Health good tz

Health good tz Pata SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME..

dume
uliopitiliza
KINGA NI BORA KULIKO TIBA

Kuna muda mtu akipitia msongo wa mawazo kwa muda mrefu hujikuta akiingia kwenye njia ambazo sio sahihi kwaajili ya Kupun...
28/07/2022

Kuna muda mtu akipitia msongo wa mawazo kwa muda mrefu hujikuta akiingia kwenye njia ambazo sio sahihi kwaajili ya Kupunguza mawazo tu.

Maana kuwa na Msongo wa mawazo unaweza kusababisha kuongezeka kwa kishawishi cha kutumia madawa ya kulevya k**a vile pombe, sigara, bangi, mirungi na vitu vingine.

Ingawa dawa hizi zinaweza kukusaidia kwa muda mfupi, ila husababisha hatari kubwa sana kiafya za muda mrefu.

Jambo linalo sikitisha ni kwamba Matumizi makubwa ya pombe, Sigara na bangi Huleta Athari Kubwa sana kiafya k**a magonjwa ya moyo, Matatizo ya Kansa, Shinikizo la damu, tatizo la ini, Uharibifu wa mfumo wa FAHAMU na pia Huchochea Upungufu wa nguvu za Kiume.

Kwa hiyo k**a ni Mwanaume umepata janga la Upungufu wa nguvu za Kiume na ukaenda Kutumia pombe na vilevi vingine Ili Kupunguza mawazo! Yani unazidi kujiweka hatarini ya Kupata Matatizo mengi zaidi kwenye Afya Yako! Na nguvu za Kiume zitazidi Kupungua.

Maana Matumizi mabaya ya pombe, Sigara na bangi husababisha ulevi kuongezeka, viwango vya msongo wa mawazo kuwa vikubwa zaidi na athari mbaya za kitabia na kijamii.

Kwasababu watu Wengi wanaotumia vilevi na Dawa zingine huwaga ni wakali sana na wenye visirani hata wakiwa na wapenzi wao jambo ambalo hupelekea Mahusiano yao pia kuvunjika.

NOTE; Kuimarisha Afya yako ndio njia pekee itakayo kusaidia kuondokana na Changamoto ya Upungufu wa nguvu za Kiume na sio utumiaji wa Dawa za kulevya.

*TUNA PROGRAM ZA VIRUTUBISHO PAMOJA NA MIONGOZO MAALUM ITAKAYO KUSAIDIA KUIMARISHA AFYA YAKO YA UZAZI NDANI YA SIKU 30 TU*

K**A UNASUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

TUWASILIANE KWA NAMBA 👇🏽👇🏽👇🏽

𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 #0652570543

Pia Follow education31

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume hii nikulingana na tafiti zilizo fanyika.1. Kutokuwa na Mzunguko mz...
14/07/2022

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume hii ni
kulingana na tafiti zilizo fanyika.
1. Kutokuwa na Mzunguko mzuri wa damu mwilini, hasa sehemu za
viungo vva uzazi kwa mwanaume
2. Kutokuwa na kiwango cha kutosha cha homoni ya Testosterone,
3. Kupungukiwa protini na hivyo kukosa amino asidi mwilini
4. Mongo wa mawazo/Sonona
5. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta na vinywaji vyenye sukari
nyingi

Je? Una swali lolote Au una changamoto gani ina kusumbua? Kiafya niandikie hapa chini kwenye Comment nitaisoma a kukujibu au kukupatia njia sahihi ya kuitatua changamoto yako Kuhusu Ushuri na Huduma za Virutubisho Bora Nipigie sasa hivi au

Pia usisahau kuturn on post notification kwaajiri ya kupata taarifa
pale tuu ninapo chapisha ujumbe mpya kuhusu afya!

JE WEWE PIA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA Nguvu za kiume
Follow Instagram
education31

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa
afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma jumbe whatsapp andika
"BORESHA afya " +255652570543
Utapata kuhudumiwa haraka

FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUMEVyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vin...
10/05/2022

FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME

Vyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo

✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

✍️Kisukari

✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi

✍️Matumizi ya madawa mbalimbali

✍️Umri hasa wazee

✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

✍️Kuwa na tatizo la kibofu

✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu

✍️Kutopata usingizi kamili

✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

✍️Kuwahi kufika kileleni

✍️Kukosa hamu ya mapenzi

✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa

✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

TIBA YETU ITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mkojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa

Kwa mawasiliano zaidi
WhasApp Call 0652570543

Address

Stone Zanzibar
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health good tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share