Afya imara tz

Afya imara tz Karibu kupata tiba mbadala na kinga ili kuwa na afya njema daima Health consultant
Food supplement specialist

Hizi ni baadhi ya sabab hizo.Uzuri ni kwamba, baadhi ya sababu hizi zinaepukika mapema kutokana na dalili zinazokuletea ...
20/02/2024

Hizi ni baadhi ya sabab hizo.
Uzuri ni kwamba, baadhi ya sababu hizi zinaepukika mapema kutokana na dalili zinazokuletea awali, kwa hivyo k**a utazingatia huenda usifikie huko.

1. Kuumia katika njia ya mkojo ya kawaida

2. Kuziba kwa njia ya mkojo ya kawaida

3. Kuwa na uvimbe wa tezi dume

4. Kuwa na saratani ya tezi dume

5. Kuwa na vijiwe katika kibofu cha mkojo

6. Kuwa na mpira wa Mkojo kwa muda mrefu .

7. Kufanya upasuaji k**a vile uvimbe wa tezi dume.

Lakini inategemea na hatua ya tatizo lilipofikia.

Call/WhatsApp
tibaimaara tz
0672776258

Mara nyingi uvimbe wa tezi dume hupitia hatua nne, katika hatua ya kwanza hadi ya tatu  bado unayo nafasi kubwa tu ya ku...
07/02/2024

Mara nyingi uvimbe wa tezi dume hupitia hatua nne, katika hatua ya kwanza hadi ya tatu bado unayo nafasi kubwa tu ya kutumia dawa na kupona kabisa bila ya upasuaji.
Lakin unavyoendelea kusubiri hadi kufikia hatua ya nne ndio matatizo yanaongezeka zaidi na uwezekano wa kufanyiwa upasuaji unaongezeka.

Pia uwezekano wa uvimbe kuwa saratani ya tezi dume unaongezeka zaidi.
Wahi mapema kutambua dalili za kuchukua hatua

Kwa msaada zaidi
Call/WhatsApp
0672776258
Tibaimara tz

Ukiona dalili ni muhimu kufanya vipimo katika hatua za awali ili kugundua tatizo mapema na kupunguza gharama kubwa za ma...
06/02/2024

Ukiona dalili ni muhimu kufanya vipimo katika hatua za awali ili kugundua tatizo mapema na kupunguza gharama kubwa za matibabu.

Call/WhatsApp
0672776258
Tibaimara tz

Ni muhimu kufahamu kuwa saratani huwa na hatua kadhaa za mabadiliko kabla hali haijakuwa mbaya zaidi.Na mara nyingi hule...
04/02/2024

Ni muhimu kufahamu kuwa saratani huwa na hatua kadhaa za mabadiliko kabla hali haijakuwa mbaya zaidi.

Na mara nyingi huleta dalili mbalimbali katika mwili wako.

Lakini pia matatizo mengi ikiwemo saratani ya tezi dume kabla ya kuwa saratani huwa na viashiria au dalili mbalimbali.

Kwa hivyo jitahidi kujitibu tatizo lako katika hatua za awali kutokana na dalili unazopata ili kuondokana na changamoto hiyo.

Kwa msaada zaidi
Call/WhatsApp
0672776258
Tibaimaratz

Karibu tukusaidie Call/WhatsApp 0672776258Tibaimara tz
02/02/2024

Karibu tukusaidie
Call/WhatsApp
0672776258
Tibaimara tz

Je wewe unakula milo mingap kwa siku ?Tabia ya kula mara kwa mara ikiwemo na ulaji wa asusa huufanya mwili kuwa na vipin...
31/01/2024

Je wewe unakula milo mingap kwa siku ?

Tabia ya kula mara kwa mara ikiwemo na ulaji wa asusa huufanya mwili kuwa na vipindi vikubwa vya kuhifadhi mafuta kuliko kutumika, hivyo hupelekea kuongezeka uzito siku hadi siku na hatimae kuangukia katika kundi la magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Kwa ushauri na tiba usisite kuwasiliana nasi
Call/WhatsApp
0672776258
Tiba imara tz

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUMEKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilo...
31/01/2024

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH).
Dalili hizo ni pamoja na;

1. Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
3. Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
4. Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
5. Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
6. Maumivu ya kiuno na mifuta ya nyonga
7. Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
8. Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu

K**a umeanza kupata dalili hizi
Wasiliana nasi ili tuweze kukusaidia kutibu kwa tiba mbadala bila ya upasuaji.

Contact
0672776258

Je unatakiwa kunywa maji lita ngap kwa siku ?Tumia hii njia rahisi .Angalia sehem ya uzito wako kisha usipungue kunywa l...
03/10/2023

Je unatakiwa kunywa maji lita ngap kwa siku ?

Tumia hii njia rahisi .
Angalia sehem ya uzito wako kisha usipungue kunywa lita zilizopo hapo kwa siku.

Kufahamu aina ya uzito na kitambi itakusaidia kufanya jitihada sahihi bila ya kupoteza pesa nyingi na muda mwingi katika...
19/09/2023

Kufahamu aina ya uzito na kitambi itakusaidia kufanya jitihada sahihi bila ya kupoteza pesa nyingi na muda mwingi katika mchakato huo

KUMBUKA
Uzito mkubwa na kitambi unaepukika na unatibika (unapungua), LAKINI ni lazima ufanye jitihada sahihi kulingana na aina ya tatizo lako.

👉Aina ya VITAMBI vimegawiwa kutokana na sababu zake
Mfano kitambi baada ya kujifungua (Post pregnancy belly), kitambi kutokana na mvurugiko wa vichocheo (hormonal belly), kitambi kutokana na ulaji usiofaa (Punctured tired/low belly), kitambi kutokana na msongo wa mawazo (stressed belly), kitambi kutokana na unywaji wa bia (alcoholic belly ) n.k.

👉Likini pia UZITO mkubwa umegawiwa kutokana vigezo kadhaa k**a vifuatavyo :-

1. Sababu zake. 👉 Uzito mkubwa kutokana na ulaji usiofaa kiafya, msongo wa mawazo, mazingira, baadhi ya magonjwa, urithi, kupungua kwa ufanisi wa uchomwaji kalori n.k

2. Uzito mkubwa Kulingana na body mass index 👉 Uzito mkubwa daraja la kwanza (low risk BMI 30-34.5 kg/m²), Daraja la pili (moderate risk BMI 35-39.9) na daraja la tatu (morbid/severe obesity BMI 40 na zaidi)

3. UZITO mkubwa kutokana na ukubwa na kiwango cha seli za mafuta 👉Hypertrophic obesity (seli zimeongezeka ukubwa) na hyperplasia (seli zimeongezeka idadi)

4. Uzito mkubwa kulingana na mtawanyiko wa mafuta 👉Peripheral, central, combination obesity (yaani uzito wa chini/pembeni, uzito wa kati na uliochanganya zote mbili)

5. Uzito mkubwa kulingana na uhusiano na magonjwa mengine 👉 Ya kwanza inasababisha na ulaji usiofaa na kutokufanya mazoezi (hakuna ugonjwa). Ya pili inachangiwa na magonjwa k**a vile upungufu wa thyroxine hormonal (hypothyroidism ), mabadiliko ya homoni kwa wanawake na kupelekea matatizo katika vifuko vya mayai, matatizo ya kongosho, kuongezeka kwa cortisol Homoni (Cushing syndrome )

Hivyo basi bila ya kufahamu sababu yako kwa undani ni vigumu kupata matokeo unayoyatarajia.

Kwa hivyo tumekuandilia darasa la BURE ili kufahamu kwa kina juu ya hayo na kupata elimu ya msingi itakayokuwezesha kufanya jitihada za uhakika na kupata matokeo ya uhakika.

Ili kujiunga na darasa tuma neno uzito kwenda WhatsApp no. 0672776258

Contact
Call/WhatsApp
0672776258
Mr. Mojuba

Kufahamu aina ya uzito na kitambi itakusaidia kufanya jitihada sahihi bila ya kupoteza pesa na muda mwingi katika kukabi...
16/09/2023

Kufahamu aina ya uzito na kitambi itakusaidia kufanya jitihada sahihi bila ya kupoteza pesa na muda mwingi katika kukabiliana na shida hizo.

Aina hizi zimegawiwa kutokana na sababu zake.

Hivyo basi aina ya kitambi inaweza kuwa, kitambi baada ya kujifungua (post pregnancy belly), kitambi kutokana na ulaji usiofaa, kitambi kutokana na mabadiliko ya mfumo wa vichocheo, kitambi kutokana na msongo wa mawazo nk.

Vile vile aina ya uzito inaweza kuwa ni kutokana na ulaji usiofaa kiafya, kupungua kwa ufanisi wa mchakato wa kuchoma nishati lishe/kalori, mabadiliko ya vichocheo, urithi nk

Hivyo basi inawezekana jitihada unazochukua/utakazochukua hazigusi moja kwa moja kwenye chanzo cha tatizo. Hatimae kupelekea kukosa matokeo mazuri na kuangulia kwenye sababu nyengine ya uzito mkubwa ambayo ni yo-yo dieting baada ya kuacha jitihada ulizokuwa unafanya.

Bofya learn more ili uweze kujifunza zaidi .

Contact
WhatsApp/call
0672776258

10/09/2023

Karibu tukusaidie
Contact
Call/WhatsApp
0672776258

06/09/2023
👉Miongoni mwa sababu kubwa kwa watu wengi inayosababisha kukosa matokeo mazuri k**a walivyotarajia ni kutokuzingatia ula...
24/08/2023

👉Miongoni mwa sababu kubwa kwa watu wengi inayosababisha kukosa matokeo mazuri k**a walivyotarajia ni kutokuzingatia ulaji unaofaa kiafya kuanzia kwenye muda wa kula, kiwango cha chakula na ubora wa chakula chenyewe.

Kwa hivyo k**a wewe unachangamoto hiyo nimekuandalia darasa maalum ili uweze kujifunza zaidi jinsi ya kupunguza kitambi na uzito wa kilo 10 hadi 15 ndani ya mwezi mmoja.
Kupata darasa hilo tuma neno uzito katika namba 👇👇

Contact
Call/WhatsApp no.
0672776258

Address

Zanzibar

Telephone

+255672776258

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya imara tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya imara tz:

Share