AFYA UZAZI

AFYA UZAZI HEALT AND MEDICAL CARE

changamoto hiyo. Uvimbe kwenye ovari (ovarian cysts) ni tatizo linalowapata wanawake wengi, hasa walio katika umri wa ku...
14/10/2025

changamoto hiyo. Uvimbe kwenye ovari (ovarian cysts) ni tatizo linalowapata wanawake wengi, hasa walio katika umri wa kuzaa. Hapa chini ni elimu fupi kuhusu tatizo hilo:

*Sababu za Uvimbe kwenye Ovari*
1. *Mabadiliko ya homoni* – hasa wakati wa mzunguko wa hedhi.
2. *Endometriosis* – hali ambapo utando wa ndani ya mfuko wa uzazi hukua nje ya mfuko huo.
3. *Maambukizi ya njia ya uzazi* – hasa k**a hayajatibiwa kwa muda mrefu.
4. *Mimba* – wakati mwingine uvimbe hutokea mwanzoni mwa ujauzito.
5. *Polycystic O***y Syndrome (PCOS)* – hali ya kuwa na uvimbe mdogo mdogo mwingi kwenye ovari.

*Dalili za Uvimbe kwenye Ovari*
- Maumivu upande mmoja wa tumbo chini
- Kujaa au kuvimba tumboni
- Hedhi isiyo ya kawaida
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Maumivu ya mgongo au mapaja
- Kichefuchefu au kutapika

*Ushauri wa Afya*
- Fanya *vipimo hospitalini* k**a ultrasound kuthibitisha aina ya uvimbe.
- *Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari*, kula mboga za majani, matunda, na vyakula vyenye nyuzinyuzi.
- Punguza *msongo wa mawazo*.
- Fuata ushauri wa daktari kuhusu matibabu – wakati mwingine dawa hutosha, lakini baadhi ya uvimbe wakubwa huweza kuhitaji upasuaji. Yeah

*FALSE PREGNANCY (PSEUDOCYESIS), SIRI YA MWILI NA AKILI YA MWANAMKE...*Umewahi kusikia mwanamke akihisi dalili zote za u...
15/09/2025

*FALSE PREGNANCY (PSEUDOCYESIS), SIRI YA MWILI NA AKILI YA MWANAMKE...*

Umewahi kusikia mwanamke akihisi dalili zote za ujauzito, lakini vipimo vyote vikathibitisha hana mimba..? 🤔

Hali hii kitaalamu huitwa Pseudocyesis au False Pregnancy....

*Ipo hivi...*

Mwili wa mwanamke unaweza kuiga dalili zote za mimba kukosa hedhi, kuvimba matiti, kichefuchefu, tumbo kukua..kwa sababu ya nguvu ya akili (mind body connection) na mabadiliko ya homoni....

*Sababu kuu zinazochochea hali hii..*

↳ Msongo wa mawazo unaohusiana na hamu kubwa ya kupata mtoto...

↳ Hofu ya mimba (kwa wengine) inaweza pia kuibua dalili hizo.

↳ Mabadiliko ya homoni yanayochochewa na ubongo kutokana na imani ya kina kwamba kuna mimba.

↳ Shinikizo la kijamii au kifamilia linalomfanya mwanamke kuamini au kuhitaji ujauzito kwa nguvu....

*Dalili kuu zinazojitokeza..*

↳ Hedhi kusimama kwa miezi kadhaa.

↳ Tumbo kuongezeka ukubwa.

↳ Kuhisi mtoto anasogea tumboni.

↳ Matiti kujaa na hata kutoa majimaji.

*Lakini kiuhalisia 👉 Hakuna mimba tumboni...*

Pseudocyesis hutufundisha kitu cha kipekee sana.

Akili na mwili wa binadamu vina uhusiano mkubwa kupita tunavyodhani...

Mwanamke anaposhikilia imani kubwa ya ujauzito, ubongo huamuru mwili uanze kuhisi ujauzito wa uongo...

*NB:* Hali hii siyo maigizo, siyo udanganyifu, Ni ugonjwa wa kisaikolojia unaohitaji msaada wa kitaalamu kutoka kwa daktari na mwanasaikolojia...

*Hii ndiyo maana katika tiba, tunasema, "Mwili hujibu kile akili inachoamini" K**a upo sambamba na elimi katika jukwa hili Nipe LIKE 🫡*
Dr MURTADHA 0714219739

🇹🇿 ... 💌*✍️ *UKIONA DALILI K**A ZILIVO ORODHESHWA HAPO CHINI  NI DHAHIRI KUWA UNA HITAJI KUPATA VIRUTUBISHO HARAKA  JUU ...
22/08/2025

🇹🇿 ...
💌*✍️ *UKIONA DALILI K**A ZILIVO ORODHESHWA HAPO CHINI NI DHAHIRI KUWA UNA HITAJI KUPATA VIRUTUBISHO HARAKA JUU YA UWEZO WAKO WA NGUVU ZA KIUME* 💌
👉UUME KULEGE KILA UKIJARIBU KUBADIRSHA STYLE

