Habibu Healthy Services

Habibu Healthy Services Tunawasaidia Watoto Wenye Umri wa Miezi 6 hadi miaka 5 Wasiopenda Kula, Wasioongezeka Uzito, Wenye Ukuaji duni na Wenye Ufahamu mdogo wa Akili.

Ushauri Bure 0777107666 Dr. Habibu

31/08/2025

Wewe ni mzazi unayejali afya ya mtoto wako?

Je, umewahi kujiuliza kwanini mtoto wako:
🥺 Hana hamu ya kula?
🥺 Haongezeki uzito k**a wenzake?
🥺 Ukuaji wake unachelewa?

👉 Usikubali mtoto wako kubaki nyuma!
Nimeandaa DARASA LA BURE la Siku 7 litakalokufundisha mbinu rahisi na salama za kumsaidia mtoto wako:
✅ Kuongeza hamu ya kula
✅ Kushika uzito mzuri
✅ Kukuza mwili na akili kwa afya bora

💡 Fursa hii ni ya kipekee — usiiache ipite!

📲 Bonyeza hapa sasa kujiunga na group la Afya👇
https://chat.whatsapp.com/H6SrDgwu8wC7f7YWr43xtx?mode=ems_copy_t

29/07/2025

*05_ Ukinywa maziwa glass 1 kila siku*

*Ukinywa maziwa glass moja kwa siku yanakusaidia kuimarisha mifupa na kukuondoshea udhaifu wa mifupa hususan kwa wagonjwa wa mifupa k**a wa Sickle cell au wazee wenye matatizo ya mifupa au wanawake walozaa Bila kupumzika au watu walopata ajali na kuvunjika mifupa au viungo*

Usiku mwema

*04_Ukila tende 4 kwa siku**Tende ni tunda lenye madini na vitamin vingi Sana tunda ambalo hatak**a ni mgonjwa wa kisuka...
29/07/2025

*04_Ukila tende 4 kwa siku*

*Tende ni tunda lenye madini na vitamin vingi Sana tunda ambalo hatak**a ni mgonjwa wa kisukari unapaswa kutumia...sasa basi ukijiona unaishiwa na nguvu mwilini mara kwa mara ukiwa mgonjwa wa kisukari ama sio mgonjwa basi kula tende 4 kwa siku udhaifu wote utaondoka baada ya kula tende kunywa na maji glass 1 hadi 2...Tende inasaidia kwenye uzalishwaji wa homoni mwilini na kuongeza hisia za mwili*

*03_Ukinywa maji glass 8 kwa siku**Mwili wetu asilimia 80% ni maji ukinywa maji glass 8 kwa siku viungo vyako vya mwili ...
29/07/2025

*03_Ukinywa maji glass 8 kwa siku*

*Mwili wetu asilimia 80% ni maji ukinywa maji glass 8 kwa siku viungo vyako vya mwili vyote hupata maji ya kutosha na vinapata uhuru wa kufanya kazi zake vizury...na kiungo kikubwa mwilini mwako ni ngozi na ukinywa maji glass 8 ngozi yako siku zote itakuwa na mg'ao mzury na haitokuwa kavu, kupayuka na kuchaa haraka k**a unapenda uwe na ngozi safi mzury yenye afya kunywa maji glass 8 kwa siku jiulize ww unakunywa glass 8 k**a hapana basi jitahidi kunywa*

29/07/2025

*02_Ukinywa juice ya limau au ukakamua limao ukanywa 1 kwa siku*

*Tukiongelea limao tunamanisha jamii ya malimao ndimu, chungwa kali,n.k..ukila tunda hili moja au ukakamua na kunywa juice yake mwili wako hautohifadhi mafuta ovyo na hautonenepa ovyo na mwili wako utabaki k**a ulivyo...na k**a ni mnene utapungua taratibu ikiwa hauli mafuta mengi kwa siku...ukinywa juice hii inapenda unywe na maji ya kutosha ipate kutembea sehemu zote za mwili...pia inasaidia kuondosha lehemu(mafuta) mbaya kwenye mishipa ya damu*

*01_Ukila Apple 🍎 moja kwa siku**K**a unaumwa ovyo au unapenda usiumwe ovyo kula Apple moja kila siku hautoumwa ovyo kwa...
29/07/2025

*01_Ukila Apple 🍎 moja kwa siku*

*K**a unaumwa ovyo au unapenda usiumwe ovyo kula Apple moja kila siku hautoumwa ovyo kwa sababu Apple linatoa taka sumu mwiliki kwa asilimia 50% katika mwili wako zilizoingia mwilini mwako kwa siku 1...sasa basi upungufu wa taka sumu mwilini ndio chanzo kikubwa cha kutokuumwa ndio mana wanaofanya mazoezi pia hawaumwi ovyo..pia Apple Lina wingi wa vitam ikiwemo vitamin C ambavyo vinasaidia kuongeza Kinga mwilini na kupambana na magonjwa mwilini mwako*

*05_Mwisho kwa leo...Ukija hospital kuangalia mgonjwa jitahidi kuzingatia mambo 6 muhimu...01. Usishike ngazi za hospita...
29/07/2025

*05_Mwisho kwa leo...Ukija hospital kuangalia mgonjwa jitahidi kuzingatia mambo 6 muhimu...01. Usishike ngazi za hospital yani vile ukipanda au kushuka kwa ngazi pembeni kuna sehemu za vizuizi usizishike, 02. Usimshike mgonjwa hatak**a ni nani yako(najuwa ni ngumu) Ila inapaswa kuwa ivo, 03. Usikae kitako kwenye kitanda cha mgonjwa, 04. Usimpake chochote kutoka nyumbani hatak**a unaamin ni dawa itamsaidia omba ruhusa kwanza, 05. Usikatie tamaa mgonjwa hatak**a yupo hali mbaya, 06. Usimnyweshe chochote mgonjwa hususani wagonjwa wasio weza kula kwa mdomo wanakula kwa mrija unaweza kumuua hapo hapo leo kaja mwana wa mgonjwa kaja na dawa kamtilia mdomoni mama yake na hawezi kula wala kunywa pale pale hali yake imebadilika na kuna uwezekano wa kupoteza maisha*

29/07/2025

*04_ Kawaida Watoto huanza kuota meno kulingana na umri na afya zao na kuna wengine huchelewa kuna wengine huwahi kuota kutoka na lishe bora wanazopata angalia hiyo pich vizury👆 inaonesha umri na idadi ya meno anayoweza kuota kwa umri wake ukiona wako umri mkubwa meno machache au hajaota huyo Ana upungufu wa lishe...kawaida meno haya huota na kung'oka kila umri unavyoenda ni jambo la kawaida na kuna umri ukifikia inakuwa huoti tena meno mara nyingi kuanzia miaka 20 Kuja juu*

29/07/2025

*03_ Duniani kuna Madaktari wakuu 6 ambao ni...01. Jua...Hakikisha kwa siku japo kidogo mwanga wa jua unakufikia, 02. Mapumziko...pambana fanya kazi lakini jitengee mda wa mapumziko, 03. Mazoezi kuwa besy na pirka lakini kwa wiki japo mara 2 fanya mazoezi dakika 15 tu zinatosha , 04. Chakula bora...fanya ufanyavyo hakikisha unakula mlo bora hatak**a baadhi ya siku utajiachia ila isiwe mazoezea, 05. Maji...kunywa maji kwa kiwango sahihi na wakati sahihi ukiumwa ikiwa ulikuwa haunywi maji ya kutosha, 06. Marafiki sahihi wanaokupa furaha...Shik**ana nao kwenye kila hatua ya maisha yako usiwe msaliti.*

*02_ Mambo 4 muhimu ya kuyafahamu...*01 Jipunguzie msongo wa mawazo hakuna kitu cha milele hata matatizo ni ya mda tu ha...
29/07/2025

*02_ Mambo 4 muhimu ya kuyafahamu...*01 Jipunguzie msongo wa mawazo hakuna kitu cha milele hata matatizo ni ya mda tu hakuna aloumbiwa shida tupu, 02. Penda kujitegemea mwenyewe usipende kumtemea mtu mana hakuna anaejali shida zako za kila siku na kawawaida binaadamu tonaboa dakika za mwisho, ukipata nafasi ya kuishuhudia mvua inanyesha mshukur mungu sana na amini kuna neema inakuja mana mvua inakuja na neema na inaondosha mikosi, 03. Hakikisha siku zote unakuwa na furaha ikipotea mchana jitahidi usilale Bila kuwa na furaha tafuta kitu unachopenda kinachokupa furaha ufanye mfano kucheza game kuangalia movie n.k, 04. Pendelea kutokujutia maisha yako na kutokujizarau jikubali mwenyewe hakuna atakae jali madhaifu yako hakuna mkamilifu*

29/07/2025

*01_ Kuna aina 5 za wanawake ambao watazeeka haraka jitathmin wewe haumo kwenye aina hizi!!?..01. Waaipfanya mazoezi hata mara 2 kwa wiki, 02. Wanaogopa kila siku (Waoga) kila kitu wao wanaogopa na kujitenga tenga, 03. Wanaopenda kukasirika mara kwa mara, 04. Wanaokunywa maji kidogo sana kwa siku, 05. Wanaolala masaa machache....ikiwa umo kwenye list ya wanawake hawa unapaswa kuchukuwa hatua mapema na kuepuka hizi tabia zote*

25/07/2025

*04_ Kwanini wanawake ni rahisi kupata UTI kuliko wanaume na wanawake inawerejea mara nyingi zaid kuliko wanaume?....Jibu ni kwa sababu wanawake maumbile yao yapo wazi zaid kuliko wanaume pia wanawake maumbile yao Yana maji maji kwa wingi kuliko wanaume tatu wanawake hutokwa na maji maji tofauti na kwa wingi na mara kwa mara kuliko wanaume ndio mana kwao wao uti haziwaishii hususan yule mwanamke ambae usafi wake ni duni....NOTE: USAFI ni kitu muhimu mno kwa wanawake na wanaume na wanawake ni zaid unapaswa kuwa makini mno ili kuepuka maradhi tofauti*

Address

Michenzani
Zanzibar City
7011

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habibu Healthy Services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Habibu Healthy Services:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram