Adiafiqy Herbal&medicine Jambiani

Adiafiqy Herbal&medicine Jambiani Tunatoa huduma za afya kwa kutumia dawa za asili pia tunatoa ushauri nasaha karibuni tuungane

02/04/2016

Asalamu Alaykum?
Habari zenu wapendwa?
Baada ya ukimya wa kipindi kirefu sasa nimerudi ndg zangu nipo hapa kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali Biidhnillah.
Mwenye nayo na ajitokeze nipo kumsaidia.

Asalamu Alaykum?Leo nipo kuwaletea hiiINDIGETIONSababu kuu inayofanya chakula kishindwe kuyeyushwa ndani ya tumbo hadi k...
17/10/2015

Asalamu Alaykum?
Leo nipo kuwaletea hii
INDIGETION
Sababu kuu inayofanya chakula kishindwe kuyeyushwa ndani ya tumbo hadi kuwa chanzo cha matatizo mbalimbali ni:-
* Kula kupita kiasi.
* Kula mara kwa mara.
* Kula kwa haraka bila kutafuna sawasawa.
* Kutokuwa na muda maalum wa chakula.
* Ulaji wa chakula kisichofaa.
* Kula wakati hukutulia kiakili.
Hivyo ndg yangu wakati unapogundua dalili hizi zifuatazo hapa chini basi elewa ktk tumboni mwako hampo sawa ni vyema kuanza tiba.
• Kuumwa na tumbo.
• Kichefuchefu.
• Kutoa hewa chafu kila mara a.k.a kushuta au kujamba.
• Kiungulia.
• Tumbo kujaa hewa.
• Tumbo la kuhara.
TIBA ZAKE:-
1. Chukua juice ya ndimu kijiko kimoja cha chakula changanya na kijiko k**a hicho cha juice ya tangawizi kisha kunywa kutwa mara tatu siku 3-5.
2. Chukua punje 20 za kitunguu thoum saga vidhuuuri kisha ongeza maziwa fresh nusu glasi,koroga vidhuuuri kisha tunza ndani ya friji kiasi robo saa. Kisha uwe unakunywa vijiko viwili vya chakula kila baada ya mlo mkuu.
3. Chukua jani la Aloevera likate nusu futi halafu kata vipande vidogo vidogo na uwe ukila k**a kachumbari.
In shaa Allah Biidhnillah kuna kupona.
www.adiafiqy.blogspot.com.

16/10/2015

Asalamu Alaykum?
Ndugu zangu sasa pia napatikana hapa karibuni sana tuyatokomeze maradhi mbalimbali kwa idhini ya M/Mungu kwa kutumia dawa za kisunna. In shaa Allah wote mnakaribishwa.

Address

Zanzibar

Telephone

0784091964

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Adiafiqy Herbal&medicine Jambiani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram