    MTI WA LUFYAMBO/MSIKESIKE/USHANGA WA BIBI/MLAZALAZA/MACHO YA KUNGURU.  ...
30/08/2024

LUFYAMBA AU MLAZALAZA HUONDOA TATIZO LA UZAZI

MTI WA LUFYAMBO/MSIKESIKE/USHANGA WA BIBI/MLAZALAZA/MACHO YA KUNGURU.

11.KUZUIA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KURUDIA TENDO LA NDOA.
Chimba mzizi wa mti huo kisha tumia kutafuna mzizi huo na kumeza maji yake,fanya hivyo nusu saa au saamoja kabla ya kuliendea tendo la ndoa.Inshaallah kwa uwezo wa Allah utachelewa kufika kileleni na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo hilo mara kadhaa.

12.KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.
Chukua majani yake ,kisha yatwange uanike kisha utwange tena upate unga wake,unga huo utautumia kuchanganya katika maziwa fresh kiasi cha kijiko komoja cha chakula unaweka katika grasi moja ya maziwa,tumia grass moja asubuhi na jioni kwa muda wa siku 14 mpaka 21 inshaallah tatizo litakwisha kabisa.

13.KUMFUNGUA MWANAMKE ALIYEPITILIZA MIEZI YA KUJIFUNGUA.
Chukua madafu saba yapasue upate maji yake kisha tengeneza na juisi itokanayo na majani ya mti huo kiasi cha lita moja,alafu changanya na asali kiasi cha robo lita .Tumia mchanganyiko huo wa dawa yako kunywa grasi moja asubuhi na jioni mpaka itakapokwisha, inshaallah mama mjamzito atajifungua inshaallah.

14.KUFUNGUA MIRIJA YA UZAZI KWA MWANAMKE ASIYEPATA UJAUZITO.
Chukua mizizi ya mti huo kisha changanya na mizizi ya mti wa mpera kisha chemsha pamoja .Kisha mama atumie kwa kunywa maji hayo kiasi cha grasi moja asubuhi na jioni kwa muda wa siku 14 inshaallah atakuwa safi kabisa kwa uwezo wa Allah.

15.KUZUIA KUFIKA KILELENI MAPEMA KWA MWANAMME
Chukua mbegu moja ya lufyambo kisha iweke mdomoni wakati unafanya tendo la ndoa usiimeze wala usiiteme mpaka utakapomaliza tendo hilo inshaaallah utakawia sana katika tendo.

Huku kwetu tumezoea kuita matunda haya k**a   matunda yake matamu sana licha ya hiyo jua faida ya majani yake 🔘Majani ya...
30/08/2024

Huku kwetu tumezoea kuita matunda haya k**a matunda yake matamu sana licha ya hiyo jua faida ya majani yake
🔘Majani ya mnyanya pori hutibu
homa kari kwa haraka zaidi
🔘Majani ya mnyanya pori ni tiba
kwa ugonjwa wa typhod
(taifodi)
🔘Pia majani haya ya mnyanya poli unaweza kausha na kusaga ukatunza uka tumia kwa msimu mzima na zaidi kwa tiba

SHARE NA MWENZIO

30/08/2024

WANAWAKEHii tunairudia kwenu kwa matatizo haya kuhusu Mkunde pori:➡️Maumivu ya hedhi➡️Hedhi isiyoeleweka➡️Mimba hupatiSu...
30/08/2024

WANAWAKE

Hii tunairudia kwenu kwa matatizo haya kuhusu Mkunde pori:
➡️Maumivu ya hedhi
➡️Hedhi isiyoeleweka
➡️Mimba hupati

Subiri kipindi hedhi ikianza, chemsha mizizi ya mkunde pori, kunywa maji yake glasi moja kutwa mara tatu, hedhi ikiisha acha subiri hedhi ya mwezi unaofuata. Tumia kwa staili hiyohiyo hadi upate unachokihitaji.

NOTE: K**a ulitumia njia za uzazi wa mpango na unaona mkunde pori unakuchelewesha mahitaji yako jitahidi kuwaona wataalamu

WANAUME wote tumekuwa tukiwashauri ili kujiweka imara kitandani ni vyema kutumia unga wa Msamitu na Mlonge dozi nzima miezi mitatu, tukubaliane kabisa ni jukumu la kila mwanaume kuhakikisha mke au mpenzi wako anaridhika kitandani.

Mwanaume achana na uzembe wa kuwahi kufika kileleni, kufanya mara moja tu halafu huwezi kurudia tendo, hupati hamu ya tendo na mbegu dhaifu zisizoweza kutungisha mimba

30/08/2024

Address

Tanga
Tanga
1716

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Suluhisho la Ndoa na Uchumba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share