Afya Bora na Ujasiriamali

Afya Bora na Ujasiriamali Elimu juu ya bidhaa bora za lishe kwa matumizi ya kila siku na ushauri juu ya mpangilio sahihi wa vy

19/10/2021

*UGONJWA WA UTANGOTANGO MWILINI*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Katika mwendelezo wa makala yetu ya maradhi ya ngozi tunaendelea kuangalia maradhi ya ngozi yatokanayo na fangasi,

leo tukiangalia hamira (yeast) yanavyoshambulia sehemu mbalimbali za mwili. Maradhi haya kitaalamu huitwa tinea versicolor.

*utango tango (mba)*

Mba ni maradhi maarufu zaidi kati ya magonjwa mengi yanayosambazwa na fangasi wanaoitwaMalassezia furfur ambao kwa kawaida huishi kwenye ngozi ya watu wazima bila kusababisha matatizo yoyote ya kiafya.

Vimelea hivi husababisha ngozi kwenye sehemu ndogo ya mwili kubadilika rangi ukilinganisha na rangi ya ngozi ya sehemu ya mwili iliyoizunguka.

*Mba hushambulia nani?*

Kwa kawaida, maradhi haya hushambulia zaidi vijana walio katika umri wa balehe na watoto.

Mwonekano wake

Maradhi haya hutambulika kwa namna mbalimbali, lakini ya muhimu zaidi ni mwonekano wake. Hutambulika kitaalamu k**a ‘versicolor., neno la Kigiriki linalomaanisha kubadilika kwa rangi ya ngozi na hii humaanisha kuwa sehemu ya ngozi inayopata maambukizi ya maradhi haya hubadilika rangi yake kutoka ile ya asili.

Mfano rahisi ni mabadiliko ya rangi ya ngozi kutoka maji ya kunde na kuwa nyeusi zaidi au nyeupe zaidi ukilinganisha na sehemu za ngozi zilizozunguka eneo lenye maambukizi ya fangasi hao.

*Ni sehemu gani hushambuliwa?*
ya ngozi yanayoathiriwa zaidi katika mwili ni mabega, shingo, mgongo na kifua.

Mara nyingine maradhi haya hushambulia maeneo ngozi inapojikunja k**a vile maungo ya mikono, ngozi ya chini ya matiti, maeneo ya siri hasa pale miguu inapoanzia. Uso mara nyingi hauathiriki, ingawa kwa watoto wanaweza kupata maambukizi ya kwenye kidevu, pua, mashavu na hata paji la uso.
Mara nyingi, fangasi hawa wanaposhambulia uso hushambulia kwa wingi kiasi kwamba ukimtazama mgonjwa kwa haraka haraka unaweza kudhani kuwa hiyo ndiyo rangi yake halisi ya ngozi na kuwa maeneo ambayo hayajaathirika ndiyo yaliyoathirika.

Sababu za kutokea kwake

Sababu za maradhi haya bado zinafanyiwa uchunguzi, lakini k**a nilivyosema kwenye makala za nyuma kuhusu namna fangasi wanavyosambaa, na kwamba, sababu hizi pia ni muhimu, nazo ni;

-Hali ya majimaji kwenye ngozi (inaweza kuwa hata jasho)

-Hali ya hewa ya joto (fangasi wanakua vizuri kwenye hali ya joto)

-Kinga ya mwili ikiwa chini

-Mabadiliko ya homoni

Inawezekana pia maradhi haya kupata watu ambao wamekosa sababu zilizotajwa hapo juu.

Usambaaji wake

Kwa vile vimelea vya fangasi vinavyosambaza maradhi haya kwa hali ya kawaida huishi kwenye ngozi si lazima mtu aambukizwe, bali kwa kawaida maradhi haya hutokea kulingana na kimazingira
Kwa Mwenye tatizo hili tunawez msaidia kuondokana naloo
0755273087

JE, WEWE NI MWANAUME UNAYEPENDA KUIFURAHIA NDOA YAKO KWA KUWA NA AFYA BORA?Bonyeza link hii https://chat.whatsapp.com/KV...
04/06/2019

JE, WEWE NI MWANAUME UNAYEPENDA KUIFURAHIA NDOA YAKO KWA KUWA NA AFYA BORA?

Bonyeza link hii https://chat.whatsapp.com/KVx1q6lzQmjFu9ws64VUd6

Niukweli usiopingika kwmba wanaume wengi kwa sasa wanapitia changamoto nyingi sana za kiafya hasa linapokuja swala la AFYA YA TENDO LA NDOA.
Wakati mwingine inakuangumu sana wnaume kusema shida zao ili waweze kusaidika lakini tumeamua kutumia njia ya kuwaelimisha zaidi ili waweze kuwa na uelewa mpana zaidi wa afya zao na hivyo tumewaandalia darasa maalumu ambalo watafundishwa kuhusu AFYA YA TENDO LA NDOA kwa undani wake.

Miongoni mwa mambo (changamoto za kiafya) yatakayofundishwa ni pamoja na;
1) ERECTILE DYSFUNCTION (Uume kushindwa kusimama au kusimama ukiwa dhaifu sana).
2) TEZI DUME KUVIMBA NA SARATANI YA TEZI DUME.
3) LOW S***M COUNT (KUWA NA KIASI KIDOGO CHA MBEGU ZA KIUME)
4) KUPOTEZA HAMU YA TENDO LA NDOA.
5) KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA.
6) UZITO MKUBWA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.
7) KISUKARI KINAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.
8) JINSI PUNYETO INAVYOATHIRI AFYA YA TENDO LA NDOA.
9) KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ZAIDI YA MARA MOJA.
Pia kwa kila changamoto tuliyoitaja tutafundisha INASABABISHWA NA NINI, DALILI ZAKE NI ZIPI na SULUHISHO LA KUDUMU LA CHANGAMOTO husika bila kutumia madawa ya kemikali.

Gharama za kuweza kupata mafunzo haya ni sh.5000/= kwa mwezi.
Tutafundisha na mipangilio sahihi ya milo na aina za mazoezi zinazoweza kusaidia katika kuboresha afya ya tendo la ndoa na tutaweza kutoa personal guidance kwa atakayehitaji hivyo pia.

Bonyeza link hapa chini kuweza kuingia kwenye group ambalo tutatoa muongozo wa malipo na jinsi ya kuweza kushiriki mafunzo haya... https://chat.whatsapp.com/KVx1q6lzQmjFu9ws64VUd6

Unaweza tupigia moja kwa moja pia kupitia namba +255 764 899 798
KARIBU SANA UBORESHE AFYA YA TENDO LA NDOA.

JENGA HESHIMA YA NDOATatizo la kuwahi kufika kileleni mapema hutokana na misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kus...
21/05/2019

JENGA HESHIMA YA NDOA

Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema hutokana na misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizuri, kushindwa kurejea tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza, kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa, Limekuwa tatizo la wanaume wengi sana.

Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivojaa usasa mwingi sana, lakini pia ulaji wa chakula aina moja karibia kia siku. Hali ya hewa ya sasa inauchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathiri mifumo ya ndani ya mwili ukiwemo mfumo wa uzazi. Mfano; wanaume wengi wanaopendelea vyakula k**a chips na soda, akiongeza pombe kidogo akibadilisha nyama choma na ugali akiongeza na vinywaji vyetu, mara nyingi sana wanakuwa na changamoto hii kubwa sana ya ukosefu wa nguvu za kiume.

Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga na ngano iliokobolewa na mafuta mengi lakini pia kutofanya mazoezi ya kutosha limekuwa tatizo kubwa sana pia linalochangia kwa kiasi kikubwa sana upungufu wa nguvu za kiume.

Kujichuwa/ musturbution kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia huchangia mtu kukosa nguvu za kiume. Zaidi ya 60% ya wanaume wote duniani wanakubwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika. USIKUBALI NA WEWE NDOA YAKO IVUNJIKE WAKATI SULUHISHO TAYARI LIPO.

Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia kirutubisho cha ARG+. Hiki ni kirutubisho chenye ubora wa hali ya juu kilichosaidia watu wengi sana.

+
*Inasaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote mbili akina baba na akina mama na kuwapatia stamina na nguvu wakati wa tendo la ndoa.
*Inasaidia kuondoa msongo wa mawazo hasa kwa watu wanaokua busy sana na kazi za maofisini.
*Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume (s***m count) na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility).
*Inasaidia katika kuusafisha mwili na kupunguza kasi ya kuzeeka haraka kutokana na mwili kuwa na takamwili nyingi sana zisizohitajikamwilini.
*Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo huboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari.
*Itakusaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli.
*Husaidia ufanisi mzuri wa kazi za moyo.
*HUSAIDIA SANA HASA KWA WENYE PRESSURE YAKUPANDA kwani husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu/mafuta machafu ulioganda (cholesterol).
*Husaidia damu kusafiri vizuri sehemu zote za mwili kwa ufanisi.
*Husaidia kurudisha umri nyuma kuanzia muonekano mpaka ufanyaji kazi wa viungo kwa ujumla.
*Kuondoa sumu/takamwili/toxins mwilini
*Kuzuia kuenea kwa free radical. Hizi ni seli zinazozuru seli nzuri za mwili, hivo kukukinga na magonjwa yasiyoambukizwa.
*Huupa mwili nguvu hasa kwa wafanya mazoezi na wenyekazi nyingi.

K**a unahitaji hichi kirutubisho au kwa maelezo zaidi piga whatsap http://wa.me/255764899798

KARIBUNI SANA TUWEZE KUFURAHIA MAISHA YA NDOA KWA KUWA NA AFYA BORA KABISA..

*USISUBIRI MPAKA TATIZO LIWE KUBWA SANA..

Bidhaa zetu zinayo garantee ya siku 30 toka unapoichukua kwetu nakuanza kuitumia. Means ikiwa hutapata matokeo tuliyoyataja hapo juu, utaweza kufika kwenye ofisi zetu na kurudishiwa fedha uliyoitumia kununulia bidhaa hii..

BORESHA AFYA YA UZAZI NA FOREVER ARGI+ NA ALOE GEL JUICEKwanini utumie kinywaji cha Aloe gel?•••••••••••••••••••••••••••...
13/05/2019

BORESHA AFYA YA UZAZI NA FOREVER ARGI+ NA ALOE GEL JUICE

Kwanini utumie kinywaji cha Aloe gel?
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• •Kuondoa takamwilini
•Kuondoa gesi tumboni
•Kusaidiaa tatizo la kukosa choo na constipation
•Kurekebisha hedhi na kuondoa maumivu yanayosumbua kipindi cha hedhi •Kusafisha utumbo uliochafuka
•Kurekebisha sukari na afya ya kongosho
•Kurejesha hamu ya kula
•Kuondoa uchovu wa mara kwa mara na ukosefu wa usingizi
•Kuongeza madini ya Zinc mwilini hivyo kusaidia ukuaji wa viyngo vya uzazi

Kwanini utumie ARGI+
••••••••••••••••••••••••••••• 1. Argi+ itasaidia kwenye kuondoa sumu mwilini kutokana na matunda ya berries na komamanga.
2. Itatanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na pressure.
3. Itasaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume maana damu kutembea vizuri ndio kila kitu kwenye hilo eneo, .
4. Itasaidia kwenye kujenga mifupa na misuli hasa hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana.
5. Husaidia kwenye kupunguza kiwango cha Cholesterol kwenye damu.
6. Huusaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupita umri wako.
7. Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.
8. Husaidia INI katika zoezi la kutoa sumu mwilini
9. Kusaidia kuzuia ukuaji wa Tezi dume,na pia kusaidia kuzalisha mbegu zenye afya
10. Husaidia kubalasi homoni aina zote zikiwemo Estrogen na progesterone pamoja na Testosterone. Hivyo kusaidia afya ya uzazi katika jinsia zote
MATUMIZI:- Unaweza changanya na maji,juice fresh,maziwa au mtindi.
Kumbuka hivi ni virutubisho si dawa, na havina kemikali hatarishi ni vya asili 100%
Contact kupata huduma+255764899798
Click link http://wa.me/255764899798 directly to my whatsapp business number

 ????? Muda mwingi  Wazazi  Ttunatafuta jinsi ya kujikwamua  kimaisha na hivyo watoto wengi wanabaki na wadada wa kazi(S...
23/04/2019

?????

Muda mwingi Wazazi Ttunatafuta jinsi ya kujikwamua kimaisha na hivyo watoto wengi wanabaki na wadada wa kazi(Sio mbaya imekaa vema sana) wakati mwingine watoto hawali vizuri au hawana hamu ya kula na iinawzekana pia wanakula vyakula vyenye sukari nyingi na mafuta. Hali hii ya ulaji usiomzuri wa watoto inasababisha kuharibika kwa mmeng'enyo wa chakula na kupungua kwa virutubisho mwilinii mwao na kuleta maradhi mbalimbali.

Kwa kutambua hilo basi nakushirikisha PACKAGE ya bidhaa ziitwazo Forever BIT n' PEACHES, FOREVER KIDS, FOREVER LITE ULTRA na FOREVER ARCTIC SEA. Hapa hakuna cha afya mgogoro wala hapendi kula.

BITS n' PEACHES
Hii ni bidhaa yenye Aloe Vera pamja na matunda peaches yaliyoongezwa ili kuongeza Vitamin A ambayo ni antioxidant hivyo husaidia macho kuona vizuri mchana na usiku, Husaidia sana watoto kupata hamu ya kula, kinga ya mwili na kuwaepusha na maradhi mbalimbali ina ladha nzuri inafaa kwa watoto. Bidhaa hii ina asilimia 90 ya Aloevera, inasifa zote za Aloevera Gel lkn pia kumbuka haiuzwi kutokana na ladha bali kulingana na faida ziilzomo ndani yake.

FOREVER KIDS
Hii ni Mulitamin ya kutafuna ambayo ndani yake imeongezewa madalansi. ina mchanganyiko wa matunda na mboga mbalimbali kam vile carrots, spinach, cabbage, apples, cranberies na nyanya. ndani yake kuna Phytonutrients ambayo inakazi ya kupambana na magonjea kwa kutumia virutubisho vitokananvyo na matunda na mboga za majani. Haijaongezwa sukari au Ladha bandia ni muhimu kwa watoto na watu wazima ili kujipatia mboga namatunda.
FAIDA: Kuongeza Kinga ya Mwili, Hamu ya Kula na kulinda Afya kwa Ujumla.

ARCTIC SEA
Hii imetokana na mafuta ya samaki aina ya Salmon na mafuta ya Mzeituni. Mafuta haya husaidia ukuaji na ufanyaji kazi mzuri wa macho na ubongo.
FAIDA: INASAIDIA UKUAJI MZURI WA UBONGO PAMOJA NA MFUMO WA FAHAMU, AFYA YA NGOZI, KUTUNZA KUMBUKUMBU NA HUSAIDIA KUPAMBANA NA KANSA YA MATITI.
Matumizi mengine ya ARCTIC SEA ikipasuliwa inaweza kupakwa kwenye ngozi kwa ajili ya massage.

FOREVER LITE ULTRA
Hii ni bidhaa itokanayo na SOYA yenye Protini muhimu kwa kujenga mwili, kuimarisha misuli, kusiaidia kazi za ubongo k**a kuona vema kutuma ujumbe kwenye Organ zingine. inasaidia kuupa mwili chakula kikamilifu bila kuondoa ladha ya asilia.
FAIDA : iNAFAA KWA WALE WASIO NA HAMU YA KULA NA PIA INAFAA KWA WATOTO WADOGO.

http://wa.me/255764899798 Tuwasiliane na kuelekezana zaidi, ipo watsap unawza hata SMS. Uliyepo Mkoani usijali nitakufikishia kwa wakti.

*Habari mpendwa...*Ni matumaini yangu wewe ni mzima wa afya na unaendelea vizuri, Pole na majukumu yako ya kila siku.Nin...
23/04/2019

*Habari mpendwa...*
Ni matumaini yangu wewe ni mzima wa afya na unaendelea vizuri, Pole na majukumu yako ya kila siku.

Ningependa nikushirikishe hiki kitu leo;

Kila siku tunaingiza sumu/toxins mwilini kupitia njia mbali mbali k**a vyakula, hewa tunayovuta na madawa tunayokunywa. Tukumbuke pia miili yetu yenyewe inalisha uchafu wake wenyewe na usipotelewa mwilini kwa muda mrefu hugeuka na kuwa sumu na huweza kuleta madhara mwilini tena. Hatuwezi kuziepuka hizi sumu kabisa. Kadri zinavyoendelea kujaa, zinazidi kufanya miili yetu isifanye kazi vizuri na hivyo kupelekea kupatwa na magonjwa k**a pressure, sukari, cancer nk kutokana na kuharibiwa kwa mfumo wa kinga ya mwili.

Sababu hakuna ambaye anaweza kuziepuka hizi sumu, inawezekana hata wewe ukawa umeanza kuona athari zake au zikaja kukutokea huko mbele.

Hivyo basi kuna umuhimu wa kuhakikisha tunaziondoa hizi sumu/takamwili(tixins) mara kwa mara ili kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa hatarishi. Ndio maana Forever Living Products tumetengeza hii juice ya Aloe Vera Gel ambayo inasaidia kuondoa sumu/takamwili hizi mwilini, kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kukupa virutubisho muhimu kwa ajili ya afya njema.

Ni bidhaa madhubuti na yenye ubora wa hali ya juu itakayokufanya ujisikie kwenye nguvu na afya.
Tunakushauri angalau uweze kunywa juice kati ya moja mpaka nne kwa mwezi (kulingana na uwezo wako), ili kuhakikisha wewe na familia yako mnakua na afya njema siku zote.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na http://wa.me/255764899798 ili uweze kujipatia juice yako kutoka popote ulipo.




.

15/04/2019

N muhimu kwa matumizi yako ya kila siku....

Karibu sana na wasiliana na mm hapa kuweza kupata kirutubisho chako sasa.... 0764899798

Habari.. Ni matumaini yangu wewe ni mzima wa Afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku...http://wa.me/25576...
03/04/2019

Habari..
Ni matumaini yangu wewe ni mzima wa Afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku...

http://wa.me/255764899798

Ningependa nikushirikishe vitu vichache kuhusiana na AFYA ZETU leo kwasababu naamini kila mtu anapenda kuwa na AFYA NJEMA.

Unajua, watu wote tuna MOYO ambao ndio kiungo muhimu sana katika kuhakikisha viungo vingine vinafanya kazi vizuri.

Kutokana na aina ya maisha tunayoishi leo, tunapata changamoto kubwa sana kwenye swala zima la vyakula gani tule ili kuhakikisha MOYO wetu unakua upo salama kiafya. Hii inasababishwa sana na mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia yaliyopelekea kubadilika kwa mfumo wa miasha, ulimaji na uaandaaji wa vyakula unaotumia kemikali nyingi sana, matumizi makubwa sana ya vyakula vinavyotengenezwa viwandani, tumekua tukitengemea vyakula vinavyoandaliwa kwa haraka bila kufuata kanuni za kiafya (Fast foods), tumekua tukitumia vinywaji vya aina mbalimbali kila siku ambavyo kimsingi havihitajiki sana ndani ya miili yetu, tumekua wavivu sana wakufanya mazoezi kila siku na kwa kiasi kikubwa tumekua tukipata kiasi kidogo sana cha matunda na mbogamboga kwenye milo yetu kila siku kitu ambacho kimekua kikituathiri kwa kiasi kikubwa sana Afya zetu.

Vyote hivi hupelekea kuwepo kwa takamwili nyingi sana (Toxins) zinazohifadhiwa mwilini kwenye mafuta k**a FREE RADICALS. Kwasababu haziitajiki mwilini, miili yetu huzalisha kiasi kikubwa sana cha mafuta kutoka kwenye vyakula tunavyokula kila siku na hivyo hupelekea mwili kuhifadhi sumu nyingi na mafuta machafu mengi sana na hapa ndio baadhi ya viungo vya mwili hushindwa kufanya kazi vizuri.

Mafuta na uchafu huu usipodhibitiwa na kuondolewa mapema mwili huweza kusababisha madhara kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na hatimaye mfumo wa mzunguko wa damu ambapo MOYO NAO HUANZA KUPATA SHIDA KATIKA UTENDAJI WAKE.

Kutokana na haya, watu wengi huanza kupata maumivu ya moyo, pressure, kiharusi na cholesterol mbaya kuzidi mwilini.

Ningependa nikushirikishe kwa kina zaidi kuhusiana na ni kwa jinsi gani unaweza kuilinda AFYA YA MOYO WAKO kwa kutumia milo sahihi, kufuata kanuni za kiafya, kufanya mazoezi ya aina gani na kutumia virutubisho sahihi ambavyo kwa njia moja au nyingine tunakua tunavikosa kwa kiasi kikubwa sana kwenye milo yetu ya kila siku...

Je, ungependa niweze kukuelekeza zaidi kuhusiana na virutubisho hivyo kwa ajili ya kuusaidia mwili wako kuondokana na changamoto mbalimbali za kiafya zinazotokana na mtindo wetu wa maisha wa sasa??

K**a jibu ni ndio, basi ningependa tuweze kuwasiliana hapa ili niweze kukuelekeza zaidi.
http://wa.me/255764899798

By, Godfrey Msami,
Independent Health Consultant....
*KARIBU SANA NA NTAFURAHI KUFAHAMIANA ZAIDI NA WEWE NA KUJADILIANA MAMBO MACHACHE KUHUSIANA NA NJIA SAHIHI ZA KUILINDA MIOYO YETU ISIENDELEE KUPATA MADHARA KIAFYA...*

https://wa.me/255764899798Habari.......Kwa kipindi kirefu pia nimekua nikipatwa na changamoto ya kinywa iliyopelekea kun...
02/04/2019

https://wa.me/255764899798

Habari.......
Kwa kipindi kirefu pia nimekua nikipatwa na changamoto ya kinywa iliyopelekea kung'oa jino nikiwa na umri Mdogo kabsa Wa miaka 19.

Nilikua na tumia dawa za meno za kawaida ambazo tumezizoea na Bado wengine tunaendelea kutumia mpakaa sasa ambazo nimegundua sio salama kwa afya ya kinywa na meno; istoshe zina kemikali ya fluoride ambayo ikizidi kwa mwili Wa binadamu hupelekea changamoto za kiafya ikiwemo cancer.
Nilipofanikiwa kutambulishwa katika dawa hii ambayo nami naitmbulisha kwako, nilifanikiwa kutatua Changamoto ya kungo'a meno na mpakaa sasa sijawai umwa au kuwa na dalili za kutoboka kwa meno tena.

Naamini hapo ulipo umeipitia changamoto k**a hii au Fizi kutoa damu, kung'oa meno, meno kutoboka, kutoa arufu mbaya mdomoni, na meno kuoza. Na unatamani kutatua changamoto hii au k**a Bado hujapatwa na tatizo hili unatamani kuzuia lisikupate
*kinga ni bora kuliko tiba*

Leo napenda kuitambulisha dawa hii *forever bright* ambayo nimekua nikiitumia kwa mda mrefu sasa na nimeiona ubora na faida yake nawe pia uanze kuitumia
Inapatikana kwa Tsh 21000/=tu
Wasiliana nami kuipata au kwa ushauri zaidi
0764899798
Au WhatsApp
https://wa.me/255764899798

 * 1. KUBORESHA MMENG'ENYO WA CHAKULA TUMBONI NA KUONDOA TATIZO LA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION) huwafaa  wanaopata choo ki...
01/04/2019

*



1. KUBORESHA MMENG'ENYO WA CHAKULA TUMBONI NA KUONDOA TATIZO LA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION) huwafaa wanaopata choo kigumu pia wenye BAWASILI/,MGOLO

2. KUSAFISHA NA KUONDOA SUMU MWILINI.

3. INASAIDIA KUONGEZA KINGA YA MWILI + CD4.

4. HUUPA MWILI VIRUTUBISHO VINGI ASILIA , MFANO: VITAMIN NA MADINI TOFAUTI, NA AMINO ACIDS

5. NZURI KWAAJILI YA NGOZI, HUSAIDIA KULETA UNYEVUNYEVU, KUREPAIR NA KUIKINGA NGOZI kwa maneno mazuri ni ant aging 😃

6. HUSAIDIA KUONDOA HALI YA UCHOVU / UZEMBE HIVYO BASI HUUPA MWILI NGUVU NA UCHANGAMFU

7. HUSAIDIA AFYA YA KINYWA (Mdomo kutoa Harufu)

8. HUONDOA VIMBE MWILINI NA NZURI KWA WENYE VIDONDA VYA TUMBO , WENYE ALLERGY.

9. KUWEKA SAWA UWIANO WA PRESHA NA SUKARI YA MWILI

10. KUBALANCE HORMONIES HIVYO MZUNGUKO WA HEDHI KWA MWANAMKE HUKAA SAWA PIA HUWAFAA AMBAO HAPATI KABISA, KUONDOA MADHARA YA DAWA/SINDANO/VIPANDIKIZI VIZUIAVYO UZAZI. natumai wanawake mnaelewa madhara ya vizuia mimba mfano kukosa hedhi, kunenepa, kichefchef, kupata heavy bleeding, kutokwa maji mengi ukeni nk nk.

11. KIBOKO YA GESI
Hii n kwa wale wenye shida ya kuwa na gesi tumboni

*Ni Juice salama na asilia Iliyotengenezwa Kwa Mmea wa ALOE VERA aina ya (Barbadensis Miller) wenye vitamins, madini , enzymes, amino acid, na viturubisho vingi zaidi kuliko aina ingine ya Aloe vera, HII NI Kutoka mashamba ya THE ALOE VERA OF AMERICA Marekani, kinywaji hiki chenye 96.2% Ya Aloe Vera, Huupa Mwili Virutubisho vingi kuifanya Afya Yako iwe imara na kukuepusha na magonjwa,*

/=
....
KWA MAELEZO / USHAURI ZAIDI NA KWA UHITAJI WASILIANA NASISI KWA CONTACTS *INBOX*
EMAIL msami.gp20@gmail.com
+255764899798

*UNENE ULIOPINDUKIA NI HATARI SANA KWA AFYA YAKO.....*Unene wa kupindukia (kwa Kiingereza "obesity"; jina la kisayansi k...
30/03/2019

*UNENE ULIOPINDUKIA NI HATARI SANA KWA AFYA YAKO.....*

Unene wa kupindukia (kwa Kiingereza "obesity"; jina la kisayansi kwa Kilatini ni "adipositas") ni hali mbaya ambapo
mafuta ya ziada ya mwili hulimbikizana hadi kiwango kinachoweza kuathiri vikubwa afya , ikipelekea kupungua kwa matarajio ya kuishi na/au ongezeko la maradhi.

Tatizo la unene kupitiliza husababishwa na nini?????
Kuna mambo kadhaa yanayoweza kusababisha unene uliopitiliza . Mambo hayo ni pamoja na
👉 Vyakula vya mafuta - Ulaji wa vyakula venye mafuta mengi au calories nyingi .
👉Kutofanya mazoezi - Wale wasiofanya mazoezi mara kwa mara huwa wanene tofauti na wale wanaofanya mazoezi .
👉 Kurithi viashiria vya asili ( genes ) - Viashiria hivi vinaweza kuwa moja ya vichocheo vya kuongeza uzito kwani ndivyo huamua wapi mafuta huhifadhiwa mwilini na kwa kiwango gani . Lakini haimanishi kuwa mtu akiwa navyo basi ndio atakumbwa na tatizo hili .
👉 Umri - Watu wengi huongezeka uzito au hunenepa kadri umri unavyoongezeka kwa sababu wanakuwa hawajishughulishi sana ( less active ) na huwa wanapungua maumbile ya miili yao ( muscles mass )
👉Matatizo ya kisaikolojia - Wakati mwengine watu wenye matatizo ya kisaikolojia au msongo wa mawazo ( stress ) huwa na tabia ya kula sana , matokeo yake ni kunenepa .
👉Dawa - Baadhi ya dawa zenye madhara ya kuongeza unene ni k**a corticosteroids , blood pressure medications , tricyclic medications na kadhalika .
👉Matatizo ya afya - Baadhi ya magonjwa yanachangia kuongezeka kwa uzito au kenenepa k**a cushings syndrome , hypothyroidism , osteoarthritis na kadhalika
Vihatarishi vya tatizo la unene wa kupitiliza.

Aidha yapo mambo kadhaa ambayo yanaweza kumuhatarisha mtu kupata unene wa kupitiliza 😐Mambo haya ni pamoja na
👉 Kukua kwa uchumi wa nchi - Wananchi wengi wanaoishi kwenye nchi zilizoendelea au wenye kipato kikubwa ndio wanaopata tatizo hili kutokana na kuishi mfumo wa maisha ya kivivu na hali ya kutokufanya mazoezi ( sedentary lifestyle).
👉Historia ya kuongezeka uzito uliopitiliza kwenye familia nayo yaweza kuhatarisha mtu kupata tatizo hili. Aidha , si jambo la kushangaza kuona karibu familia nzima au wengi wa wanafamilia kuwa wanene kupitiliza
👉Kutojishughulisha na chochote (inactive ).
👉Kupenda kula sana kuliko kawaida ( overeating ).
👉Kula vyakula vya mafuta mengi
👉Kutumia dawa zenye madhara ya kuongeza uzito uliopitiliza .
👉Kuwa na ugonjwa wa vichocheo mwilini ( hormonal disorders ) k**a cushing syndrome , hypothyroidism .
👉Kuwa na msongo wa mawazo au kuathirika kisaikolojia .

*Magonjwa yanaoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza:*
Ø Kisukari
Ø Shinikizo la damu (hypertension )
Ø Kiharusi ( Stroke )
Ø Magonjwa ya moyo
Ø Tatizo la kutopumua vizuri wakati mtu yupo usingizini (Sleep apnea )
Ø Vijiwe katika mfuko wa nyongo (Gallstones)
Ø Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu ( cholesterol ikiwemo triglycerides )
Ø Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi ( osteoarthritis ).
Ø Saratani ya matiti
Ø Saratani ya tezi dume (prostate cancer )
Ø Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa (Colorectal cancer )
Ø Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa vena za miguuni (varicose veins )

Tiba ya kuongezeka unene kupita kiasi.
Tiba ya tatizo hili ni mhusika kujitambua ya kwamba ana tatizo na kuwa tayari kupunguza uzito . Mabadiliko ya tabia ya mhusika ni muhimu sana , mabidiliko haya yawe ndio mfumo wa maisha yake ya kila siku .
Kupungua uzito na kujilinda au kutunza uzito ulionao baada ya kupunguza uzito ni jambo la msingi sana na inahusisha mazoezi , chakula na madiliko ya tabia ya mtu.

Pia unaweza kutumia program maalum ya Kupunguza uzito inaitwa C9. Ni program yakuondoa sumu mwilini na kunyonya mafuta yote ktk mwili wako hivyo kunenepa tena sio rahisi baada ya kuitumia!

*Ukiihitaj C9 wasiliana nasi kwa namba piga 0764899798.au Whatsapp 0764899798.*
*JALI AFYA YAKO,UNENE ULOZIDI SIO AFYA.*

JENGA HESHIMA YA NDOATatizo la kuwahi kufika kileleni mapema misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizur,...
26/03/2019

JENGA HESHIMA YA NDOA

Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizur, kushindwa kurejea tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza, kukosa ham kabisa hasa kwa wanandoa Limekuwa tatizo la wanaume wengi sana,

Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivojaa usasa mwingi sana, lakin pia ulaji wa chakula aina moja karibia kia siku. Hali Y hewa ya sasa inauchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathir mfumo wa ndani wa mwili ukiwemo mfumo wa uzazi, mfano wanaume wengi wanaopendelea vyakula k**a chips na soda akiongeza pombe kidogo akibadilisha nyama choma na ugali akiongeza na vinywaji vyetu, mara nyingi sana wanakuwa na changamoto hii kubwa sana ya ukosefu wa nguvu za kiume
Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga na ngano iliokobolewa na mafuta mengi lakin pia kutofanya mazoezi ya kutosha limekuwa tatizo kubwa

Kujichuwa/ musturbution kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia hichangia Mtu kukosa nguvu za kiume zaidi ya 60% ya wanaume wote duniani wanakubwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika. Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia kirutubisho cha ARG+.ARG+ ni kirutubisho chenye ubora wa hali ya juu kilichosaidia watu wengi sana.

+
*inaongeza ham ya tendo la ndoa kwa jinsia zote mbili akina baba na akina mama stamina nguvu wakati wa tendo la ndoa
*inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
*inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume slerm count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility)
*inasafisha mwili na kupunguza kasi ya kuzeeka haraka
*inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo huboresha ham ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
*kusaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
*husaidia ufanisi mzuri wa kazi za moyo
*HUSAIDIA SANA HASA KWA WENYE PRESSURE YAKUPANDA
_husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda (cholesterol)
*husaidia damu kusafiri vizuri sehemu zote za mwili kwa ufanisi
*husaidia kurudisha umri nyuma kuanzia muonekano mpaka ufanyaji kazi wa viungo kwa ujumla
*Kuondoa sumu mwilini
*Kuzuia kuenea kwanini free radical, ni seli zinazozuru seli nzuri za mwili, hivo kukukinga na magonjwa yasiyoambukizwa.
*Huupa mwili nguvu kwa wafanya mazoezi na wenyekazi nyingi.

K**a unahitaji hichi kirutubisho au kwa maelezo zaidi piga whatsap http://wa.me/255764899798

  Ingredients: 100% Natural Royal JellyRoyal Jelly  ni jina la chakula special kwa ajili ya Malkia wa nyuki ( Queen Bee)...
17/03/2019


Ingredients: 100% Natural Royal Jelly
Royal Jelly ni jina la chakula special kwa ajili ya Malkia wa nyuki ( Queen Bee)kwa maisha yake yote, chakula hiki kinachangia kuwa mrefu Zaidi kuliko nyuki wa kawaida ( Worker Bee), pia pamoja na kuongeza uzazi ( Fertility) maana Malkia wa Nyuki kazi yake ni kuzaa tuu. Malkia wa Nyuki anarutubishwa mara moja pale anapokutana na Dume, na baada ya hapo anaweza kutaga mayai mengi yapatayo elfu tatu (3000) kwa siku, kwa kipindi kizima cha takribani miaka mitano (5).

THAMANI YA LISHE NA VIRUTUBISHO ILIYOPO KWENYE ROYAL JELLY
Chakula hichi kilichobalikiwa kuliko hata Asali kina virutubisho vya aina zote za Protein, fatty acids (Lipids), glucides, vitamins, hormones hasa za uzazi, enzymes,madini, na Biocatalysts kwa ajili ya kuongeza uzalizaji wa selli.

FAIDA UNAYOWEZA KUPATA:
1. Kuongeza uwezo wa uzazi kwa mwanamke( kuzalisha mayai kwa wingi) na mwanaume( kuzalisha mbegu za kiume kwa wingi)
2. Kuongeza kinga ya mwili kwa kuongeza uzalishaji wa chembe cheupe za damu.
3. Kuzuia saratani za aina mbalimbali k**a ya matiti, kizazi kwa wanawake
4. Inapambana na cancer kwa kuzuia damu kupita kwenye selli zenye cancer
5. Inasaidia kuimarisha utoaji wa insulin kwa wagonjwa wa kisukari
6. Inauwa Bacteria na kupunguza uvimbe
7. Kwa muonekano wa nje upunguza madoa kwenye ngozi na mikunjo kwenye ngozi, inaongeza ukuaji wa nywele, kucha na ngozi yenye afya k**a jinsi alivyo Malkia wa nyuki.
8. Ni mojawapo wa vyakula asilia vinavyoongeza uwezekano wa kuishi.

Kwa mawasiliano tunaweza wasiliana kwa 0764899798 ili kupata virutubisho hivi:

Forever Bee pollen  ni kirutubisho kinachotokana na vumbi za maua ambayo ni chakula cha nyuki wadogo.Bee pollen ni chaku...
16/03/2019

Forever Bee pollen ni kirutubisho kinachotokana na vumbi za maua ambayo ni chakula cha nyuki wadogo.Bee pollen ni chakula kilichokamilika na chenye virutubisho vingi muhimu kwa binadamu k**a,40% ya protein,vitamini A na B complex na pia ni multminerals ambapo ina zincambayo husaidia umeng'enyaji wa chakula na pia kuna Amino acids muhimu ambazo pia huboresha mfumo wa fahamu.

FAIDA ZA BEE POLLEN
-kubalansi homon(vichocheo).Ambapo itasaidia kwa wanawake siku za hedhi kuto kubadilika au kuvurugika na pia kusaidia kutopata utokwaj wa mimba kabla ya wakati.

-kuimarisha afya ya mbegu(shahawa) na wakati huohuo forever bee pollen ina madini mengi muhimu yanayosaidia uzalishwaji wa Nyege(mihemko)

-huupa nguvu mwili kwa watu walio buzy na kazi iwapo mtumiaji atameza asubuhi wakat wa breakfast

-hupendezesha ngozi kuanzia ndani na nje ya mwili, nakuondoa mikunjomikunjo na alama nyeusi na kutoa chunusi ikitumika kwa mda mrefu! pia husaidia nywele kujaa na afya nzur ya nywele na kuzuia kukatika.

-inavirutubisho vingi vinavyosaidia sehemu za siri zisizeeke haraka hivyo kuondoa athari za kujikojolea ovyo au kupata mkojo kwa maumivu makali na wengine mkojo hugoma kabisa(prostate cancer),pia kwa mwanamke huongeza ute ute mzito na ham ya tendo la ndoa.

-husaidia kuleta msisimko kwenye mwili ili kuondoa khali ya kufanya tendo la ndoa bila kuwa na raha yoyote na kuwa k**a gogo.

-Forever Bee pollen husaisia usagikaji wa chakula tumboni na wakati huohuo huimarisha mishipa ya moyo, pia hurisha never za fahamu ivyo ni chakula kizuri cha ubongo.

*SHARE NA WATU WENGI UWEZAVYO PAGE HII ILI WAWEZE KUIPATA ELIMU ULIOIPATA*

NB: Kumbuka Forever Bee pollen si dawa bali ni kirutubisho(LISHE) ambacho kimeandaliwa kitalaamu kinaweza kutumika na mtu yeyote anayejali Afya yake ahsante! KUIPATA TEXT OR

*Tahadhari Kwa Wagonjwa Wa Figo:**1. Uhamasishaji kuhusu magonjwa ya figo na utambuzi wa mapema;*Kuwa macho na makini il...
11/03/2019

*Tahadhari Kwa Wagonjwa Wa Figo:*

*1. Uhamasishaji kuhusu magonjwa ya figo na utambuzi wa mapema;*

Kuwa macho na makini ili utambue dalili za ugonjwa wa figo. Dalili za kawaida ni kuvimba kwa uso na miguu, kukosa hamu ya chakula, homa, kutapika, udhalifu, kukojoa kila mara, damu kwenye mkojo au kuwepo kwa protini kwenye mkojo. Wakati wa matatizo k**a hayo, inashauriwa kupata ushauri wa daktari ili upate upimaji wa figo.

*2. Tahadhari za kisukari;*

Kwa kila mgonjwa wa kisukari, tahadhari za kuzuia ugonjwa wa figo ni muhimu kwa sababu kisukari ndio sababu kuu ya ugonjwa sugu wa figo(CKD) na hitilafu ya figo kote duniani. Takriban asili mia 45% ya wagonjwa wapya wa hatua ya mwisho ya ugonjwa wa figo hutokana na kisukari. Kwa utambuzi wa mapema wa ugonjwa wa figo utokanao na kisukari njia rahisi na sahihi ni upimaji wa mkojo ili kubaini kuwepo kwa protini na msukumo wa damu kwa kila miezi mitatu. Upimaji bora zaidi wa utambuzi wa mapema kwenye kisukari ni upimaji wa maikroalbuminuria (MA) kwenye mkojo, ambao unafaa kufanywa kila

mwaka. Aidha pima kreatinini ya damu ( na e GFR) ili kuchunguza kazi ya figo angalau mara moja kila mwaka.

Msukumo wa juu wa damu, kuwepo kwa protini kwenye mkojo, kuvimba, upungufu wa sukari kwenye damu wa kila mara na kuonekana kwa dalili za kisukari kwenye jicho(diabetic retinopathy) ni vidokezo muhimu kwa figo kuhusishwa na kisukari. Jihadhari na ishara hizi hatari na upate ushauri wa daktari wako mapema.

Ili kujikinga na ugonjwa wa kisukari ya figo, wagonjwa wote wa kisukari wana wajibu wa kudhibiti kwa uangalifu sana kisukari, kudumisha msukumo wa damu uwe chini ya 130/80 mm ya Hg(ace. Inhibitor au ARB ni dawa zinazopendekezwa kwa kudhibiti msukumo wa juu wa damu) punguza kiwango cha protini kwa lishe na dhibiti mafuta.

*3. Tahadhari kwa wagonjwa wenye msukumo wa juu wa damu;*
Msukumo wa juu wa damu ndio chanzo cha pili muhimu cha ugonjwa sugu wa figo ambacho kinazuilika. Na kwa kuwa wagonjwa wengi wenye tatizo la msukumo wa damu hawaonyeshi dalili zozote, wengi husitisha matibabu kwa muda na wachache husitisha matibabu kabisa kwa kuwa wao huhisi vyema bila dawa. Lakini hii ni hatari. Msukomo usiodhibitiwa kwa muda mrefu huweza kusababisha shida na hatari k**a ugonjwa sugu wa figo , moyo kusimama ghafla na kupooza. Ili kukinga ugonjwa wa figo, wagonjwa wote wa msukumo wa juu wa damu , wanatakiwa kunywa dawa zao kila mara/kila siku, kuchunguzwa msukumo wa damu na kuwa na lishe/mlo bora na kuepuka mlo wenye chumvi. Madhumuni yawe kuweka presha /msukumo wa damu kuwa chini ya 130/80mm ya Hg. Ili kutambuwa mapema uharibifu wa figo wagonjwa wote wenye msukumo wa damu wachunguzwe mkojo na kreatinini ya damu kila mwaka.

*4. Tahadhari kwa ugonjwa sugu wa figo;*
Ugonjwa sugu wa figo hautibiki. Lakini utambuzi wa mapema na udhibiti

wa mlo,na kufuatia maelekezo ya matibabu bora itapunguza mwendelezo wa ugonjwa na kuchelewesha hatua ya matumizi ya dayalisisi au kubadilisha figo.

Udhibiti thabiti wa msukumo wa juu wa damu ni hatua muhimu ya kuzuia kwendelea kwa ugonjwa sugu wa figo . Inapendekezwa sana kuweka msukumo wa damu kuwa 130/80 mm Hg au chini. Njia nzuri ya kuthibiti msukumo wa damu ni kupima mara kwa mara hata nyumbani na kuandika sehemu ili kumsaidia daktari wako kuamua kiasi gani cha dawa akupe.

Kwa wagonjwa wenye CKD, vidokezo k**a msukumo wa chini wa damu (hypotension),kupungua maji mwilini (dehydration), kuwa na kizuizi kwenye mfumo wa mkojo (obstruction), maambukizi kwenye damu (sepsis), dawa zinazoumiza figo……nk lazima zitambuliwe. Kuchukuliwa hatua za haraka katika vidokezo hivi kunaweza kuleta nafuu kwa figo hata katika hali ya CKD.

*5. Utambuzi na matibabu ya ugonjwa wa polisistiki ya figo (PKD);*
Ugonjwa huu (ADPKD) ni hitilafu ya figo ambayo hurithiwa na hujumuisha asili mia 6-8 % ya wagonjwa walio katika dayalisisi. Mtu mzima ambaye ana historia ya ugonjwa huu wa figo yuko katika hatari kubwa sana na anastahili kuchunguzwa mapema na picha ya ultrasound ili ugonjwa ugundulike mapema. PKD haina tiba, lakini hatua k**a kudhibiti msukumo wa juu wa damu, matibabu ya maambukizi ya mfumo wa mkojo, kuthibiti lishe na usaidizi wa matibabu(supportive treatment) husaidia kudhibiti dalili, kuzuia matatizo makubwa (complications), na kupunguza kasi ya utendaji kazi wa figo.

*6. Utambuzi na matibabu ya mapema ya maambukizi ya mfumo wa mkojo kwa watoto;*
Maambukizi ya mfumo wa mkojo (UTI) lazima uhisiwe wakati mtoto anapata baridi isiyoelezeka, kukojoa kila mara, kuchomwa wakati wa kukojoa, ukosefu wa hamu ya kula na ongezeko mbaya wa uzito.

Ni muhimu kukumbuka kuwa kila maambukizi ya mfumo wa mkojo yanapotokea (UTI), hasa yenye homa husababisha uharibifu wa figo hasa isipotambuliwa, tiba ikiwa imechelewa au kutomaliza matibabu. Uharibifu unaoweza kutokea ni pamoja na figo kuwa na makovu, figo kutokukua, msukumo wa juu wa damu, na figo kushindwa kufanya kazi baadae katika maisha. Kwa sababu hii maambukizi haya kwa watoto hayahitaji tu utambuzi wa mapema au matibabu ya haraka, bali pia tathmini makini ili kubaini vihashiria vingine, hatari au athari nyingine. Vesicoureteral reflux (VUR) ndiyo chanzo kikuu cha maambukizi haya na huleta karibu asili mia 50% ya jumla ya maambukizi yote wakati wa utoto. Ufuatiliaji ni muhimu sana kwa watoto waliopatwa na UTI.

*7. Maambukizi ya mfumo wa mkojo unaojirudia rudia kwa watu wazima;*
Wagonjwa wote wenye maambukizi ya mfumo wa mkojo yenye kujirudia rudia wanahitaji kujua sababu zake. Baadhi ya sababu ni uzibaji wa mkondo wa mkojo, tiba isiyo kamili, ugonjwa wa mawe n.k) Matatizo haya yasipotibiwa vizuri huweza kuharibu figo. Kwa hiyo utambuzi wa mapema na matibabu ya vyanzo vya tatizo kujirudia rudia ni muhimu.

*8. Matibabu sahihi ya ugonjwa wa mawe Na kuvimba kwa tezi dume (BPH);*
Wagonjwa wengi wanaouguza ugonjwa wa mawe hawana dalili zozote kwa hivyo wanakosa kugundua ugonjwa na kukosa utambuzi na matibabu yake kwa wakati/ mapema. Wanaume wengi wazee walio na tezi dume (BPH) hawatambui dalili zake kwa muda mrefu. Tatizo la mawe na tezi dume k**a hayakutibiwa mapema na kwa wakati huweza kuleta uharibifu kwenye figo. Ufuatiliaji sahihi na tiba ya wakati husaidia sana kulinda figo.

*9. Usipuuze msukumo wa damu katika umri mdogo;*
Msukumo wa damu katika umri mdogo si kitu cha kawaida na kwa hiyo huhitaji uchunguzi kamili wa chanzo chake. Magonjwa ya figo ndiyo yanaweza kusababisha msukumo wa juu wa damu kwa vijana.Kwa

kila kijana mwenye msukumo wa juu wa damu anahitaji kufanyiwa utambuzi wa magonjwa ya figo na matibabu sahihi ili kulinda figo ya mgonjwa huyu.

*10. Matibabu ya mapema ya hitilafu kali ya figo;*
Vyanzo muhimu vya hitilafu kali ya figo ni kushuka ghafla kwa utendaji wa figo. Hii utokea katika matatizo yafuatayo: kuhara, kutapika, malaria (hasa aina ya falsiparumu), maaambukizo katika damu (sepsis), madawa mengine (ACE inhibitor, NSAID’s) n.k matibabu ya mapema na bora ya vyanzo hivi huweza kuzuia hitilafu ya figo.

*11. Tahadhari kuhusu matumizi ya dawa;*
Kuwa mwangalifu. Dawa nyingi zinazonunuliwa dukani hasa za kutuliza maumivu, zina hatari ya kusababisha uharibifu wa figo hasa kwa wazee. Dawa k**a hizo zinatangazwa bila kueleza hatari zinazobainishwa kwa wanunuzi. Acha matumizi ya dawa hizi kwa mauimivu ya kichwa na mwili. Pia usijitibu mwenyewe na dawa zisizofaa. Ni vyema kupata maelezo na maelekezo ya daktari kuhusu matumizi salama ya dawa. Ni vibaya kuamini kuwa dawa zote za asili na badala (Ayurvedic medicines, Chinese herbs….nk) pamoja na virutubisho vya vyakula (dietary supplements) si hatari.

Vyuma vizito vilivyo kwenye dawa za Ayurvedic vinaweza kusababisha uharibifu wa figo.

*12. Tahadhari kwa figo moja;*
Watu walio na figo moja huishi maisha sawa na yenye afya. Kwa kuwa watu hawa hawana figo nyingine, tahadhari lazima zichukuliwe. Mgonjwa adhibiti msukumo wa damu, anywe maji mengi, awe na lishe bora, apunguze /adhibiti ulaji wa chumvi, asile vyakula vyenye viwango vya juu vya protini, na kwa namna yoyote ile azuie jeraha la hiyo figo moja. Tahadhari muhimu zaidi ni uchunguzi wa kiafya wa mara kwa mara. Inafaa amuone daktari mara moja kwa mwaka ili kuchunguza kazi ya figo kwa kuangalia msukumo wa damu, upimaji wa mkojo na damu, pia upimaaji wa ultra sonogramu ,iwapo inahitajika.

*TUKUMBUKE SIKU ZOTE KINGA NI BORA KULIKO TIBA, K**A UNAYO TATIZO USISITE KUULIZA TUKAKUSAIDIA KWA UELEWA ZAIDI NA USHAURI PIA NI JINSI GANI UNAWEZA UKAJIKINGA AU K**A UPO HATUA ZA AWALI, UFANYE NINI ILI UWEZE KUONDOKANA NALO.*

*KARIBUNI SANA....... Tuwasiliane hapa kwa maelekezo na maswali zaidi au piga namba 0764899798.*

Address

Usa River

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora na Ujasiriamali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Bora na Ujasiriamali:

Share