24/10/2024
Unapotumia dawa hizo unautengenezea ubongo na mwili wako kuwa tegemezi.
Ubongo ndio huongoza mwili na kuratibu shughuli zote za mwili ikiwa ni pamoja na s*x. Kwahiyo ubongo ukizoea kuongoza mwili wako ufanye s*x ukiwa umetumia dawa hizo za kuboost, maana yake ni kwamba miaka yote wewe bila kutumia dawa huwezi.
Pia unakuwa na woga sana, kwamba usipotumia dawa huwezi. Unaanza kujidharau, na kukosa furaha (
2 # Unapotumia vidonge hivyo unakusanya wingi wa kemikali mwilini mwako ambazo kadiri zinavorundikana huleta madhara makubwa kiafya.
Zile dawa hutengenezwa kwa kutumia formula za kikemikali,ambazo hupelekea matatizo mengine k**a vile ganzi, na kupooza upande mmoja wa mwili.
Hii husababishwa na zile kemikali au mabaki ya dawa, ambazo husafirishwa kwa damu na kwenda sehem za mikono, miguu na kichwani.
Kwahiyo kupoteza fahamu ,miguu kuuma na kufa ganzi, nk ni moja kati madhara ya kutumia dawa hizo.
3 kabisa uwezo wako wa kufanya tendo la ndoa. Kuna wakati hutoweza hata kusimamisha uume.
Hamu ya tendo la ndoa ni mchakato mrefu, tutajifunza hapa.
Hivyo kwa kutumia dawa hizo unaharibu mwili kabisa na kupoteza uwezo wa kufanya mapenzi bila kutumia dawa,
mwisho hupelekea kukosa nguvu kabisa hata k**a utatumia dawa hutaona uume hauna nguvu wala haupati hamu ya tendo la ndoa.
4 ubora wa mbegu au manii hivo hupelekea ugumba.
Mbegu za kiume ili zitengenezwe zikiwa bora hutegemea kile kinachoingia.
Na dawa hizi hufanya kazi kwenye mfumo mzima wa uzazi yaan korodan, mishipa yote ya uume, na tezi dume ambalo huhusika kutoa ule ute mlainii mweupe kabla ya kufanya mapenzi na wakati wa kutoa mbegu.
Sasa k**a korodan zitaathirika, tezi dume, na mishipa basi mbegu pia hutoka zikiwa hazina ubora , chache, nyepesi k**a maji maji, na hivyo ukipimwa utaambiwa hauna mbegu nzuri za kutungisha mimba. Unakaa ndani ya ndoa miaka mingi mtoto hakuna jiulize.
5 #.Unaharibu misuli ya uume wako, hivyo kuna wakati hata utumie dawa misuli haitaweza kuwa na nguvu kabisa
Onyo acha kutumia dawa za kuboost uwezo wako tafuta mtaalamu wa afya ili akupe suluhisho lenye kumaliza changamoto yako moja kwa moja na sio kutumia busta
https://chat.whatsapp.com/FMlderXX4B25xYdTREeWqT