Omari & afya bora

Omari & afya bora NASAIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA KAMA KUKOSA CHOO,VIDONDA VYA TUMBO,GESI,BAWASILI,SARATANI YA UT

HITILAFU KATIKA MFUMO WA MMENGENYO WA CHAKULA Afya ya mfumo wako wa umeng’enyaji chakula hutegemea hasa uwiano mzuri kat...
11/04/2022

HITILAFU KATIKA MFUMO WA MMENGENYO WA CHAKULA

Afya ya mfumo wako wa umeng’enyaji chakula hutegemea hasa uwiano mzuri kati ya bakteria wazuri na wabaya wanaoishi kwenye tumbo lako.
Bakteria wazuri ambao kwa kawaida hukaa tumboni mwako ni wa muhimu sana katika umeng’enyaji wa chakula, kwakuwa husaidia urekebishaji wa vyakula vya wanga, nyuzinyuzi au fiber pamoja na baadhi ya sukari.
Pale bakteria kwenye tumbo lako wanapokuwa hawana uwiano sawa, unaweza kuanza kuona matatizo katika umeng’enyaji chakula, ikiwa pamoja na kukosa choo, kuharisha, kuhisi kichefuchefu, gesi, tumbo kuunguruma, nk.

Nipigie simu Kwa msaada zaidi

Afya ni muongozo
11/04/2022

Afya ni muongozo

Address

Kwerekwe
Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Omari & afya bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram