AFYA UZAZI

AFYA UZAZI HEALT AND MEDICAL CARE

You can also follow on Instagram to see more.
08/04/2025

You can also follow on Instagram to see more.

07/02/2025
27/01/2025

Wanaume wengi hawapenzi kulizungumzia tatizo hili waziwazi. Pamoja na kwamba tatizo hili halijitokezi sana kwa wanaume ukilinganisha na wanawake, inakadiriwa kuwa asilimia 15 hadi 16 ya wanaume wana tatizo hili, kwa lugha nyepesi kuna mwanamme mmoja mwenye tatizo hili baina ya kila wanaume sita au saba. Idadi ya wanawake wenye tatizo hili ni mara mbili ya wanaume. Tatizo hili huwakera zaidi wanaume kuliko wanawake kwa sababu wanaume huchukulia urijali k**a sehemu ya ukamilifu wa mwanamme na hunyongea wanapoona wana mapungufu kuhusu mambo ya mapenzi, tofauti kabisa na wanawake. Idadi ya wanaume wanaoridhika kuishi na tatizo hili ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya wanawake. Hata hivyo tatizo la mwanamme kukosa hamu ya kufanya mapenzi limebainika kuwa ndilo linaloongoza katika kuleta migogoro ya unyumba kuliko matatizo mengine yote.
Wasiliana nasi Kwa suluisho la tatizo lako. 0714219739

Unapotumia dawa hizo unautengenezea ubongo na mwili wako kuwa tegemezi. Ubongo ndio huongoza mwili na kuratibu shughuli ...
24/10/2024

Unapotumia dawa hizo unautengenezea ubongo na mwili wako kuwa tegemezi.

Ubongo ndio huongoza mwili na kuratibu shughuli zote za mwili ikiwa ni pamoja na s*x. Kwahiyo ubongo ukizoea kuongoza mwili wako ufanye s*x ukiwa umetumia dawa hizo za kuboost, maana yake ni kwamba miaka yote wewe bila kutumia dawa huwezi.

Pia unakuwa na woga sana, kwamba usipotumia dawa huwezi. Unaanza kujidharau, na kukosa furaha (

2 # Unapotumia vidonge hivyo unakusanya wingi wa kemikali mwilini mwako ambazo kadiri zinavorundikana huleta madhara makubwa kiafya.

Zile dawa hutengenezwa kwa kutumia formula za kikemikali,ambazo hupelekea matatizo mengine k**a vile ganzi, na kupooza upande mmoja wa mwili.

Hii husababishwa na zile kemikali au mabaki ya dawa, ambazo husafirishwa kwa damu na kwenda sehem za mikono, miguu na kichwani.

Kwahiyo kupoteza fahamu ,miguu kuuma na kufa ganzi, nk ni moja kati madhara ya kutumia dawa hizo.

3 kabisa uwezo wako wa kufanya tendo la ndoa. Kuna wakati hutoweza hata kusimamisha uume.

Hamu ya tendo la ndoa ni mchakato mrefu, tutajifunza hapa.
Hivyo kwa kutumia dawa hizo unaharibu mwili kabisa na kupoteza uwezo wa kufanya mapenzi bila kutumia dawa,

mwisho hupelekea kukosa nguvu kabisa hata k**a utatumia dawa hutaona uume hauna nguvu wala haupati hamu ya tendo la ndoa.

4 ubora wa mbegu au manii hivo hupelekea ugumba.

Mbegu za kiume ili zitengenezwe zikiwa bora hutegemea kile kinachoingia.

Na dawa hizi hufanya kazi kwenye mfumo mzima wa uzazi yaan korodan, mishipa yote ya uume, na tezi dume ambalo huhusika kutoa ule ute mlainii mweupe kabla ya kufanya mapenzi na wakati wa kutoa mbegu.

Sasa k**a korodan zitaathirika, tezi dume, na mishipa basi mbegu pia hutoka zikiwa hazina ubora , chache, nyepesi k**a maji maji, na hivyo ukipimwa utaambiwa hauna mbegu nzuri za kutungisha mimba. Unakaa ndani ya ndoa miaka mingi mtoto hakuna jiulize.

5 #.Unaharibu misuli ya uume wako, hivyo kuna wakati hata utumie dawa misuli haitaweza kuwa na nguvu kabisa

Onyo acha kutumia dawa za kuboost uwezo wako tafuta mtaalamu wa afya ili akupe suluhisho lenye kumaliza changamoto yako moja kwa moja na sio kutumia busta

https://chat.whatsapp.com/FMlderXX4B25xYdTREeWqT

Matumizi ya virutubisho kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume yanaweza kuwa muhimu kwa sababu kadhaa, lakini ni vyema kue...
24/10/2024

Matumizi ya virutubisho kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume yanaweza kuwa muhimu kwa sababu kadhaa, lakini ni vyema kuelewa kwamba sio kila mtu anayehitaji virutubisho hivi, na matumizi yake yanapaswa kufanyika kwa uangalifu.

Sababu za umuhimu zinaweza kuwa:

1. Kuboresha afya ya mwili kwa ujumla: Virutubisho vinaweza kusaidia kuboresha afya ya jumla ya mwili, k**a vile kuongeza viwango vya madini k**a vile zinki (zinc) na magnesiamu, ambavyo vinahusishwa na uzalishaji wa homoni za kiume k**a vile testosterone.

2. Kuboresha uzalishaji wa homoni: Baadhi ya virutubisho vinaweza kusaidia kuchochea uzalishaji wa testosterone, ambayo ni muhimu kwa nguvu za kiume, libido (hamu ya tendo la ndoa), na afya ya uzazi kwa ujumla.

3. Kusaidia katika udhibiti wa msongo wa mawazo: Virutubisho k**a vile vitamini B na asidi ya foliki vinaweza kusaidia katika kupunguza msongo wa mawazo, ambao unaweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume. Msongo wa mawazo ni moja ya vyanzo vikuu vya matatizo ya nguvu za kiume.

4. Kuimarisha mtiririko wa damu: Virutubisho vingine, k**a vile L-arginine, vinaweza kusaidia kuboresha mtiririko wa damu, jambo ambalo linaweza kuimarisha uwezo wa kusimika kwa ufanisi. Mtiririko mzuri wa damu ni muhimu kwa kudumisha nguvu za kiume.

5. Kurekebisha lishe duni: Lishe isiyo na virutubisho muhimu inaweza kusababisha matatizo ya nguvu za kiume. Kwa hivyo, virutubisho vinaweza kusaidia kurekebisha upungufu wa virutubisho muhimu mwilini, k**a vile vitamini na madini.
https://chat.whatsapp.com/FMlderXX4B25xYdTREeWqT

16/10/2024

Eternal international health care
0788558287

13/10/2024

HEALT AND MEDICAL CARE

Address

Zanzibar
0000

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share