wanu_na_afya

wanu_na_afya Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from wanu_na_afya, Medical and health, Zanzibar.

*DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA*πŸ”ΆSio wote wenye tatizo hili huonesha Dalili. Asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo h...
13/07/2022

*DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA*
πŸ”ΆSio wote wenye tatizo hili huonesha Dalili. Asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo hili hawaoneshi Dalili zozote. Aina ya tatizo Hili kitaalamu inayojulikana K**a *HYDROSALPINX* ndio huwa na Dalili za maumivu ya tumbo na Kutokwa na maji maji mengi ukeni.

*HYDROSALPINX* Ni Aina ya tatizo la mirija ya uzazi kuziba ambapo mirija inaziba na kujaa maji. Pia Mwanamke huweza kupata Dalili K**a Maumivu wakati wa tendo la ndoa na maumivu makali wakati wa hedhi n.k

*KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KUNASABABISHA VIPI UGUMBA..?*

⬛Kila mwezi yai la mwanamke linapopevuka huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa mayai na kusafiri kuelekea kwenye mji wa mimba. Mbegu za kiume pia husafiri kutokea kwenye shingo ya kizazi na kulifuata yai kwenye mirija ya uzazi ili kulirutubisha, tuelewe kuwa urutubishwaji wa yai unafanyika kwenye mirija ya uzazi wakati wa yai linasafiri kuelekea mji wa mimba.

πŸ”ΆMirija inapokuwa inazuia yai kusafiri kufika kwenye mji wa mimba, husababisha mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.

K**a unamfahamu mwanamke mwenye changamoto hii usisite kuwasiliana nasi: piga simu/sms/WHATSAPP:πŸ‘‡ Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali
0774 010 322 (Wanu na Afya)

Piga simu au WhatsApp
Bonyeza link hii tafadhali
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½
https://wa.me/message/6N2ODLSXJZ5JM1

09/07/2022
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali 0774 010 322 (Wanu na Afya)Piga simu au WhatsApp Bonyeza link hii tafadhali πŸ‘‡...
22/06/2022

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali
0774 010 322 (Wanu na Afya)

Piga simu au WhatsApp
Bonyeza link hii tafadhali
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½
https://wa.me/message/6N2ODLSXJZ5JM1

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali 0774 010 322 (Wanu na Afya)Piga simu au WhatsApp Bonyeza link hii tafadhali πŸ‘‡...
22/06/2022

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali
0774 010 322 (Wanu na Afya)

Piga simu au WhatsApp
Bonyeza link hii tafadhali
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½
https://wa.me/message/6N2ODLSXJZ5JM1

0774010322
14/06/2022

0774010322

ANTIDIARR PILLS" ni bidhaa mojawapo ya mfumo wa chakula ambayo imetengenezwa kwa mimea na viungo asilia K**a vile YELLOW...
08/06/2022

ANTIDIARR PILLS" ni bidhaa mojawapo ya mfumo wa chakula ambayo imetengenezwa kwa mimea na viungo asilia K**a vile YELLOW CYPRESS, CINNAMON, LIQUORICE, CLOVE pamoja na DRIED TANGERINE.

Moja ya Sifa za ANTIDIARR PILLS ni kutoa Majibu haraka kwa muda mfupi Sana au Ndani ya masaa machache au Dakika kadhaa Mara baada ya kutumia (INSTANTLY RESULTS).

KAZI YAKE
1.Inadhibiti na kutibu tumbo la kuhara papo kwa hapo.

2.Inadhibiti kichefuchefu na kutapika.

3.Inatibu tumbo kujaa gesi.

4.Inatibu kuvimbiwa.

5.Inatibu typhoid na kuhara ndani ya dakika3.

6.Inatibu meno yanayouma na kuondoa mdudu kwenye meno.

7.Inatibu harufu Mbaya mdomoni.

8.Inaondoa sumu mwilini. Kwa mfano K**a mtu Amekula chakula Chenye sumu, hii dawa ni kiboko yake yaani Hakuna kuchelewesha unaokoa Maisha ya mtu hapo hapo.

9.Inaondoa matatizo ya kukosa hamu ya Kula.

10.Inatibu vidonda vya tumbo kwa haraka ikitumiwa na CONSITI Relax.

11.Inaondoa kujisikia vibaya kutokana na uvimbe tumboni.

12.Antidiarr pills ni zuri sana kwa wasafiri, ni kinga na Tiba ukiwa safarini.

Kulingana na sifa hizi ANTIDIARR PILLS si yakokosekana Katika familia yako.

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali
0774 010 322 (Wanu na Afya)

Piga simu au WhatsApp
Bonyeza link hii tafadhali
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½
https://wa.me/message/6N2ODLSXJZ5JM1

DALILI ZA KUWA UNA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME;Piga simu namba  au whatsapp1. Mwanaume kuwahi kufika kileleni kabla ya mw...
07/06/2022

DALILI ZA KUWA UNA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME;
Piga simu namba au whatsapp

1. Mwanaume kuwahi kufika kileleni kabla ya mwanamke, na kukosa nguvu/ hamu ya kuendelea na tendo la ndoa ( Pre-mature ej*******on)

2. Uume kusimama kwa ulegevu/ na kushindwa kuendelea kusimama kwa muda mrefu wakati tendo la ndoa likiendelea ( Erectile dysfunction)

3. Uume kuwa mdogo k**a wa mtoto

4. Kukosa hamu ya tendo la ndoa ( Low s*x drive )

5. Kushindwa kumpa mwanamke ujauzito n.k.

: SABABU ZA KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
➑️ Uoga wakati wa kufanya tendo la ndoa (Anxiety)
➑️ Kupiga punyeto (kujichua) kwa muda
➑️ Ulaji mbovu wa vyakula vya kisasa
➑️ Kutokupata usingizi vizuri (Sleep disorders)
➑️ Kiwango kidogo cha homoni ya testosterone
➑️ Matatizo ya figo na UTI
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi tafadhali
0774 010 322 (Wanu na Afya)

Piga simu au WhatsApp
Bonyeza link hii tafadhali
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½
https://wa.me/message/6N2ODLSXJZ5JM1

Kwani uteseke na ukate tamaa wakati matibabu sahihi na garama nafuu call no  0774010322
04/06/2022

Kwani uteseke na ukate tamaa wakati matibabu sahihi na garama nafuu call no 0774010322

Kwa matibabu Bora bila chemical yoyote wasiliana Kwa 0774010322
04/06/2022

Kwa matibabu Bora bila chemical yoyote wasiliana Kwa 0774010322

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when wanu_na_afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to wanu_na_afya:

Share