Gift of Hope Foundation

Gift of Hope Foundation promoting health and supporting the harm reduction services for people who use drugs in Tanzania harm reduction and recover house
(1)

Jana tarehe 8.12.2025 Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Bwana Mustafa Seleboss, amefunga mafunzo ya kinga dhidi ya dawa za...
09/12/2025

Jana tarehe 8.12.2025 Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Bwana Mustafa Seleboss, amefunga mafunzo ya kinga dhidi ya dawa za kulevya (UPC) yaliyofanyika kwa siku tano chini ya mradi wa "Focus on Youth Not the Substance". Mradi huu unatekelezwa na Gift Of Hope Foundation kupitia Programu ya TangaYetu na ufadhili wa Fondation Botnar, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga.

Wawezeshaji
- Wataalamu kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)
- Colombo Plan-Drug Advisory Programme
- ISSUP Tanzania

Washiriki
- Kuelimishaji Rika na vijana
- Watumishi wa halmashauri upande wa Afya ya akili, ustawi wa jamii, maendeleo ya jamii,Wasaikolojia MAT (OST),Waandishi wa Habari na vyombo vya ulinzi na usalama
- Jumla ya washiriki wote ni 45.
Mshahiki Meya alipatana na Naibu Meya pamoja na mratibu wa Afya ya akili wilaya ya Tanga Mjini.

Siku ya Nne  ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumi...
06/12/2025

Siku ya Nne ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumizi ya dawa za kulevya.
Mradi wa Focus on Youth Not the Substance chini ya Programu ya TangaYetu na ufadhali wa Fondation Botner kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga

Siku ya tatu ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumi...
05/12/2025

Siku ya tatu ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumizi ya dawa za kulevya.
Mradi wa Focus on Youth Not the Substance chini ya Programu ya TangaYetu na ufadhali wa Fondation Botnar kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga

05/12/2025
Siku ya pili ya mafunzo ya UPC katika Jiji la Tanga inaendelea kwa mafanikio, ambapo washiriki wanajengewa uelewa na uju...
04/12/2025

Siku ya pili ya mafunzo ya UPC katika Jiji la Tanga inaendelea kwa mafanikio, ambapo washiriki wanajengewa uelewa na ujuzi kuhusu mbinu za kinga dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya. Mafunzo haya yanafanyika kupitia programu ya TangaYetu chini ya ufadhili wa Fondation Botnar, kwa ushirikiano na Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Ratiba ya mafunzo inatekelezwa na wataalamu kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kupitia mradi wa Focus on Youth, Not the Substance, unaoratibiwa na Gift of Hope Foundation.

Mafunzo haya yanalenga kuimarisha kinga, kuongeza maarifa, na kuwawezesha vijana kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya mustakabali wa jamii na makundi rika.

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Gift of Hope Foundation imezindua mafunz...
03/12/2025

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Gift of Hope Foundation imezindua mafunzo ya siku tano katika Jiji la Tanga kuhusu Mtaala wa Kimataifa wa Kuzuia Matumizi ya Dawa za Kulevya (UPC) Core Course kwa washiriki 45. Mafunzo hayo ni sehemu ya mradi wa "Focus on Youth, Not the Substance" unaofadhiliwa na Fondation Botnar na kutekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Tanga chini ya programu ya TangaYetu, ikisimamiwa na Innovex ¹.

Malengo ya Mafunzo
- Kutoa elimu na ujuzi kwa washiriki kuhusu mbinu za kuzuia matumizi ya dawa za kulevya.
- Kuandaa washiriki kuwa wataalamu wa kuzuia matumizi ya dawa za kulevya katika jamii zao.

Washiriki
- Wasimamizi wa dawa za kulevya.
- Wataalamu wa afya.
- Walimu.
- Viongozi wa vijana.

Matokeo Yanayotarajiwa
- Washiriki watakapomaliza mafunzo watapokea vyeti vya kimataifa kutoka Colombo Plan Drug Advisory Programme (CP-DAP).
- Washiriki watawajibika kushirikisha jamii zao na kutoa elimu kuhusu madhara ya dawa za kulevya.

World AIDS Day: GOHF and Prevention Education for YouthGift Of Hope Foundation (GOHF) is marking World AIDS Day by provi...
03/12/2025

World AIDS Day: GOHF and Prevention Education for Youth

Gift Of Hope Foundation (GOHF) is marking World AIDS Day by providing prevention education to youth and peer groups. The event is part of the "Focus on Youth Not the Substance" project, implemented in collaboration with Tanga City Council and TangaYetu.

Activities
- *Prevention Education*: Providing information on the risks of substance abuse and HIV/AIDS prevention.
- *HIV Testing and Counseling*: Offering HIV testing and counseling services.
- *Awareness Campaign*: Raising awareness among youth and peer groups about the importance of HIV/AIDS prevention.

Objectives
- To educate youth and peer groups about the risks of substance abuse and HIV/AIDS.
- To promote HIV/AIDS prevention behaviors among youth and peer groups.
- To contribute to reducing new HIV infections.

The event aims to empower youth and communities with knowledge and skills to prevent HIV/AIDS and substance use

Kamishina wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Dr. Peter Mfisi, ameshiriki katik...
21/11/2025

Kamishina wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Dr. Peter Mfisi, ameshiriki katika kikao cha wataalamu wa DCEA kilichojumuisha mapitio ya mfumo wa elimu ya kinga dhidi ya dawa za kulevya na rufaa katika tiba kwa njia ya Tehama. Mradi huu unaitwa "Focus on Youth Not the Substance" na unatekelezwa kwa ufadhili wa Fondation Botnar na ushirikiano wa Tanga Jiji, chini ya usimamizi wa INNOVEX.

Maelezo ya Mradi
- *Lengo*: Mradi huu unalenga kutoa elimu na uhamasishaji kwa vijana ili kuepuka matumizi ya dawa za kulevya.
- *Mbinu*: Mfumo wa Tehama utatumika k**a chombo cha kufikia vijana, jamii kwa ujumla, na makundi rika, kutoa elimu na udhibiti wa madhara ya dawa za kulevya.
- *Ushirikiano*: Mradi huu unatekelezwa kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na DCEA, Tangayetu, Tanga Jiji, Fondation Botnar, INNOVEX, na Gift Of Hope Foundation, pamoja na wadau wengine.

Matokeo Yanayotarajiwa
Mradi huu unatarajiwa kuleta matokeo chanya katika kupunguza matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana na makundi rika. Kwa ushirikiano na wadau mbalimbali, mradi huu unalenga kuweka msingi imara wa afya bora na maisha bora kwa vijana, makundi rika, na jamii kwa ujumla.

Leo tumefanya kikao cha kupanga tathmini ya mahitaji kwa ajili ya mradi wa ‘Focus on Youth, Not the Substance.’ chini ya...
26/07/2025

Leo tumefanya kikao cha kupanga tathmini ya mahitaji kwa ajili ya mradi wa ‘Focus on Youth, Not the Substance.’ chini ya Programu ya TangaYetu. Kikao kimewahusisha waelimishaji rika, viongozi wa jamii, wakufunzi, HR, Afisa Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, pamoja na Dkt. Isack Rugemalila kutoka Wizara ya Afya. Tunalenga kuwafikia watu 1,000+ Jijini Tanga ili kubaini mahitaji ya jamii na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana. DCEA

Health Promotion Tanzania (HDT).Host  training on project management, monitoring, evaluation and reporting (MER), and or...
21/05/2025

Health Promotion Tanzania (HDT).Host training on project management, monitoring, evaluation and reporting (MER), and organizational development (OD) for PEPFAR beneficiary organizations ,Gift Of Hope Foundation participating
The training takes place placed May 2025, in Dar es Salaam

Gift Of Hope Foundation leo tumendelea kutoa elimu kinga dhidi ya dawa za kulevya katika shule za secondary mikanjuni ka...
10/05/2025

Gift Of Hope Foundation leo tumendelea kutoa elimu kinga dhidi ya dawa za kulevya katika shule za secondary mikanjuni kata ya Mabawa wilaya ya Tanga Mjini hii ni kuunga mkono juhudi za serikali eneo kinga kwa vijana dhidi ya dawa za kulevya na Kujenga Amani

Address

Maua Street No. 5, Ngamiani, Kaskazini
Tanga
1526

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255684731384

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gift of Hope Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Gift of Hope Foundation:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram