Boresha MFUMO WA Chakula

Boresha MFUMO WA Chakula USHAURI JUU YA CHANGAMOTO ZITOKANAZO NA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

17/11/2023

*MAJI BARIDI : Je, Wewe Ni Mpenzi Wa Kunywa Maji Baridi...?*

Watu waliopo ukanda wa baridi huburudika sana endapo atakunywa maji ya bariiiiidi na kujiskia fahari sana.

Baadhi ya watu hupendelea kushushia na maji ya bariiiidi mara tu wamalizapo kula. ๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜Š

Utaufrahisha ulimi wenye urefu wa Sentimita 7 tu na kuusumbua utumbo wenye urefu wa Mita 7. Twende kwenye mada kuu. ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ

Ukinywa maji ya baridi muda mfupi kabla ya kula au baada ya kula chini ya nusu saa hugandisha mafuta yaliyomo kwenye chakula. Hii hupelekea kuongezeka uzito, choo kigumu sababu ni umeng'enyaji mbovu wa vyakula tumboni.

USHAURI KWAKO: Kunywa Maji Ya Vuguvugu Kupata Faida Hizi...! ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ

1. Huondoa sumu mwilini

Unywaji wa maji mengi husaidia kuondoa sumu mwilini kwani huwezesha viungo k**a vile figo kufanya kazi yake vyema.

2. Huboresha ufyonzwaji chakula

Kufyonza chakula; ni mchakato ambao mwilli hutumia vyakula (wanga, protini na mafuta) ili kupata nguvu na kujijenga. Hivyo basi, unywaji wa maji huwezesha mchakato huu kwenda vyema na kuufanya mwili kuwa na afya njema.

3. Husaidia kupunguza uzito

Soda ina sukari gramu 35 na gramu 140 za kalori ikilinganisha na maji ambayo vyote ni sifuri. Hivyo basi, ni vyema ukapendelea kunywa maji zaidi kuliko vinywaji vingine vya viwandani.

4. Huondoa kiungulia na matatizo ya umengโ€™enyaji wa chakula

Unywaji wa maji utarahisisha na kuhimiza mchakato mzima wa umengโ€™enywaji wa chakula.

5. Huzuia mawe kwenye figo

Ili kurahisisha utendaji kazi wa figo zako pamoja na afya yake, zingatia kunywa maji ya kutosha hasa asubuhi.

6. Huongeza kinga ya mwili

Kujijenga kwa kinga, mwili hutegemea sana maji. Hivyo ni vyema kuhakikisha unaongeza kinga ya wili wako kwa kunywa maji ya kutosha hasa kabla ya kula kitu chochote.

Mama mmoja aliamua kumtembelea mtoto wake wa kiume anayesoma chuo kikuu katika HOSTEL aliyopanga ili wale chakula cha ji...
29/08/2023

Mama mmoja aliamua kumtembelea mtoto wake wa kiume anayesoma chuo kikuu katika HOSTEL aliyopanga ili wale chakula cha jioni pamoja..

Alipofika hapo chumbani kwa mtoto wake alimkuta mwanaye anaishi na msichana mrembo sana, pia kuna vitanda viwili, yule msichana akaanda chakula wakala pamoja,,,
Lakini Mama akawa anamuangalia sana yule binti, mtoto wake akavunja ukimya na kusema:
(NAJUA UNACHOFIKIRIA MAMA, USIWE NA WASIWASI HUYO NI MWANACHUO MWENZANGU TUU WALA SIO MPENZI WANGU)!

Mama akatabasamu tuu lakini hakujibu kitu!

Halafu akawaaga na kuondoka zake!

Baada ya siku tatu, yule msichana akamwambia yule jamaa kuwa, tangu mama yake aje kula chakula siku ile kuna sahani moja ya SILVER imepotea pale chumbani!

Jamaa akaamua amuandikie BARUA mama yake isemayo:

(SHIKAMOO MAMA YANGU KIPENZI, NI MATUMAINI YANGU KUWA UMZIMA WA AFYA NA MIMI PIA NI MZIMA, MAMA KUNA SAHANI YA SILVER ILIPOTEA HAPA CHUMBANI KWANGU TANGU BAADA YA WEWE KUONDOKA SIKU ILE ULIPOKUJA KULA CHAKULA,,,, SIO KWAMBA NASEMA UMEICHUKUA WALA SISEMI KWAMBA HUJAICHUA ILA KIUKWELI SAHANI HIYO ILIPOTEA TANGU SIKU ILE ULIPOONDOKA HUKUโœ๐Ÿฟ
Wako mwanao kipenzi)

Mama baada ya kupokea ile barua akaamua kujibu namna hii:

โœ๐Ÿฟ MARHABA MWANANGU KIPENZI, SISI SOTE NI WAZIMA,, SIO KWAMBA NASEMA HUYO MSICHANA HUWA UNALALA NAYE KITANDA KIMOJA WALA SISEMI KUWA HUWA HULALI NAYE KITANDA KIMOJA, ila ukweli ni kwamba k**a huwa a**lala kwenye kitanda chake basi angeiona hiyo SAHANI YA SILVER chini Ya mto wa kitanda chake...
wako mama kipenzi.

USIFANYE MCHEZO NA MHENGA,,, WANA AKILI NYINGI SANA HAWA WATU.

Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi.
Mithali 20:29

FUATA GROUP LA WHATSAPP ILI KUJIFUNZA AFYA YAKO NA KUPATA SURUHISHO NA USHAURI WA MARADHI kwa kuacha namba kwenye Comment au tuma neno TIBA kwenda 0687693137

TIBA KABAMBE KWA TATIZO LA KUZIDI KWA ASIDI TUMBONI (REFLUX ACID ) NA VIDONDA VYA TUMBO ( PEPTIC ULCERS ________________...
02/08/2023

TIBA KABAMBE KWA TATIZO LA KUZIDI KWA ASIDI TUMBONI (REFLUX ACID ) NA VIDONDA VYA TUMBO ( PEPTIC ULCERS
_______________________________

Kwanza nikupe elimu vizuri kuhusu hili tatizo la KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)
__________________________

Gastroesophageal reflux disease (GERD) ni nini ???
__________________________

GERD ni Hali inayotokana na kuzidi kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatizo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatizo gani hadi hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatizo hili.
__________________________
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
__________________________

Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni, baadhi ya dalili hizo ni zifuatazo:

1.๐Ÿ–‡๏ธ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.๐Ÿ–‡๏ธ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.๐Ÿ–‡๏ธ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.๐Ÿ–‡๏ธ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.๐Ÿ–‡๏ธ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi

8.๐Ÿ–‡๏ธ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata kikokozi kisichoisha

11.๐Ÿ–‡๏ธ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.๐Ÿ–‡๏ธ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.๐Ÿ–‡๏ธ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki

14.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.

16.๐Ÿ–‡๏ธ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

17.๐Ÿ–‡๏ธ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

18.๐Ÿ–‡๏ธ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

19.๐Ÿ–‡๏ธ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.

20.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.

21.๐Ÿ–‡๏ธKichefuchefu na kutapika
__________________________

Karibu Tukuondolee Tatizo Lako Kwa Program Hii AMBAYO Imekua NI Msaada Kwa WATU Wengi Ambao Mwanzo Walikua Wanaumwa K**a Wewe LAKINI SASA Hivi Wanafurahia Baada Ya Kupata Suluhisho La Kudumu Kwa Kutumia Nnjia Sahihi Ya VIRUTUBISHO LISHE KUTOKA BFSUMA

Kwa Elimu, Ushauri Pamoja Na Tiba zaidi wasiliana nasi kwa :

WhatsApp Call And Msg

0688693137

page ๐Ÿ“ƒ



๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Kwaajili ya kujifunza Afya Yako na Kuimarika. Follow๐Ÿซต
27/07/2023

Kwaajili ya kujifunza Afya Yako na Kuimarika. Follow๐Ÿซต

WhatsApp Group Invite

AFYA ya Ngozi YAKO โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI) {PRODUCT FROM U.S.A}*0% chemical* Ni sabuni ya mitish...
25/07/2023

AFYA ya Ngozi YAKO โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)
{PRODUCT FROM U.S.A}
*0% chemical*
Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo

INGREDIENTS (VIAMBATA)
1.....Wild honey (asali mwitu)
2....Green Tea (mchai รงhai)
3.... Grape fruit (mbegu za zabibu)
4.Lisa

KAZI MUHIMU
1.Hupambana na kuondoa makunyanzi

2.Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muinekano nadhifu

3.Huondoa mapunye,chunusi,na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi.

4.Inavuta uchafu uliopo ndani ya ngozi,pamoja na uchafu unaosababisha chunusi na mapele.

5..inaomdoa madoa kwenye ngozi

6..Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hivyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo

7...In**ibua(inafungua) njia za jasho kwenye vinyweleo hivyo kudhibiti tatizo la harufu mbaya ya mwili

8...Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha, na vidonda vya kisukari

9..Inaua vijidudu (bacteria) wa ,fangasi,upele na mapunye

10..Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia.

11..Inatunza ngozi ya mtoto mdogo

SHARE KWA WATU MBALI MBALI UWEZE KUWASAIDIA WENYE MATATIZO

Call WhatsApp And Msg 0687693137


*Zijue Dawa Za Asili Za Fangasi Ukeni Ambazo Hakuna Mtaalamu Wa Afya Atathubutu Kukwambia.*Fangasi ukeni ni muwasho sehe...
25/07/2023

*Zijue Dawa Za Asili Za Fangasi Ukeni Ambazo Hakuna Mtaalamu Wa Afya Atathubutu Kukwambia.*

Fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke. Maambukizi ya fangasi sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana duniani, 75% ya wanawake wote duniani wanaosumbuliwa na tatizo hili wanatafuta dawa ya fangasi ukeni kila siku. Maambukizi haya ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa kwa kiasi kikubwa na fangasi aina ya candida albicans na maambukizi haya pia hujulikana k**a vaginal yeast infection au vaginal thrush.

Mambo Yanayoongeza Hatari Ya Kupata Fangasi Ukeni:
Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanamuweka mwanamke katika hatari ya kupata fangasi ukeni;

โญ๏ธUjauzito.
โญ๏ธKuumwa kisukari.
โญ๏ธKushuka kwa kinga ya mwili kutokana na kuugua magonjwa mbalimbali.
โญ๏ธMatumizi yaliyokithiri ya dawa hasa zile za kuua bakteria (antibiotics).
โญ๏ธWanawake wenye umri wa miaka 20-30 wapo katika hatari ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wamekoma hedhi (menopause) na wale ambao hawajaanza kupata hedhi hawako katika hatari kutokana na mazingira au vitu wanavyotumia.
โญ๏ธMatumizi ya mara kwa mara ya vidonge vya majira (oral contraceptive pills).
โญ๏ธMsongo wa mawazo uliokithiri.
โญ๏ธKujamiiana kwa njia ya kawaida mara tu baada ya kujamiiana kupitia haja kubwa (a**l s*x).
โญ๏ธMatumizi ya vilainishi wakati wa kujamiiana husababisha maambukizi pia.
โญ๏ธKuwa na historia ya kupata matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy).
โญ๏ธ Kuwa na utapiamlo (malnutrition).
โญ๏ธKuvaa nguo za ndani zisizokauka vizuri na kuvaa mavazi yanayoleta sana joto sehemu za siri.
โญ๏ธMatumizi makubwa ya mipira wakati wa ngono mfano condoms.

*Kumbuka* : Wanawake wapo katika hatari kubwa ya kuugua fangasi za sehemu za siri ukilinganisha na wanaume, lakini pia hata wanaume huambukizwa tatizo hili.

*DAWA ZA ASILI ZA KUTIBU TATIZO LA FANGASI UKENI*

๐Ÿ’ฌ *Lemonade.*
Hii ni mojawapo ya dawa ya asili ya fangasi ukeni ambayo unaweza kuiandaa na kuitumia uwapo katika mazingira yako ya nyumbani.

*Jinsi* Ya Kuandaa Lemonade Kutibu Fangasi Ukeni;
Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limao, asali na unga wa mdalasini kidogo.

chukua limao kubwa 12 zikatekate kila moja, tumbukiza ndani ya sufuria na weka maji lita 3, chemsha mchanganyiko huo mpaka limao ziive (zisiive sana).

Ipua na utoe zile nyama nyama za ndani za limao moja baada ya nyingine, tupa maganda ya hayo malimao, baada ya hapo chuja mchanganyiko huo kupata juisi ambayo itakuwa na wastani wa ujazo wa lita 2 na nusu hivi. Chukua sufuria nyingine changanya asali nusu lita na hiyo juisi ya limao lita 2 na nusu, ongeza maji safi ya kawaida lita 2, vijiko vikubwa vitatu vya unga wa mdalasini ndani ya juisi ili kupata lemonade ya ujazo wa lita 5 kisha kunywa robo lita kutwa mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 10.

๐Ÿ’ฌ *Maziwa Ya Mtindi.*
Maziwa ya mtindi au bidhaa zitokanazo na maziwa ya mtindi, ni dawa ya kuaminika ya fangasi ukeni ambapo unaweza kutumia njia yoyote ile kuweka maziwa mtindi kwenye uke kwa kiasi kidogo, labda kwa ujazo wa kijiko kidogo cha chai, ukeni wakati wa kulala na asubuhi unajisafisha k**a kawaida. Pia unashauriwa kula maziwa ya mtindi kiasi cha kutosha kila siku.

Uke una uwezo wa kujisafisha wenyewe na kuondoa mabaki yote ya mtindi na kubakisha kiwango kikubwa cha bakteria wazuri (Lactobacilli) pamoja na hali ya tindikali yenye uwezo wa kuzuia kujitokeza na kukua kwa fangasi. Mara zote bakteria hawa wanaopatikana kwenye maziwa ya mtindi k**a bidhaa ijulikanayo kwa kitaalamu k**aโ€Supplements of Acidophilesโ€.

๐Ÿ’ฌ *Kitunguu Saumu.*
Kitunguu saumu kina sifa na uwezo wa kuua bakteria na hata virusi mwilini. Hii pia ni mojawapo ya dawa ya asili ya fangasi ukeni ambayo unaweza kuitumia uwapo katika mazingira yako ya nyumbani.

*Jinsi* Ya Kutumia Kitunguu Saumu Kutibu Fangasi Ukeni;
Chukua kitunguu saumu kimoja kisha kigawanyishe katika punje punje, chukua punje 6 menya punje noja baada ya nyingine, kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana kwa kisu. Meza hivyo vipande vidogo vidogo vya kitunguu saumu na maji nusu lita kila asubuhi uamkapo na unapoenda kulala kwa muda wa wiki 2 hadi 3.

Pia unaweza kuweka hivyo vpande vidogo vidogo vya kitunguu saumu ndani ya kikombe chenye maziwa ya mtindi kisha koroga vizuri na unywe, hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu saumu mdomoni huku ukipata faida nyingine muhimu zilizomo kwenye maziwa ya mtindi.

*Tahadhari:* Mama mjamzito chini ya miezi 4 hashauriwi kutumia kitunguu saumu.

๐Ÿ’ฌ *Mafuta Ya N**i.*
K**a fangasi hao wa ukeni watajitokeza hadi sehemu kidogo ya nje ya uke na ukapata muwasho pia, hakikisha unapaka sehemu ya nje ya uke mafuta ya asili ya n**i yaliyotengenezwa nyumbani. Hii ni dawa tosha kwa fangasi wowote wanaoshambulia sehemu ya nje ya uke.

*HITIMISHO:*
Suluhisho La Kudumu La Fangasi Ukeni:

*WASULIANA NAMI KWA NAMBA hizi hapa ili niweze kukupatia Utaratibu:* +255 687693137
Dawa za asili zilizotajwa hapo juu zitakusaidia kuleta nafuu hivyo tunakushauri kutumia virutubisho (nutritional supplements), hizi ni dawa za asili kabisa ambazo zinaenda kupambana na bakteria wabaya peke yake.

18/07/2023

Leo nataka nipate Comment Yako.
Unatamani upate suruhisho la Changamoto gani ya Kiafya, au lile linalomsumbuwa Ndugu/Jamaa au rafiki yako๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

16/07/2023

TUJIFUNZE KIDOGO HAPA.

WIN WITH Dr. Derick tuma ujumbe wa neno SURUHISHA BAWASIRI Kwenda WhatsApp number 0758750492

โš ๏ธ  *AINA SITA YA VYAKULA AMABVYO VIKICHANGANYWA HUGEUKA SUMU* Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote ...
03/07/2023

โš ๏ธ *AINA SITA YA VYAKULA AMABVYO VIKICHANGANYWA HUGEUKA SUMU*

Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine.

Chakula anachokula mtu kinaenda sanjari na hali ya kiafya. Wengine huumwa hadi kusababisha kupoteza uhai na hii ni baada tu ya kupendelea kuchanganya chakula.

Mtu mmoja anaweza kula sawa na kwa urahisi, ila kwa mwingine kikageuka sumu.

Hali hii huchochewa zaidi na matokeo ya baadae pale unaposhindwa kuweka mchanganyiko sahihi na wenye afya zaidi .

Kila aina chakula ina faida zake, ila kinapochanganywa kinaweza kusababisha shida kwa mtu.

Kwa watu ambao wanataka kuchanganya lishe ili kupunguza unene na vichocheo vyake ni vyema kushauriana na wataalamu jinsi ya kupanga lishe bora.

Mtaalam wa lishe wa Nigeria Habiba Haruna ameiambia BBC kuhusu aina sita za chakula ambazo zinaweza kuwa sumu kwa mtu yeyote.

๐Ÿ‘‰ *Samaki na Maziwa* ๐ŸŽ
Samaki na Maziwa ni vyakula vyenye virutubisho lukuki na kuvichanganya katika sehemu moja vinaweza visiwe na uwezo wa kutengeneza virutubisho sahihi na hii inaweza kuleta shida baadaye.

Mwili wa binadamu hauhitaji vyakula vya aina tofauti vyenye kemikali za aina moja kuchanganywa. Huweza kusababisha sumu itakayopelekea mtu kutapika na hata kuharisha.

๐Ÿ‘‰ *Maji ya limao na Maziwa*
Maziwa na limao huwa haviwezi kukaa sehemu moja kwani vikichanganywa lazima maziwa yaweze kukatika.

Ikiwa mtu atachanganya maziwa na maji ya limao anaweza kutengenezea sumu, vilevile yanaweza kuleta shida katika moyo.

๐Ÿ‘‰ *Karanga na Mafuta ya mzeituni*

Karanga ina umuhimu mkubwa sana katika mwili wa
binadamu na hutumika katika sehemu nyingi sana.

Pia karanga ina kiwango kikubwa sana cha protini na wanga, vilevile Karanga ni moja ya virutubisho muhimu katika lishe, haswa kwa wale ambao wanataka kupunguza uzito.

Kwa mafuta ya mzeituni yanamsaada mkubwa pia hasa katika masuala ya tiba kwa baadhi ya magonjwa, lakini mchanganyiko wa mafuta hayo na karanga ya**leta shida ila inashauriwa kutumika pale moja inapokosekana lakini sio kwa pamoja.

๐Ÿ‘‰ *Dawa pamoja na sharubati ya limao*

limao
Kuchukua dawa na kuchanganya na kitu chenye gesi ina madhara makubwa, wataalamu wanasema kuwa kunywa dawa na soda k**a fanta au Coca-Cola inaweza kukusababishia kifo kutokana tu ongezeko kubwa la gesi.

Ameongeza kwa kusema kuwa limao au kinywanji chochote chenye gesi hakipaswi kuchanganywa na dawa ni hatari.

๐Ÿ‘‰ *Nyama na mayai mabichi*
Kuchanganya nyama ambayo haijaungwa na mayai mabichi inaweza kusababishia matatizo katika mwili wa binadamu.

Inaweza kuwa sumu kwa wengine, zingine zinaweza kusababisha kutapika na kuhara kwa sababu haifai kutumika hivyo.

Nyama mbichi inaweza kusababisha athari ikiwa usindikaji wake haufuatwi ili kupunguza kiwango cha virutubishi vilivyomo.

Mtaalamu anasema kuwa mayai mabichi hayana virutubisho kwenye mwili wa binadamu, yakiwa bado kwenye hali hiyo hayapaswi kuliwa mpaka pale yatakapochemshwa au kukaangwa ndio hujenga mwili.

"Mayai mabichi sio ya kuyaamini," Anasema Mtaalamu wa chakula kutoka Nigeria, Habiba Haruna.

Wataalamu wanashauri watu kula kile wanajua kitakuwa na faida na haitawasababishia matatizo yoyote.

Kujaribu kitu kipya kunaweza kuwa na faida kwa wengine lakini pia kunaweza kuwa na madhara.

Kuna aina nyingi sana ya vyakula ambavyo vikichangwanywa vinaweza sababisha madhara.

Mtu anapaswa kuwa mwangalifu katika uchaguzi wa vyakula ni vyema aweke vyeme virutubisho na kuepuka kuvichanganya.

๐Ÿง โš ๏ธ *BRIGHT FUTURE CHAMPIONS* ๐Ÿ…๐Ÿ…

โœ… *JALI KESHO YAKO KWA VYAKULA NA TIBA SAHIHI*
Dr. Derick 0758750492

๐Ÿ“Œ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซg๐ฌ). Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitu...
03/07/2023

๐Ÿ“Œ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซg๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

๐Ÿ“Œ๐”๐ญ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐ฃ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š
๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ)

โ€ขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ

โ€ขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kuharisha.
โ€ขKukosa hamu ya kula.
โ€ขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Ÿ“Œ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
โ€ขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

๐”๐ญ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐ฃ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š
๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ)

โ€ขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ

โ€ขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kuharisha.
โ€ขKukosa hamu ya kula.
โ€ขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
โ€ขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

โ€ขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna Tiba ipo nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโ€ข
huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer

SULUHISHO
Vidonda vya tumbo
Vinatibika nakupona kabisa Stomach ulcers ndio kiboko ya vidonda sasa,,Tupigie simu nasi tutakupatia Tiba na ushauri juu ya Hali yako.

Usibabaishwe na tiba za kupunguza makali ya Peptic Ulcers *(*VIDONDA VYA TUMBO** ) pata tiba Sasa, *_MATESO SASA BASI_*

K**a wengine wamepona nawe utapona

Tunajali afya yako. WASILIANA NASI: 0758750492

๐Ÿ“Œ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซg๐ฌ). Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitu...
30/06/2023

๐Ÿ“Œ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซg๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

๐Ÿ“Œ๐”๐ญ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐ฃ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š
๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ)

โ€ขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ

โ€ขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kuharisha.
โ€ขKukosa hamu ya kula.
โ€ขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Ÿ“Œ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
โ€ขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

๐”๐ญ๐š๐ฃ๐ฎ๐š๐ฃ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š
๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ)

โ€ขKifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ

โ€ขMaumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ขKukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kuharisha.
โ€ขKukosa hamu ya kula.
โ€ขKusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).
โ€ขHali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.

๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

โ€ขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna Tiba ipo nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโ€ข
huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ขIwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer

SULUHISHO
Vidonda vya tumbo
Vinatibika nakupona kabisa Stomach ulcers ndio kiboko ya vidonda sasa,,Tupigie simu nasi tutakupatia Tiba na ushauri juu ya Hali yako.

Usibabaishwe na tiba za kupunguza makali ya Peptic Ulcers *(*VIDONDA VYA TUMBO** ) pata tiba Sasa, *_MATESO SASA BASI_*

K**a wengine wamepona nawe utapona

Tunajali afya yako

KARIBU KATIKA HUDUMA YA Boresha MFUMO WA Chakula & ELIMU JUU Ya Changamoto za mfumo wa Chakula. Powered By Dr. Derick
30/06/2023

KARIBU KATIKA HUDUMA YA Boresha MFUMO WA Chakula & ELIMU JUU Ya Changamoto za mfumo wa Chakula. Powered By Dr. Derick

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 00:00 - 23:00
Tuesday 00:00 - 23:00
Wednesday 00:00 - 12:00
Thursday 00:00 - 12:00
Friday 00:00 - 22:00
Sunday 00:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Boresha MFUMO WA Chakula posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Boresha MFUMO WA Chakula:

Share