Gift of Hope Foundation

Gift of Hope Foundation promoting health and supporting the harm reduction services for people who use drugs in Tanzania harm reduction and recover house
(1)

21/02/2026

ISSUP Tanzania invites you to a webinar on Medically Assisted Therapy for Opioid Use Disorders: The Role of Civil Society Organisations. Join us for experience sharing from CSOs and government representatives on delivering and supporting MAT services in Tanzania.

🗓 Tuesday, 10th March 2026
⏰ 6:00 PM EAT | 3:00 PM UK
Please note that this webinar will take place in Swahili only.

🔗 Register now: https://ow.ly/sFX850YiJnn

URC ALLIES Five-Day Training Successfully Concludes in Tanga CityThe Gift of Hope Foundation, in collaboration with The ...
20/02/2026

URC ALLIES Five-Day Training Successfully Concludes in Tanga City
The Gift of Hope Foundation, in collaboration with The Colombo Plan Drug Advisory Programme, Drugs Control and Enforcement Authority (DCEA), and the TangaYetu Program through the Focus on Youth, Not the Substance Project, successfully conducted a five-day URC ALLIES training in Tanga City.
The training focused on strengthening the capacity of stakeholders to effectively deliver recovery support services within the community, with a strong emphasis on youth-focused, harm reduction approaches.
The event was officially closed by Hon. Kassim Amar Makubul, Member of Parliament for Tanga District, who attended as the Guest of Honour and commended the collaborative efforts aimed at addressing substance use challenges and promoting recovery.
Together, we continue to build stronger, healthier communities by focusing on recovery, resilience, and opportunity for all.

Day Two ,Training for Delivering Recovery Support Services.The Recovery Alliies link and lend Inventive Engaging Support...
17/02/2026

Day Two ,Training for Delivering Recovery Support Services.
The Recovery Alliies link and lend Inventive Engaging Support (ALLIIES) Model the training

For their first time ,Training on Delivering Recovery Support Services – ALLIIES ModelGift of Hope Foundation, with supp...
16/02/2026

For their first time ,Training on Delivering Recovery Support Services – ALLIIES Model
Gift of Hope Foundation, with support from the TangaYetu Program, DCEA, ISSUP Tanzania, and The Colombo Plan Drug Advisory Programme, conducted a training on Delivering Recovery Support Services using the Recovery Allies Link and Lend Inventive Engaging Support (ALLIIES) Model.
The training aimed to strengthen the capacity of recovery supporters, peer educators, and service providers to deliver structured, person-centered, and sustainable recovery support services to people with Substance use disorders. Participants were equipped with practical skills in peer engagement, psychosocial support, linkage to care, relapse prevention, and community-based recovery management.
The ALLIIES Model emphasizes building strong recovery networks, fostering supportive relationships, enhancing community reintegration, and promoting long-term recovery outcomes. The training reinforced the importance of collaboration, dignity, and evidence-informed recovery approaches in strengthening harm reduction and rehabilitation services in Tanga City and Tanzania 🇹🇿

Je, unajua kuwa michezo ni dawa tosha ya kulinda afya ya akili na kuzuia vishawishi vya kutumia dawa za kulevyaHivyo ndi...
11/02/2026

Je, unajua kuwa michezo ni dawa tosha ya kulinda afya ya akili na kuzuia vishawishi vya kutumia dawa za kulevya

Hivyo ndivyo tulivyofanya siku ya tarehe 10.2.2026 ,pale Tanga Technical School,ambapo kulifanyika bonanza la pamoja lililoandaliwa na


Plus

Wanafunzi wamepata elimu ya afya ya uzazi,afya ya akili,mbinu za kijikinga na matumizi ya kulevya za kulevya huku wakifurahia michezo

Shukrani za pekee kwa Programu ya TangaYetu na wageni kutoka Ghana kwa kuungana nasi pamoja na kuunga mkono ili kuhakikisha vijana wanafikia fyucha


.

Jana tarehe 8.12.2025 Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Bwana Mustafa Seleboss, amefunga mafunzo ya kinga dhidi ya dawa za...
09/12/2025

Jana tarehe 8.12.2025 Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Bwana Mustafa Seleboss, amefunga mafunzo ya kinga dhidi ya dawa za kulevya (UPC) yaliyofanyika kwa siku tano chini ya mradi wa "Focus on Youth Not the Substance". Mradi huu unatekelezwa na Gift Of Hope Foundation kupitia Programu ya TangaYetu na ufadhili wa Fondation Botnar, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga.

Wawezeshaji
- Wataalamu kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)
- Colombo Plan-Drug Advisory Programme
- ISSUP Tanzania

Washiriki
- Kuelimishaji Rika na vijana
- Watumishi wa halmashauri upande wa Afya ya akili, ustawi wa jamii, maendeleo ya jamii,Wasaikolojia MAT (OST),Waandishi wa Habari na vyombo vya ulinzi na usalama
- Jumla ya washiriki wote ni 45.
Mshahiki Meya alipatana na Naibu Meya pamoja na mratibu wa Afya ya akili wilaya ya Tanga Mjini.

Siku ya Nne  ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumi...
06/12/2025

Siku ya Nne ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumizi ya dawa za kulevya.
Mradi wa Focus on Youth Not the Substance chini ya Programu ya TangaYetu na ufadhali wa Fondation Botner kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga

Siku ya tatu ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumi...
05/12/2025

Siku ya tatu ya mafunzo ya UPC Tanga yanaendelea vizuri. Washiriki wanapata elimu na ujuzi kuhusu mbinu za kuzuia matumizi ya dawa za kulevya.
Mradi wa Focus on Youth Not the Substance chini ya Programu ya TangaYetu na ufadhali wa Fondation Botnar kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga

05/12/2025
Siku ya pili ya mafunzo ya UPC katika Jiji la Tanga inaendelea kwa mafanikio, ambapo washiriki wanajengewa uelewa na uju...
04/12/2025

Siku ya pili ya mafunzo ya UPC katika Jiji la Tanga inaendelea kwa mafanikio, ambapo washiriki wanajengewa uelewa na ujuzi kuhusu mbinu za kinga dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya. Mafunzo haya yanafanyika kupitia programu ya TangaYetu chini ya ufadhili wa Fondation Botnar, kwa ushirikiano na Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Ratiba ya mafunzo inatekelezwa na wataalamu kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kupitia mradi wa Focus on Youth, Not the Substance, unaoratibiwa na Gift of Hope Foundation.

Mafunzo haya yanalenga kuimarisha kinga, kuongeza maarifa, na kuwawezesha vijana kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya mustakabali wa jamii na makundi rika.

Kamishina wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Dr. Peter Mfisi, ameshiriki katik...
21/11/2025

Kamishina wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Dr. Peter Mfisi, ameshiriki katika kikao cha wataalamu wa DCEA kilichojumuisha mapitio ya mfumo wa elimu ya kinga dhidi ya dawa za kulevya na rufaa katika tiba kwa njia ya Tehama. Mradi huu unaitwa "Focus on Youth Not the Substance" na unatekelezwa kwa ufadhili wa Fondation Botnar na ushirikiano wa Tanga Jiji, chini ya usimamizi wa INNOVEX.

Maelezo ya Mradi
- *Lengo*: Mradi huu unalenga kutoa elimu na uhamasishaji kwa vijana ili kuepuka matumizi ya dawa za kulevya.
- *Mbinu*: Mfumo wa Tehama utatumika k**a chombo cha kufikia vijana, jamii kwa ujumla, na makundi rika, kutoa elimu na udhibiti wa madhara ya dawa za kulevya.
- *Ushirikiano*: Mradi huu unatekelezwa kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na DCEA, Tangayetu, Tanga Jiji, Fondation Botnar, INNOVEX, na Gift Of Hope Foundation, pamoja na wadau wengine.

Matokeo Yanayotarajiwa
Mradi huu unatarajiwa kuleta matokeo chanya katika kupunguza matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana na makundi rika. Kwa ushirikiano na wadau mbalimbali, mradi huu unalenga kuweka msingi imara wa afya bora na maisha bora kwa vijana, makundi rika, na jamii kwa ujumla.

Address

Maua Street No. 5, Ngamiani, Kaskazini
Tanga
1526

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255684731384

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gift of Hope Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Gift of Hope Foundation:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram