AMKA Be AWARE Be ALIVE
- Home
- Tanzania
- Zanzibar City
- AMKA Be AWARE Be ALIVE
Kila mtu ni wa thamani, na kila thamani ya mtu huonekana pale anapogundua kusudi lake la kwa nini amezaliwa na kuanza kulifanyia kazi kusudi hilo.
Address
Zanzibar City
255
Telephone
Website
Alerts
Be the first to know and let us send you an email when AMKA Be AWARE Be ALIVE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Contact The Practice
Send a message to AMKA Be AWARE Be ALIVE:
Shortcuts
AMKA Be AWARE Be ALIVE
Mafanikio halisi katika maisha ya binadamu ni ile hali ambayo anajihisi baada ya kutimiza lengo lolote maishani alilojiwekea, liwe ni lengo kubwa au dogo, liwe limetimia ndani ya masaa kadhaa au ndani ya miaka kadhaa. Na hali hii sio nyingine zaidi ya upendo, furaha na amani. UPENDO, FURAHA, AMANI ni asili ya kila aitwaye binadamu, na endapo chochote kitaingia ndani ya binadamu kilicho kinyume na UPENDO,FURAHA,AMANI basi mwili kupitia ufahamu,hisia,nafsi na viungo vya mwili utahamaki kwa lengo la kujihami na hatimaye kuacha madhara ya mateso,maradhi na vifungo mbalimbali katika maisha ya binadamu huyo. Njia pekee ya kulinda UPENDO,FURAHA,AMANI ni kujitambua na kuanza kuishi kiuhalisia badala ya dhahania kwa kupitia upya elimu,imani,tamaduni,mila na desturi zake alizokusanya tangu utoto na kuondoa kila lenye ukakasi,shaka na viashiria vyenye kutishia uhai wa UPENDO,FURAHA,AMANI ndani ya binadamu.