
27/02/2024
Siku ya Magonjwa Adimu Duniani mwaka huu itaadhimishwa Tarehe 29, Februari.Moja ya mtu mwenye magonjwa Adimu ni Ali Kimara, Mtoto ambaye amejaaliwa talanta mbalimbali na anazionesha kupitia ufaulu wake kupitia mfumo wa Elimu nje ya Shule. Ali ana ndoto za kuwa Rubani. TUMUOMBEE.
Ali Kimara Rare Disease Foundation
Rare Disease Day
Zanzibar Human Genetics Zhgo