Afya ni bora

Afya ni bora pata dawa ili usije ukafharaulika kweny jamii kweny tend la ndowa

MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA KUOKOA MAISHA YAKO NA NDOA YAKO! ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, Kwanza unata...
06/04/2023

MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA KUOKOA MAISHA YAKO NA NDOA YAKO!

ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,

Kwanza unatakiwa kufaham UPUNGUFU wa nguvu za kiume sio ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa inamaanisha kuna dosari au udhaifu katika utendaji wa viungo vyako ndani ya mwili,

NGUVU ZA KIUME NI NINI?
ni neno la jumla lenye mjumuisho wa mambo mengi ambayo yamegawanyika katika sehem MBALI MBALI
1. Hamu ya tendo la ndoa
2. Kusimama kwa uume barabbara k**a kipande cha mti au msumari)
3. Stamina kiasi cha kukupelekea kufurahia tendo
4. Pumzi
5. Uwezo wa kurudia tendo
6. Wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda
*Kwa lugha nyepesi Hii ndio maana ya neno nguvu za kiume*

Sasa basi tumeona hapo juu kuwa k**a kuna udhaifu au dosari katika utendaji wa BAADHI ya viungo ndani ya mwili wako basi sio mbaya tukajua BAADHI ya viungo vinavyohusika kuwasha umeme kwa mwanaume / namaanisha nguvu za kiume na viungo hivi hufanya kazi zingine pia katika mwili

Kuna viungo zaidi ya 50 ila kwa uchache ni ivi vifuatavyo
1. Ubongo
2. Moyo
3. Mishipa
4.mirija iliyo ndani ya uume
5. Neva maalum za parasympathetic
6. Uti wa mgongo
7. Kiuno / nyonga
8. Misuli
9. Tezi ya pituitari
10. Utando maalum wa uumeni.

*HIVYO BASI TUNAPOONGELEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TUNAMAANISHA KUWA NDANI YA MWILI WAKO KUNA VITU HAVIFANYI KAZI VIZURI LABDA NI INI , FIGO , TEZI DUME LIMETANUKA , AU HOMONI HAZIJA WIANA HAPA SASA NDIPO HUTOKEA NENO NA KITENDO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

JIJUE JITAMBUE HIZI NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1. kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Uume kusimama kwa ulegevu, kusinyaa na kurudi ndani AU KUTOWEZA KUSIMAMISHA KABISA
3. Kuwahi kufika kileleni
4. Kuchelewa sana kufika au kutofika kabisa mshindo
5. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada
6. Kukosa pumzi hivyo hupelekea kusimamisha zoezi Mara kwa Mara
7. Kukosa uchangamfu wa mwili katika utendaji .
8. Kuchoka sana baada ya tendo na hata kuskia kichefchef au kuskia usingizi MZITO SANA MARA TU UMALIZAPO ..
9. KUSHINDWA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA MOJA

KWA LUGHA NYEPESI NGUVU ZA KIUME NI K**A SERIKALI AMBAYO INA WIZARA MBALI MBALI ILI SERIKALI IFIKE KULETA MATUNDA MAZURI KWA JAMII HIZI WIZARA LAZMA ZIWE THABIT KATIKA MASLAHI YA JAMII NA SERIKALI KWA UJUMLA NA ENDAPO WIZARA MOJA ITAKUWA INA HITILAFU BASI LENGO HUSIKA KUTOKA KWA SERIKALI KUJA KWA JAMII HALITATOKEA ASILANI MF. WIZARA YA NISHATI NA MADINI IGOME , WIZARA AFYA IGOME , UNAFIKIRIA SERIKALI HII ITAFIKIA MALENGO ??? BASI NDIVYO HIVYO NDANI YA MWILI WAKO .. TEZI IKIKOSA AFYA , MOYO , UBONGO NK NK LAZIMA EFFECT ITATOKEA NA MOJA YA EFFECTS NI UPUNGUFU WA NGUVU ..

Au tuseme kiwanda kuna wafanya kazi , kuna maji , umeme , madawa ivi ikotokea WAFANYAKAZI TU WAKAGOMA je hiki kiwanda kitazalisha bidhaa itayofika Sokoni?

MSICHOKIJUA WANAUME WENGI kupungukiwa nguvu za kiume ni kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili hii ni kengele ya tahadhari kipo kitu hakifanyi kazi vizuri ..

Sasa KOSA kubwa wanalolifanya wanaume wengi TANZANIA NA NJE ni kuanza kutafuta suluhisho la dawa za nguvu za kiume na kuzibugia bila kuangalia chanzo, inatakiwa kutibiwa chanzo cha tatizo sio matokeo ya tatizo ... na hamshangai dawa hiyo inaweza kumtibu mmoja na mwengine akasema haifanyi kazi ?? Unajua Kwanini... vyanzo vya matatizo yao ni tofauti

*Mfano ... mwanaume mwenye sukari , mwenye presha , mwenye kansa ya tezi , mwenye stress , mwenye unene uliopitiliza, watu Hawa lazma tiba zao ziwe tofauti sio dawa za nguvu za kiume moja kwa moja lazma kuanza na mzizi wa tatizo k**a ni mnene apunguze mwili , k**a anasukari atibie sukari kwanza*

BAADHI YA SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (MUENDELEZO)

1. KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA
2. KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA KABISA, UNATUMIA NGUVU NYINGI KWENYE KUSUKUMA
3. UZITO ULIOPITILIZA
4. KITAMBI
5. VYAKULA VYA BANDIA VILIVYOWEKWA HOMONI ZA K**E
6. VYAKULA VYENYE MAFUTA SANA
7. ULAJI WA NYAMA KWA SANA
9. ULAJI WA FAST FOODS NA VINYWAJI VYA VIWANDANI IKIWEPO POMBE
10. ULAJI WA MIRUNGI/ MIRAA
11. KUTOSHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO
12. KUTOKULA BALANCED DIET
13. KISUKARI
14. TEZI DUME
15. PRESHA na mengine mengi

**********************************************
JE WEWE NI MWANAUME NA YALIYOONGELEWA HAPO YAMEKUGUSA NA UNGEPENDA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA UKOSEFU AU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? TUNA HABARI NZURI KWAKO TUNA BIDHAA LISHE AMBAZO ZINASAIDIA KURUDISHA HESHIMA YAKO, K**A UKO SERIOUS KARIBU.

Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp namba +255 655254512.. Sasa hivi usaidiwe mapema

FAHAMU UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOAWengi huwa wanafanya tendo la ndoa lakin hawalifanyi Ipasavyo kuna ambao wanachukua mu...
20/12/2022

FAHAMU UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA

Wengi huwa wanafanya tendo la ndoa lakin hawalifanyi Ipasavyo kuna ambao wanachukua muda mrefu lakin wengine wanatumia muda mfupi sana unajua kwanini?

K**a unaona Unafanya tendo muda mrefu hufiki kileleni bhc ujue tear mwili wako kuna kitu hakipo sawa homoni hazijabalance au kuna mfumo haupo vizur

Pia ukiona Unafanya tendo dk 2 hadi 5 umeshamaliza na huwezi kuendelea au unachukua muda mrefu kuendelea bhc ujue kuna tatizo pia Ndani ya mwili wako

Sasa ili ujue sababu zaidi nitatoa elimu muhimu sana ambayo itakusaidia hiyo elimu ni bure kabisa na nitatoa kupitia whatsapp status

Sasa ili usikose hii elimu hakikisha unasev hii number kwa Jina khalil 0655254512 Kisha Tuma ujumbe neno AFYA JAMII watsapp au piga simu moja kwa moja ili usaidiwe Mapema

K**A HUNA HIVI VITU KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALIKuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika w...
10/12/2022

K**A HUNA HIVI VITU KWENYE TENDO LA NDOA WEWE SIO RIJALI

Kuna vitu vingi ambavyo mwanaume unatakiwa uwe navyo unapofika wakati wa kushiriki tendo la ndoa na hivi ndio hudhihirisha urijali wako na k**a ikitokea vimekosekana jua hiyo ni changamoto kwako

Vitu hivyo ni👇👇

HISIA (Hamu)
Ili uweze kushiriki tendo la ndoa ni lazima uwe na hisia za kimapenzi ambazo ndio zitakusaidia sana kumuandaa mwenza wako na kupata morali ya kushiriki tendo na kumbuka hisia zikijengeka vizuri ni rahisi kusimamiasha uume na itakuwa ni rahisi pia kuwa na uwezo wa kurudia tendo ndani ya muda mfupi sana

MUDA WA KUFIKA KILELENI
Hapa ndipo pahala muhimu sana wakati wa kushiriki tendo kwani ili uwe na uwezo wa kufurahia tendo vizuri ni lazima utumie muda mrefu kwenye kushiriki kuliko kumuandaa mwenza wako na kumbuka unapotumia muda mrefu itakuwa ni rahisi sana kumridhisha mwenza wako kwasababu kwa kawaida mwanamke anatumia dakika 15-20 kufika kileleni na ikitokea ukatumia muda chini ya hapo itakuwa ni changamoto kwako

KURUDIA TENDO
Baada ya kumaliza raundi ya kwanza ni lazima mwanaume uwe na uwezo wa kurudia tena tendo na kumbuka wastani wa mwanaume kufika kileleni unaanzia dakika 8 na kuendelea na mwanamke ana wastani wa dakika 15 na kuendelea sasa ikitokea umetumia muda mchache kufika kileleni na ukakosa uwezo wa kurudia tendo utakuwa umeshindwa kumridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni na kwa kawaida mwanaume hatakiwi kutumia dakika zidi ya 7 kurudia tendo ikitokea dakika zimezidi mwenza wako atabaki na hamu na hatofurahia tendo

KUSIMAMISHA STRONG
Mwanaume kamili anatakiwa kuwa na uwezo wa kusimamisha uume kuwa imara zaidi hii itakusaidia kushiriki tendo kwa kujiamini zaidi lakini itakuwa ni rahisi kugusa maeneo ukeni kwa mwenza wako ambayo yanampa raha zaidi na kuweza kufurahia tendo

Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanadhihirisha kuwa wewe ni mwanaume rijali

K**A UNAJUA KUWA HUNA SIFA ZOTE AMA MOJAWAPO KATI YA HIZO NITUMIE UJUMBE MFUPI USHAURI KWA WHATSAPP 0655254512

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUMEUnapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu ...
04/12/2022

UTATUZI SAHIHI WA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa.

Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa.

Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume. Upe mwili wako virutubisho muhimu.

Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.

Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.

Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.

Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wake urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako,

Tupigie ama tutumie neno VIRUTUBISHO kwenda WhatsApp number +255655254512 Tutakupa pia elimu ya ziada ya afya ili uweze kuwa balozi mzuri kwa wengine wanaohangaika kwa muda mrefu.

Habari yako I hope uko poa Naitwa lil khaso  ni  Mshauri wa Masuala ya Afya na elimu kuhusu umuhimu wa kutumia Virutubis...
28/11/2022

Habari yako
I hope uko poa
Naitwa lil khaso ni Mshauri wa Masuala ya Afya na elimu kuhusu umuhimu wa kutumia Virutubisho

nipo katika Program maalum kuhusu Changamoto ya Afya ya uzazi kwa wanaume (Tezi Dume, Nguvu za kiume) na Afya ya Uzazi kwa Wanawake, Lakini pia na Changamoto za kiafya zinazochangiwa na Mfumo wa maisha kwa ujumla

changamoto nyingi za kiafya k**a vile; Nguvu za Kiume, Presha, Ngiri, Kisukari, Matatizo ya Uzazi, Matatizo ya Joints,Vidonda vya Tumbo, Uzito mkubwa na Kitambi, kwasasa yanachangiwa sana na kuwa na taka nyingi mwilini lakini pia na mfumo wa maisha tunaoishi.

Hivyo ningependa kushare nawe elimu hii,
Then k**a ni wewe au una ndugu, rafiki au jamaa ambae ungependa aweze kupata suluhisho lake au ana changamoto yoyote ya kiafya aweze kupata suluhisho kwa njia hii bora na salama.

*Ungependa kupata Mwongozo upi katika changamoto hizo ??*
Karibu
Wasilian nasi
Whatsapp 0655254512

09/09/2022
K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKELeo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachw...
04/09/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0628976146 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

Address

Kisiwandui
Zanzibar

Telephone

+255655254512

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni bora:

Share