AMKA Be AWARE Be ALIVE

AMKA Be AWARE Be ALIVE Kila mtu ni wa thamani, na kila thamani ya mtu huonekana pale anapogundua kusudi lake la kwa nini amezaliwa na kuanza kulifanyia kazi kusudi hilo.

Address

Zanzibar City
255

Telephone

+255715439205

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AMKA Be AWARE Be ALIVE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AMKA Be AWARE Be ALIVE:

Share

AMKA Be AWARE Be ALIVE

Mafanikio halisi katika maisha ya binadamu ni ile hali ambayo anajihisi baada ya kutimiza lengo lolote maishani alilojiwekea, liwe ni lengo kubwa au dogo, liwe limetimia ndani ya masaa kadhaa au ndani ya miaka kadhaa. Na hali hii sio nyingine zaidi ya upendo, furaha na amani. UPENDO, FURAHA, AMANI ni asili ya kila aitwaye binadamu, na endapo chochote kitaingia ndani ya binadamu kilicho kinyume na UPENDO,FURAHA,AMANI basi mwili kupitia ufahamu,hisia,nafsi na viungo vya mwili utahamaki kwa lengo la kujihami na hatimaye kuacha madhara ya mateso,maradhi na vifungo mbalimbali katika maisha ya binadamu huyo. Njia pekee ya kulinda UPENDO,FURAHA,AMANI ni kujitambua na kuanza kuishi kiuhalisia badala ya dhahania kwa kupitia upya elimu,imani,tamaduni,mila na desturi zake alizokusanya tangu utoto na kuondoa kila lenye ukakasi,shaka na viashiria vyenye kutishia uhai wa UPENDO,FURAHA,AMANI ndani ya binadamu.