👉UUME KULEGEA BAADA YA KUMALIZA SAFARI YA KWANZA

👉KUPATA BAO LENYE MAUMIVU HASA KUANZIA BAO LA PILI NA KUENDELEA
👉KUKOSA HISIA KABISA MARA BAADA TU YA KUFIKA KILELENI
👉KUCHOKA SANA BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
👉UUME KUTOSIMAMA VIZURI AKIWEPO MWENZA WAKO LAKINI AKIONDOKA UNA SIMAMA VIZURI
👉KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KUREJEA TENDO

👉KUSHINDWA KUMWANDAA MWENZA WAKO KUHOFIA KUWA UTAWAHI KUFIKA KILELENI KABLA YA TENDO
👉KUTOA MBEGU HAFIFU KIASI KWAMBA UNA SHINDWA KUMPA UJAUZITO MWENZA WAKO
👉KUCHELEWA SANA KUFIKA KILELENI NA UKIFIKA UNA PATA MAUMIVU MAKALI
👉KUWA NA UUME MDOGO( KIBAMIA)

*K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO,PIGA 0714219739

DALILI 4 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI: ZIFAHAM MAPEMAKwa kawaida Mwanamke Kila Mwezi Hutoa mayai ambayo yana zarishwa k...
22/08/2025

DALILI 4 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI: ZIFAHAM MAPEMA
Kwa kawaida Mwanamke Kila Mwezi Hutoa mayai ambayo yana zarishwa katika vifiko maaalum yani O***y, na baada ya kuzarisha yanatolewa na kupita katika mirija ya uzazi ambayo tunaiifa Fallopian Tubes, K**a mayai hayo yatakutana na mbegu ya kiume basi mimba itapatikana, Na k**a hayatakutana na mbegu ya kiume basi Yatafika hatua yatapasuka na hapa ndipo tuna sema mama ameingia hedhi
✍️Zipo sababu mbalimbali ikiwepo maambukizi ya bacteria katika mfumo wa uzazi, yani PID ambayo hufanya kutengenezeke utando wa maji maji ambao kitaalam tunauita Hydrosalpinx, Utando huu unaenda kuziba njia ambayo yai linapita na hapa ndipo mama hautaweza kushika mimba na ukipima utaambiwa mirija yako imeziba.
DALILI ZA TATIZO HILI NI CHACHE
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na pembeni kwenye mrija uliovimba
2. Kutoka na uchafu ukeni
3. KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Hizo ndio Dalili Kuu, Na tiba Za tatizo hili zipo za Asili na zipo za kuziburiwa kwa njia za hospital hivyo unapopata changamoto hii wahi mapema.
✍️Kwa unaependa Tiba Asili, yani kutibu bila kuziburiwa kwa njia za hospital karibu 0714219739 vizuri, kisha utalipia huduma na kupata tiba na ushauri juu ya hili. Karibuni sana

16/08/2025

YA_KUSAMBAZA_TAARIFA
Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited

Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone.
NOTE:
* Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone
* Uwe zanzibar tu
* Uwe na bidii ya kazi
* Elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo

MALIPO
* Malipo yapo ya aina mbili (Malipo ya kila siku na kila mwisho wa mwezi) yote utapata.
* Kima cha chini kwa malipo ni (Kwa siku 20,000/= na kwa mwezi ni 350,000/=)

Wote mnakaribishwa, Ofisi ipo Mwanakwerekwe
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
0714219739

*🔍 Sababu:*Maambukizi ya mama wakati wa mimba (k**a Rubella, Cytomegalovirus).Matumizi ya dawa zenye sumu kwa masikio.Ma...
16/08/2025

*🔍 Sababu:*

Maambukizi ya mama wakati wa mimba (k**a Rubella, Cytomegalovirus).

Matumizi ya dawa zenye sumu kwa masikio.

Matatizo ya kurithi (genetic hearing loss).

Upungufu wa iodine au virutubisho vingine muhimu.

*Kuumia kichwani wakati wa kuzaliwa au kuchelewa kulia wakati wa kuzaliwa au kutolia kabisa.*

*🔍 Sababu:*Maambukizi ya mama wakati wa mimba (k**a Rubella, Cytomegalovirus).Matumizi ya dawa zenye sumu kwa masikio.Ma...
16/08/2025

*🔍 Sababu:*

Maambukizi ya mama wakati wa mimba (k**a Rubella, Cytomegalovirus).

Matumizi ya dawa zenye sumu kwa masikio.

Matatizo ya kurithi (genetic hearing loss).

Upungufu wa iodine au virutubisho vingine muhimu.

*Kuumia kichwani wakati wa kuzaliwa au kuchelewa kulia wakati wa kuzaliwa au kutolia kabisa.*

Dr murtadha 0714219739

*🛑 JINSI YA KUZUIA MATATIZO HAYA (Wazazi wote):**🔑 KWA MAMA (Kabla na Wakati wa Mimba):*Tumia Folic Acid, Calcium, Iron,...
16/08/2025

*🛑 JINSI YA KUZUIA MATATIZO HAYA (Wazazi wote):*

*🔑 KWA MAMA (Kabla na Wakati wa Mimba):*

Tumia Folic Acid, Calcium, Iron, Vitamin D.

Pata chanjo dhidi ya Rubella, Hepatitis, Tetanus.

Epuka dawa bila ushauri wa daktari.

*Kula lishe bora: mboga za kijani, matunda, samaki, mayai, nk.*

Kunywa maji mengi na kupata usingizi wa kutosha.

*Pata jua la asubuhi (Vitamin D).*

Dr 0714219739

#

Kwanza kabisa tambua kwanza ukuaji wa uvimbe hautafanyika k**a hakua uwepo wa homoni ndani yake. Tatizo ya kuvurugika kw...
22/07/2025

Kwanza kabisa tambua kwanza ukuaji wa uvimbe hautafanyika k**a hakua uwepo wa homoni ndani yake.

Tatizo ya kuvurugika kwa homoni au vichocheo mwilini husababisha mwili kuianza hatua ya kutengeneza kitu tofauti . Ndio maana vimbe hufahamika k**a 𝙝𝙤𝙧𝙢𝙤𝙣𝙚 𝙙𝙚𝙥𝙚𝙣𝙙𝙚𝙣𝙩 𝙩𝙪𝙢𝙤𝙧𝙨

HORMONE DEPENDENT TUMORS inamaanisha nini?
Ni kitendo kinachofanya ukuaji wa kitu fulani kwa kuchochewa na homoni

Mf. Vimbe, saratani , sukari,uzito mkubwa, ugumba au utasa n.k

HITIMISHO
Kutibu changamoto ya vimbe kwa kufanya upasuaji au kutumia madawa bila kutazama mtindo wa maisha kwa kuimarisha lishe kamili kwaajili ya homoni zako basi utaambulia patupu.

JIULIZE SWALI .
Wangapi wamefanyiwa upasuaji au kutumia madawa lakini changamoto kwa mda wa miezi kadhaa ikarudia?? Mara ngapi vimbe zimefika kutoka licha ya kunywa dawa kwa mda ??

REKEBISHA HOMONI UPONE MARADHI YA LISHE KWA ASILIMIA 90 ✔️

Je umejifunza kitu na ungependa kujua chochote au Msaada wowote tuwasiliane.

0714219739 Black

Kwanza kabisa tambua kwanza ukuaji wa uvimbe hautafanyika k**a hakua uwepo wa homoni ndani yake. Tatizo ya kuvurugika kw...
22/07/2025

Kwanza kabisa tambua kwanza ukuaji wa uvimbe hautafanyika k**a hakua uwepo wa homoni ndani yake.

Tatizo ya kuvurugika kwa homoni au vichocheo mwilini husababisha mwili kuianza hatua ya kutengeneza kitu tofauti . Ndio maana vimbe hufahamika k**a 𝙝𝙤𝙧𝙢𝙤𝙣𝙚 𝙙𝙚𝙥𝙚𝙣𝙙𝙚𝙣𝙩 𝙩𝙪𝙢𝙤𝙧𝙨

HORMONE DEPENDENT TUMORS inamaanisha nini?
Ni kitendo kinachofanya ukuaji wa kitu fulani kwa kuchochewa na homoni

Mf. Vimbe, saratani , sukari,uzito mkubwa, ugumba au utasa n.k

HITIMISHO
Kutibu changamoto ya vimbe kwa kufanya upasuaji au kutumia madawa bila kutazama mtindo wa maisha kwa kuimarisha lishe kamili kwaajili ya homoni zako basi utaambulia patupu.

JIULIZE SWALI .
Wangapi wamefanyiwa upasuaji au kutumia madawa lakini changamoto kwa mda wa miezi kadhaa ikarudia?? Mara ngapi vimbe zimefika kutoka licha ya kunywa dawa kwa mda ??

REKEBISHA HOMONI UPONE MARADHI YA LISHE KWA ASILIMIA 90 ✔️

Je umejifunza kitu na ungependa kujua chochote au Msaada wowote tuwasiliane.
With JB M***a – I just got recognised as one of their top fans! 🎉

Ductal carcinoma in situ (DCIS): Ductal carcinoma in situ ni kansa ambayo haivamii tishu za jirani. Kansa hii huanzia nd...
21/06/2025

Ductal carcinoma in situ (DCIS): Ductal carcinoma in situ ni kansa ambayo haivamii tishu za jirani. Kansa hii huanzia ndani ya mirija ya maziwa (ducts) na carcinoma ni kansa yo yote ambayo huanzia katika ngozi au tishu nyingine (pamoja na tishu za matiti) zinazofunika au kutanda juu ya viungo vya ndani. Kansa hii haijasambaa nje ya mirija ya maziwa. Si kansa hatarishi sana kwa maisha lakini huongeza uwezekano wa kupata kansa inayosambaa hapo baadaye.

Mawaasiliano 0714219739

Address

Kwerekwe
Zanzibar

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram