idah_healthcare

idah_healthcare NIULIZE KUHUSU AFYA YA MWANAMKE
UVIMBE KWENYE KIZAZI
U.T.I SUGU
UKE MCHAFU
P.I.D
HORMONE IMBALANCE

Bado unatokwa na uchafu ukeni miwasho sehemu za siri , harufu mbaya 😰Unakosa ujasiri wa kuwa na hata mwanaume 😳Umetumia ...
13/01/2023

Bado unatokwa na uchafu ukeni miwasho sehemu za siri , harufu mbaya 😰

Unakosa ujasiri wa kuwa na hata mwanaume 😳

Umetumia dawa za anti biotic za hospital na hujapona 😰

Ucjal nipo na suluhisho na utafurahia matokeo mazuri baada ya kupona nitumie neno P.I.D inbox

Kitaalamu mama aliyejifungua hushauriwa  kusubiri mpaka wiki sita (baada ya kuanza kliniki- postnatal clinic) ndio aweze...
23/12/2022

Kitaalamu mama aliyejifungua hushauriwa kusubiri mpaka wiki sita (baada ya kuanza kliniki- postnatal clinic) ndio aweze tena kufanya tendo la ndoa.

Mama aliyejifungua kwa njia ya upasuaji (Caesarean section) huwa na wasiwasi , hofu kutokana na kidonda cha upasuaji, hivyo ni vyema kwa mama huyu kusubiri mpaka nyuzi kutoka kabla ya kufanya tendo la ndoa na pia azingatie kufanya kwa utaratibu (gentle). Staili zitakazoongeza kugandamizwa kwa eneo la mshono ni bora akaziepuka.

-
Je, una tatizo lolote la uzazi? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe

Matumizi ya vyakula au bidhaa zenye kemikali (Sumu).Matumizi makubwa ya vilezi na sigaraMatumizi ya dawa zenye kemikaliV...
23/12/2022

Matumizi ya vyakula au bidhaa zenye kemikali (Sumu).
Matumizi makubwa ya vilezi na sigara
Matumizi ya dawa zenye kemikali
Virusi aina ya hepatitis A, hepatitis B, na hepatitis C
Unene na uzito uliopitiliza (Obesity)
Kwa Kurithi k**a hemochromatosis na Wilson disease
Kuto kula au kunywa vitoa sumu mwilini k**a maji na vingine
Tatoo au kutoboa mwili
Kemikali nyingi zenye sumu (viuatilifu vingine, chemotherapeutics, mafuta ya peroxidised, aflatoxin, kaboni tetrachloride, acetaminophen, hidrokaboni zenye klorini, n.k.), chakula, pombe, maambukizo k**a vile vimelea, virusi, fungi au bakteria na shida za mwili zinaweza kusababisha magonjwa ya ini k**a vile hepatitis, ugonjwa wa ini wa uchochezi, homa ya manjano, hepatosis (ugonjwa wa ini ambao sio wa uchochezi, ugonjwa wa cirrhosis (ugonjwa wa mmeng’enyo ambao ni matokeo ya fibrosis ya ini), saratani ya ini, n.k.

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapo pata...
23/12/2022

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika na kusababisha madhara k**a yafuatayo:

👉Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu

👉Mimba kuharibika mara kwa mara

👉Kukosa mtoto au Ugumba

👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉Kugua UTI kwa mda mrefu (Urinary Tract Infection)

👉Kuzeeka mapema

👉Kuziba kwa mirija ya uzazi

👉Kuwa na uvimbe kwenye via vya uzazi(Fibroids and Cysts)
Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida, lakini hupelekea madhara k**a👇🏻👇🏻👇🏻

👉Kuongeza uwezekano ya shinikizo la damu.

👉Osteoporosis shida ya mifupa

👉Madhara katika mfumo wa uzazi.

👉Saratani na mengineyo.

-Na wengine hujikuta wakishindwa kupata kabisa hedhi au kutoshika ujauzito kabisa

Niambie k**a huyu ni wewe...Unatamani Kumiliki Biashara lakini hujui Uanzie wapi.Umeajiriwa lakini kipato ni kidogo, na ...
08/12/2022

Niambie k**a huyu ni wewe...

Unatamani Kumiliki Biashara lakini hujui Uanzie wapi.

Umeajiriwa lakini kipato ni kidogo, na Hakikidhi Mahitaji Kabisa.

Umemaliza shule Huna kazi, Miaka inakatika.

Uko Mtaani na hauna Shughuri yeyote ya kukuingizia kipato.

Umechoka kuomna pesa ya Vocha, Sabuni na Nguo kwa Mzazi kila siku.

Wewe ni mama wa nyumbani, unatamani ufanye kitu Kikuongezee Kipato Chako.

K**a jibu NDIO katika Maswali hayo,

Basi huenda ujumbe huu ukawa muhimu kuliko ujumbe wowote uliowahi kuupata na kuusoma 2020.

Najua changamoto unayopitia. Hata mimi nimepitia huko huko,

Ila nilichogundua kunamfumo mzuri sana wa biashara Kwa kutumia mtaji mdogo tu wa Tsh 46,000 unaweza kumiliki biashara yako na kubadilisha Maisha yako moja kwa Moja,

Nimeamua kukuandalia Darasa BURE nikuelekeze hatua kwa hatua namna ya kuifanya hii biashara ujiingizie kipato cha kuendesha Maisha yako!

Tumeamua kuchukua watu 50 tu kwanza ili tuwafundishe kwa urahisi sana na waone matokeo kwa muda mfupi sana!

K**a hutojari pata Utaratibu wa Kuingia Darasan Sasa hivi Kabla Nafasi hazijajaa kwa kubonyeza link hii Sasa Hivi...
>>> https://wa.me/255 776944539

https://chat.whatsapp.com/JiYes9UgOOv68BWXtYgv1V

Au Piga Simu >>> 0776944539

P.S Kumbuka Watu 50 wakishafika Hatutochukua tena Mtu yeyote Mpaka hawa watu 50, waone matokeo!!

Kwa kuwa mapaja, korodani, mashavu ya uke pamoja na sehemu zingine za nje za via vya uzazi hugusana wakati wa kushiriki ...
04/12/2022

Kwa kuwa mapaja, korodani, mashavu ya uke pamoja na sehemu zingine za nje za via vya uzazi hugusana wakati wa kushiriki tendo la ndoa, baadhi ya magonjwa ya zinaa k**a masundosundo, kaswende na herpes yanaweza kuambukizwa hata k**a umevaa kondomu kwa hivyo, Tulia na mpenzi mmoja.

Mazoezi ya kegel ambayo ni muhimu pia katika kuboredha afya ya tendo la ndoa
04/12/2022

Mazoezi ya kegel ambayo ni muhimu pia katika kuboredha afya ya tendo la ndoa

JE UNAPATA UCHAFU WOWOTE KATI YA HIZI👇
01/12/2022

JE UNAPATA UCHAFU WOWOTE KATI YA HIZI👇

PID ni kifupi cha maneno pelvic inflammatory disease.⁣⁣⁣⁣⁣⁣Ni maambukizi ya bacteria katika mfumo wa ndani wa uzazi wa m...
18/11/2022

PID ni kifupi cha maneno pelvic inflammatory disease.⁣⁣⁣
⁣⁣⁣
Ni maambukizi ya bacteria katika mfumo wa ndani wa uzazi wa mwanamke.⁣⁣
⁣⁣⁣
Maambukizi haya yanaweza kuwa katika mji wa uzazi,mirija ya uzazi au shingo ya kizazi.⁣⁣⁣
⁣⁣⁣
PID isipotibiwa huleta madhara kwa mwanamke haswa kupelekea ugumba.⁣⁣⁣
⁣⁣⁣
Jinsi Ya Kuzuia Maambukizi Ya PID Kwenye Mfumo Wa Uzazi;⁣

1. Kufanya Ngono Salama Kwa Kutumia Kondomu au K**a Ikiwezekana Kujizuia Kabisa Kufanya Ngono.⁣

2. Kuwahi Kuwaona Wataalamu Wa Afya Mara Dalili Za Ugonjwa Huu Zinapoanza Kujitokeza. ⁣
Au Pindi Tu Unapogundua Kuwa Mwenzako Ana Dalili Za Magonjwa Ya Zinaa.⁣

3. Kufanya Vipimo Mara Kwa Mara Haswa Vya Mfumo Wa Uzazi Pamoja Na Vipimo Vya Maambukizi Ya Magonjwa Yanayosambazwa Kwa Njia Ya Ngono.⁣

4. Kutoshiriki Tendo la Ndoa Mara Baada Ya Kujifungua, Mimba Kutoka au Mara Baada Ya Kutoa Mimba Ili Kuhakikisha Njia Ya Shingo Ya Uzazi Imefunga Vizuri.⁣

Kumbuka kwamba wewe mwanamke unavyozidi kukaa na hilo tatizo bila kutibu itakupelekea kupata Ugumba.⁣
⁣⁣⁣
Je wewe ni mmoja wapo ya mwanamke ambaye umekuwa ukisumbuliwa na tatizo hili na umekuwa ukilitibu bila mafanikio yoyote?⁣

K**a jibu ni NDIO tuma neno PID inbox au Dm ili kuweza kupata ushauri na msaada wa karibu zaidi BURE ili kuweza kumaliza tatizo hili.⁣

Au tuwasiliane kupitia
0776 944 539

UTI ni kifupi cha Urinary Tract Infection.⁣⁣⁣⁣Ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uza...
18/11/2022

UTI ni kifupi cha Urinary Tract Infection.⁣⁣
⁣⁣
Ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi.⁣⁣
⁣⁣
Mwanamke mwenye maambukizi ya UTI hupata maumivu makali kwenye kibofu na madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika kwenye figo.⁣⁣

Wanawake wapo hatarini sana kupata UTI kuliko wanaume.⁣

Njia ambazo mwanamke unaweza kutumia ili kuepukana na UTI;⁣

1. Kunywa Maji Mengi.⁣

2. Acha au Punguza Matumizi Ya Dawa Za Uzazi Wa Mpango.⁣

3. Kuwa Msafi Hasa Sehemu Za Siri Ili Kutoruhusu Bakteria Wabaya.⁣

4. Punguza au Acha Kunywa Pombe Maana Huathiri Kibofu.⁣

5.Hakikisha Unatumia Choo Kisafi Na Ikiwezekana Ambacho Hakitumiwi Na Watu Wengi.⁣

6. Kula Vyakula Bora Hasa Vya Asili Visivyokuwa na Kemikali.⁣

Licha ya njia hizi lakini bado asilimia kubwa ya wanawake wanasumbuliwa na UTI na kupelekea kuwanyima furaha kutokana na gharama kubwa za kujitibia.⁣

Je wewe ni Mwanamke ambaye ni muhanga wa tatizo hili na umekuwa ukilitibu lakini linajirudia mara kwa mara na unahitaji kupona kabisa?⁣⁣
⁣⁣
K**a jibu ni NDIO basi tuma neno UTI inbox au Dm ili tuanze safari ya kumaliza tatizo hili moja kwa moja.⁣
⁣⁣
Au tuwasiliane kupitia
0776 944 539

PID ni kifupi cha maneno Pelvic Inflammatory Disease.⁣⁣⁣⁣Ni maambukizi ya bacteria katika mfumo wa ndani wa uzazi wa mwa...
18/11/2022

PID ni kifupi cha maneno Pelvic Inflammatory Disease.⁣⁣
⁣⁣
Ni maambukizi ya bacteria katika mfumo wa ndani wa uzazi wa mwanamke.⁣
⁣⁣
Maambukizi haya yanaweza kuwa katika mji wa uzazi,mirija ya uzazi au shingo ya kizazi.⁣⁣
⁣⁣
PID isipotibiwa huleta madhara kwa mwanamke haswa kupelekea ugumba.⁣⁣
⁣⁣
Kati ya wanawake 8 wanaochukuliwa vipimo 3 kati yao hukutwa na maambukizi haya.⁣⁣
⁣⁣
PID huleta dalili zifuatazo ambazo mwanamke unaweza kupata zote au baadhi.⁣⁣
⁣⁣
1. Maumivu Ya Kiuno,Nyonga Na Mgongo.⁣⁣
⁣⁣
2. Kutokwa Na Uchafu Ukeni.⁣⁣
⁣⁣
3. Maumivu Wakati Wa Kukojoa.⁣⁣
⁣⁣
4. Maumivu Makali Chini Ya Kitovu Wakati Wa Hedhi.⁣⁣
⁣⁣
5. Uke Kuwa Mkavu Na Kupata Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa.⁣⁣
⁣⁣
6. Homa Kali,Kichefuchefu Na Kutapika.⁣⁣
⁣⁣
Pamoja na dalili hizi wanawake wengi wamekuwa wakizipuuzia na hivyo kufanya tatizo kuwa kubwa na kupelekea Ugumba.
⁣⁣
Hivyo basi wewe mwanamke mara tu uonapo mojawapo ya dalili hizi unatakiwa kuchukua hatua ya haraka zaidi.⁣⁣
⁣⁣
Je wewe ni mmoja wapo wa mwanamke unayesumbuliwa na tatizo hili na umekuwa ukilitibu bila mafaniko yoyote na unahitaji kupona kabisa.⁣⁣
⁣⁣
K**a jibu ni ndio,basi tuma neno PID inbox/DM kuweza kupata ushauri na msaada wa karibu zaidi ili uweze kumaliza tatizo hilo kabisa BURE⁣⁣
⁣⁣
Au tupigie 0776 944 539

USIKUBALI KUBAKI NA CHANGAMOTO YA P.I.D NI HATARI KWA AFYA
01/11/2022

USIKUBALI KUBAKI NA CHANGAMOTO YA P.I.D NI HATARI KWA AFYA

Tatizo la P. I. DFahamu kuhusu tatizo la pid { pelvic inflammatory disease }☞pid ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa ...
01/11/2022

Tatizo la P. I. D

Fahamu kuhusu tatizo la pid { pelvic inflammatory disease }

☞pid ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke,pid ni miongoni mwa maambukizi hatari na yenye madhara makubwa kwa mwanamke Anapoamkukizwa huweze kuathiri mfumo wa uzazi hata kupelekea kupata tatizo la ugumba.

☞ pid husababishwa na vimelea aina Ya Neisseria Gonorrhoe,chlamydia Trachomatis na mycoplasma hominis hivi ndivyo vimelea vinavyo husiswa zaidi katika maambukizi ya pid.

Dalili za maambukizi kwenye mfumo wa uzazi{ pid }

Zipo dalili kadhaa za maambukizi kwenye mfumo wa uzazi miongoni mwa dalili hizo ni.....

☛ Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu.
☛ kupata maumivu ya mgongo eneo la kiunoni
☛ kupata maumivu wakati wakushiriki tendo la ndoa
☛ kutokwa na Damu kwa muda mrefu wakati wa hedhi
☛ kuhisi kichefuchefu na kutapika
☛ kutokwa na uchafu sehemu za siri

🔬Vipimo vya pid

➡ ili kuweza kutambua k**a unamaambukizi kwenye mfumo wako wa uzazi, pindi unapoona dalili hizo ni vyema kufika hospital au kwa wataalumu wa afya ili ufanyiwe uchunguzi na vipimo.......

👉 mkojo : uchunguzi wa mkojo hufanywa maabara ili kubaini aina ya vimelea,pia huweza kuoteshwa ili kubaini aina nyingine za vimelea wanaosababisha maambukizi pia.

👉 Full blood picture:kupima damu ili kubaini madhara kwenye chembechembe za damu

👉 cervical culture : kuchukua utando uliopo kwenye shingo ya kizazi ili kuotesha maabara.

👇Gynecological ultrasound : kuangalia mfumo wa uzazi wote na madhara yaliyo kwisha jitokeza.

💬kumbuka pid yamuda mrefu au ya kujirudua inaweza kupelekea

▶ugumba
▶Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi

➬ Matibabu Ya pid

𝗞𝘄𝗮 𝗧𝗶𝗯𝗮 𝘇𝗶𝗹𝗶𝘇𝗼𝗮𝗻𝗱𝗮𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗸𝗶𝘁𝗮𝗮𝗹𝗮𝗺𝘂

𝗪𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 idah_healthcare

𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐀𝐩𝐩 / 𝐂𝐚𝐥𝐥 / 𝐬𝐦𝐬 0776944539

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Harufu Mbaya Ukeni Ndani Ya Kipindi Kifupi.Hakuna kitu kinakera kwa wanawake k**a kutokwa na h...
26/10/2022

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Harufu Mbaya Ukeni Ndani Ya Kipindi Kifupi.

