Habibu Healthy Services

Habibu Healthy Services Tunawasaidia Watoto Wenye Umri wa Miezi 6 hadi miaka 5 Wasiopenda Kula, Wasioongezeka Uzito, Wenye Ukuaji duni na Wenye Ufahamu mdogo wa Akili.

Ushauri Bure 0777107666 Dr. Habibu

05/04/2026

Wewe ni Muuguzi?

Unapenda kazi yako… lakini ukweli ni huu:
➡️ Muda mwingi uko kazini
➡️ Uchovu mwingi
➡️ Kipato hakilingani na juhudi zako

Vipi k**a ungeweza kupata kipato cha ziada bila kuacha kazi yako ya uuguzi?
✔️ Hakuna kuathiri shift zako
✔️ Hakuna mtaji mkubwa
✔️ Unafanya kwa muda wako wa ziada
✔️ Unasaidia watu kiafya huku ukiongeza kipato

🔥 Hii ni fursa kwa wauguzi wanaotaka:
Kujikwamua kifedha
Kuwa na uhuru wa kipato
Kujiandaa na maisha bora ya baadae

📲 Nitumie neno “INFO” WhatsApp 0777107666 au Gusa link hii wa.me/+255777107666 Tukuelekeze hatua kwa hatua, Usikose nafasi hii… wenzako tayari wameanza! WEWE UNASUBIRI NINI?

02/04/2026

*Unasumbuliwa na weusi kwenye mapaja, kwapa, shingo au chini ya matiti?*

_Usikae kimya... hii ni shida inayowakumba watu wengi lakini wachache wanajua suluhisho sahihi!_

❌ Usifiche tena
❌ Usipoteze pesa kwa bidhaa zisizofanya kazi

🌿 Pata suluhisho la asili, salama na lenye matokeo
✨ Ngozi inarudi kwenye rangi yake ya asili
✨ Inakuwa laini, safi na yenye afya

*Watu wengi tayari wameona mabadiliko… wewe unasubiri nini?*

📩 Niandikie “NATAKA” kwenda WhatsApp +255 785 660 692 au gusa link hii wa.me/+255785660692 tuma neno nataka upate muongozo👏

22/03/2026

Dalili za nimonia huanza taratibu lakini huja kuwa hatari! Tambua mapema, chukua hatua 👶⚠️

21/03/2026

Massage hii, mazoezi, Lishe tutakazokupatia zitamsaidia mtoto kuondosha Matege...
TUMA NENO MTOTO WhatsApp no. 0777107666

14/03/2026

Je, mtoto wako amekamilisha chanjo zote? 👶💉

Chanjo humlinda mtoto dhidi ya magonjwa hatari k**a Polio, Measles na Tuberculosis.

Usisubiri mtoto aumwe mkinge mapema kwa kufuata ratiba ya chanjo kliniki. Afya ya mtoto wako iko mikononi mwako!

Karibu tukushari kuhusu afya ya mtoto wako kwa changamoto yoyote

08/03/2026

Afya ya mtoto ni jukumu la mzazi.
Ukizingatia lishe bora, usafi, usingizi wa kutosha na chanjo kwa wakati, unamsaidia mtoto wako kukua akiwa mwenye afya na kinga imara.

Swali:
Mtoto wako anakumbana na changamoto gani kiafya mara nyingi?

02/03/2026

ISHARA ZA ONYO KWA MTOTO AMBAZO MZAZI HAPASWI KUPUUZA 🚨

Wazazi wengi husubiri mtoto awe mgonjwa sana ndipo wachukue hatua…

Lakini ukweli ni kwamba, mwili wa mtoto huanza kutoa dalili mapema kabisa.

Kupungua uzito, kukosa hamu ya kula, kuumwa mara kwa mara au kukosa nguvu — hizi si hali za kupuuzwa.
Mzazi makini haangalii tu mtoto analia… anaangalia hata mabadiliko madogo ya tabia na mwili wake.

🎯 Usisubiri hali iwe mbaya. Chukua hatua mapema.
👉 Follow kwa elimu zaidi ya afya ya watoto.
👉 Share video hii mzazi mwingine naye ajifunze.




28/02/2026

Hivi ni miongon mwa vyakula vya mtoto ukitumia pamoja na unga tutakaokuelekeza ndani ya siku 14 mtoto atasnza kuongezeka uzito vizury

Je unapenda kufahamu na Vyakula vyengine?

27/02/2026

Ilikuwa siku ya kipekee na yenye furaha asante kwa wote walohudhuria

26/02/2026

Mtoto wangu hali kabisa…” 😟
Usiharakishe kusema ni ukaidi.

Wakati mwingine sababu si chakula…
ni gesi, kukosa choo, kuota meno, au hata upungufu wa damu.

Mzazi makini hutafuta chanzo kwanza kabla ya kulaumu mtoto.

Ukishajua sababu, suluhisho linakuwa rahisi zaidi.
Afya ya mtoto huanzia tumboni 🧡

Je, mtoto wako anakataa kula mara kwa mara? Dalili gani huwa unaona kwanza? Niandikie kwenye comment👇👇

26/02/2026

Mtoto wangu hali kabisa… 😟
Usiharakishe kusema ni ukaidi.

Wakati mwingine sababu si chakula…
ni gesi, kukosa choo, kuota meno, au hata upungufu wa damu.

Mzazi makini hutafuta chanzo kwanza kabla ya kulaumu mtoto.

Ukishajua sababu, suluhisho linakuwa rahisi zaidi.
Afya ya mtoto huanzia tumboni 🧡

Je, mtoto wako anakataa kula mara kwa mara? Dalili gani huwa unaona kwanza? 👇👇

Address

Michenzani
Zanzibar City
7011

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habibu Healthy Services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Habibu Healthy Services:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram