Gift of Hope Foundation

Gift of Hope Foundation promoting health and supporting the harm reduction services for people who use drugs in Tanzania harm reduction and recover house
(1)

Leo tumefanya kikao cha kupanga tathmini ya mahitaji kwa ajili ya mradi wa ‘Focus on Youth, Not the Substance.’ chini ya...
26/07/2025

Leo tumefanya kikao cha kupanga tathmini ya mahitaji kwa ajili ya mradi wa ‘Focus on Youth, Not the Substance.’ chini ya Programu ya TangaYetu. Kikao kimewahusisha waelimishaji rika, viongozi wa jamii, wakufunzi, HR, Afisa Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, pamoja na Dkt. Isack Rugemalila kutoka Wizara ya Afya. Tunalenga kuwafikia watu 1,000+ Jijini Tanga ili kubaini mahitaji ya jamii na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana. DCEA

Health Promotion Tanzania (HDT).Host  training on project management, monitoring, evaluation and reporting (MER), and or...
21/05/2025

Health Promotion Tanzania (HDT).Host training on project management, monitoring, evaluation and reporting (MER), and organizational development (OD) for PEPFAR beneficiary organizations ,Gift Of Hope Foundation participating
The training takes place placed May 2025, in Dar es Salaam

Gift Of Hope Foundation leo tumendelea kutoa elimu kinga dhidi ya dawa za kulevya katika shule za secondary mikanjuni ka...
10/05/2025

Gift Of Hope Foundation leo tumendelea kutoa elimu kinga dhidi ya dawa za kulevya katika shule za secondary mikanjuni kata ya Mabawa wilaya ya Tanga Mjini hii ni kuunga mkono juhudi za serikali eneo kinga kwa vijana dhidi ya dawa za kulevya na Kujenga Amani

Gratitude
27/04/2025

Gratitude

Karibu Gift Of Hope Sober House, mtaa wa mwakidila B kata ya Tangasisi Halmashuri ya jiji la Tanga, upataji nafuu unawez...
19/04/2025

Karibu Gift Of Hope Sober House, mtaa wa mwakidila B kata ya Tangasisi Halmashuri ya jiji la Tanga, upataji nafuu unawezena kwa kufata msingi na kanuni za tiba

Harm Reduction Save lives
18/04/2025

Harm Reduction Save lives

Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga  inawatangazia wananchi wote kuwa tarehe 0...
07/04/2025

Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga inawatangazia wananchi wote kuwa tarehe 08 Aprili 2025 katika Uwanja wa Tangamano, kutafanyika Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Mkoani Tanga.
Mgeni rasmi katika uzinduzi huu ni Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. DKT. DAMAS NDUMBARO

Uzinduzi huu utafuatiwa na utoaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria bila malipo katika Halmashauri zote za Mkoa wa Tanga ikijumuisha Kata, Vijiji na Mitaa kwa kipindi cha siku 9 kuanzia tarehe 08 Aprili, 2025 hadi tarehe 17 Aprili 2025.

Kampeni hii itahusisha utoaji elimu kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria k**a vile Ardhi, Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mirathi, Ndoa, talaka, Ukatili wa Kijinsia, Madai na Jinai, vilevile itahusisha huduma ya usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa na kifo vitakavyotolewa na RITA, pamoja na vitambulisho vya Taifa, NIDA.

Wananchi wote mnakaribishwa. Usikiapo tangazo hili, Mjulishe na jirani yako.

Eid mubarak
31/03/2025

Eid mubarak

27/03/2025

Community awareness

Address

Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255684731384

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gift of Hope Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Gift of Hope Foundation:

Share