Habibu Healthy Services

Habibu Healthy Services Tunawasaidia Watoto Wenye Umri wa Miezi 6 hadi miaka 5 Wasiopenda Kula, Wasioongezeka Uzito, Wenye Ukuaji duni na Wenye Ufahamu mdogo wa Akili.

Ushauri Bure 0777107666 Dr. Habibu

Dalili za presha ya kupanda zinaweza zisiwe za wazi sana, ingawa ni muhimu kuzifahamu.Ni muhimu kuelewa kuwa presha inaw...
20/06/2025

Dalili za presha ya kupanda zinaweza zisiwe za wazi sana, ingawa ni muhimu kuzifahamu.

Ni muhimu kuelewa kuwa presha inaweza kuwa kubwa bila kuonesha dalili yoyote, hivyo ni muhimu kufahamu presha yako mara kwa mara ili isikuletee madhara.

Kutokuwa na dalili mahususi, presha ya kupanda ndiyo maana ikaitwa muuaji wa kimya kimya.

Dalili za presha ya kupanda zinaweza kuwa kali au za kawaida kulingana na upandaji wa presha.

Hivyo tegemea dalili tofauti presha inapopanda kidogo, presha inapopanda katika kiwango cha tahadhari (hypertension urgency), na presha inapopanda kiwango cha hatari (hypertension emergency).

Zipi ni dalili za mimba changa.Kila mwanamke ni tofauti kuhusu dalili za mimba. Si kila mwanamke atakuwa na dalili sawa ...
02/06/2025

Zipi ni dalili za mimba changa.
Kila mwanamke ni tofauti kuhusu dalili za mimba. Si kila mwanamke atakuwa na dalili sawa au hata dalili za mimba changa bado hutofautiana kutoka mimba moja hadi nyingine

1.Kuhisi Uzito kwenye Matiti
Wanawake kwa ujumla hupata matiti makubwa yaani unaweza kuhisi matiti yako ni laini, yanauzito na yanatia maumivu unapogusa, hii kwa kawaida hutokea kutokana na mabadiliko ya homoni mwilini mwa mwanamke. Kuvimba huku kawaida kunaweza kudumu hadi wiki 2 baada ya mimba kutunga. K**a dalili za mimba changa Kwenye Matiti yako unaweza kuhisi maumivu, kuwa na hisia kali na kuwa laini unapoyagusa.

*01_Ukiwa chooni/msalani**Wakati wa kujisaidia hususan choo cha kukaa jitahidi usikae kitako mda mrefu au k**a umechuchu...
17/05/2025

*01_Ukiwa chooni/msalani*

*Wakati wa kujisaidia hususan choo cha kukaa jitahidi usikae kitako mda mrefu au k**a umechuchumaa/kuchutama isiwe mda mrefu kwa sababu wakati umekaa mkao huo miguu imejikunja damu haitembei inavyopaswa Kuja miguuni hivyo sasa utapata ganzi/Kibibi ya ghafla na utashindwa kutembea na utaanguka kitu ambacho ni hatari kwa afya yako hivyo sasa ukiwa unajisaida ukiona choo hakitoki ni cha kusubiri sana kwanza simama kwa dakika chache kujiskilizia halafu uendelee tena kwa usalama wa afya yako*

Tiba sahihi ya maumivu ya mgongo, nyonga na viungoNi Kufanyiwa massage laini kwa kutumia heat lotion walau kwa siku mara...
03/04/2025

Tiba sahihi ya maumivu ya mgongo, nyonga na viungo

Ni Kufanyiwa massage laini kwa kutumia heat lotion walau kwa siku mara 1..hii tunawashauri wanandoa wajitahidi sana Ila kuifanya misuli Yao I relax na ipunguwe kukaza...Note: musifanye massage kwa nguvu mpaka mtu anaamka amechoka hapana sio sahihi iwe laini ya kutokuskia maumivu

💚 Mwanamke uliojifungua kwa operation hutakiwi kufanya tendo la ndoa kwa kukalia juu uume!! Unarusiwa kufanya lakini sio...
10/03/2025

💚 Mwanamke uliojifungua kwa operation hutakiwi kufanya tendo la ndoa kwa kukalia juu uume!! Unarusiwa kufanya lakini sio ile styles mwanaume amelala wewe upo juu no kitaalamu style ile sio Salama kwako kwa sababu inasababisha kukandamiza kizazi ndani! 🩸

Viatu vya juu ni kweli kabisa vinasababisha maumivu ya nyonga k**a utatumia kwa siku mzima au mara kwa mara pia vinasaba...
10/03/2025

Viatu vya juu ni kweli kabisa vinasababisha maumivu ya nyonga k**a utatumia kwa siku mzima au mara kwa mara pia vinasababisha mimba kutoka hususani mimba changa au mtoto kushuka bila kufika wakati wake pia vinasababisja visigino(vifundo vya miguu) kuuma musipendelee kuvaa kwa mda mrefu na kutembea masafa marefu🩸🎯

K**a mtoto wako amefikisha Miezi 6 na unataka kumuanzisha vyakula, anza hivi..... Kumpaa vyakula vilaini kwa mfano supu ...
10/03/2025

K**a mtoto wako amefikisha Miezi 6 na unataka kumuanzisha vyakula, anza hivi..... Kumpaa vyakula vilaini kwa mfano supu ya samaki, mtori na supu ya boga!, uji ulovhanganywa na maziwa n.k Hii itakusaidia badae hata akila vyakula vizito havitompaa shida sana kwa sababu utumbo wake badae haujakomaa🖐🏼

Mtoto akinywa mafuta ya taa k**a ana pumua kwa shidaa kuna uwezekano mkubwa mafuta yameingia kwenye njia ya hewa hivo mp...
10/03/2025

Mtoto akinywa mafuta ya taa k**a ana pumua kwa shidaa kuna uwezekano mkubwa mafuta yameingia kwenye njia ya hewa hivo mpeleka hospital kwa haraka kupata huduma bora usimpee maji wala maziwa! 🖐🏼

Utunze moyo wako kwa kula vyakula vinavyoendana na mahitaji ya moyo vyakula vyenye mafuta mengi na chumvi nyingi ni adui...
10/03/2025

Utunze moyo wako kwa kula vyakula vinavyoendana na mahitaji ya moyo vyakula vyenye mafuta mengi na chumvi nyingi ni adui wa moyo wako..

Utafiti : unaweza kupata tatizo la moyo kutanuka endapo tu mpenzi wako atakupatia tarifa mbaya mfano " sina muda na wewe...
10/03/2025

Utafiti : unaweza kupata tatizo la moyo kutanuka endapo tu mpenzi wako atakupatia tarifa mbaya mfano " sina muda na wewe tena nina mtu mwengine anayejali tafuta type yako" ni tarifa mbaya na kuumiza kwenye moyo kitendo hicho kuna kitu kwenye moyo tunaita [parasympathetic and sympathetic ] yani moyo unaenda mbio na kuaza kutetemeka na kuanza kujikojolea bila kujizuia na misuli ya moyo kutanuka gafla.... na moyo ukitanuka kurudi tena k**a mwanzo ni ngumu sana🩸🎯

Address

Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habibu Healthy Services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Habibu Healthy Services:

Share