15/02/2026
Maisha ni zawadi, na mtoto ni baraka isiyoelezeka.
Kila mwanamke ana ndoto moyoni mwake ya kubeba, ya kulea, ya kupenda bila mipaka.
Mungu akujalie kila anayetamani baraka hii, aipokee kwa wakati wake mzuri.
Amina k**a unaamini 🙏❤️