Hakuna kitu kinakera kwa wanawake k**a kutokwa na harufu Mbaya ukeni

Tatizo hili limewafanya wanawake wengi kushindwa hata kujumuika na wenzao kwenye masherehe, harusini na hata misibani.

Mbaya Zaidi limewaondolea hari ya kujiamini kwa wenzao na kujiona k**a ni wanawake wasiokamilika.

Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili litaambatana na uchafu kutoka ukeni, wengi wanashindwa kufurahia tendo la ndoa na hata kuhatarisha usalama wa mahusiano yao.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suruhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba ya antibiotics hospitalini inayoua hata bakteria walinzi wanaolinda uke na ndomana baada ya Muda mfupi tatizo hujirudia tena.

K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo

Basi Nina habari Nzuri kwako.

Nimekuandalia Video Maalum itakayokuonyesha njia rahisi na salama hatua kwa hatua jinsi ya kutokomeza tatizo hili kwa kipindi kifupi tu, hata k**a ushahangaika kwa muda mrefu bila mafanikio.

Na hii Video Nitakutumia kwenye WhatsApp yako.

Ili kupata video hii Sasahivi kwa urahisi save hii namba (Afya Care) kwenye simu yako kisha tuma ujumbe WhatsApp (Video) na utatumiwa video yote Bila gharama yeyote.

P.S Tangazo hili halitokuwepo hewani Muda wote, Ili upate njia rahisi na salama ya kutokomeza tatizo la harufu ukeni Sasahivi Save namba hii 0776944539 (idah mohammed) kwenye simu yako Kisha tuma ujumbe WhatsApp (Video) na utatumiwa video mala moja.!

Au Piga Simu 0776944539

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapo pata...
26/10/2022

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika.

Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%. Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 40 na 50, lakini pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14. Mabadiliko haya asilia kubwa huanza kutokea wakati wa balehe, hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi.

Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen, Progesterone . Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*
1)Kutokupata hedhi kwa wakati
2)Maumivu wakati wa hedhi

Idah mohammed
0776944639

Fangasi imewafanya wanawake wengi Sana kukosa Amani na kuishi Maisha ya wasiwasi yaliyojaa upweke na huzuni. Hili ni tat...
26/10/2022

Fangasi imewafanya wanawake wengi Sana kukosa Amani na kuishi Maisha ya wasiwasi yaliyojaa upweke na huzuni.
Hili ni tatizo kubwa sana mnalokumbana nalo wanawake kwa sasa, K**a Hutopata Suluhu Mapema ...
Takwimu zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kupata matatizo makubwa zaidi k**a ya kansa, kuoza kwa mirija ya Uzazi na ugumba muda si mrefu
Hata k**a usipofikia hatua ya kupata matatizo hayo makubwa ukweli ni kwamba hautokuwa na furaha yeyote kwenye mahusiano yako mpaka Mwisho...
Na hii ndio Sababu pekee inayowafanya wanaume wengi hata kuchepuka kwa sababu hawezi kukwambia k**a anakwazika na kukosa kwako hisia, harufu na uchafu unaotoka kipindi cha tendo la ndoa.
Bahati nzuri kwenu ni kwamba Kuna Njia ya Kufanya kila kitu kiwe sawa k**a zamani, uishi kwa Amani na kujiamini na kurudisha furaha kwenye mahusiano yako ndani ya siku saba tu.

Kwa kutumia mchanganyiko wa madini chumvi, vitamini B, C, D na E, virutubisho kutoka kwenye mboga mboga na mafuta asilia yanayotokana na mimea yataondoa maambukizi yote na kukuacha ukiwa salama kabisa

Ondoa Shaka Relax, hayo sio makosa yako kwasababu hukuujua mchanganyiko huu kabla, ila sasa litakuwa kosa lako kwa kufanya maamuzi ya kuendelea kubaki na changamoto zako k**a zamani.

Habari njema ni kwamba tumekutengenezea mchanganyiko wote huu na kukuwekea kwenye bidhaa moja

Ili kuipata sasahivi kabla haijaisha wasiliana nasi kwa simu namba 0776944539
Kitu kizuri zaidi endapo utatoa oda sasahivi utaipata bidhaa hii kwa ofa

P. S. Bidhaa hizi zimebaki 11 tu endapo hutochukua muda huu huenda ukaikosa.

Address

Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when idah_healthcare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to idah_healthcare:

Share