Faith herbal clinic

Faith herbal clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Faith herbal clinic, Medical and health, Mbeya.

Kazi inasonga
22/04/2023

Kazi inasonga

Digital therapy machineK**a unachangamoto ya viungo vya mwili,,,K**aMgongoKiunoMiguuNyongaNa hata wale wenye stroke,,Njo...
16/03/2023

Digital therapy machine

K**a unachangamoto ya viungo vya mwili,,,
K**a
Mgongo
Kiuno
Miguu
Nyonga
Na hata wale wenye stroke,,
Njoo ofisini kwetu uhudumiwe na kwa vifaa maalum...

Ofisi mbeya block T
Jirani kabisa na chuo cha teku.
0742886127

Afya ni mtaji

VIDONDA VYA TUMBO -AINA, CHANZO, DALILI & TIBAUTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni tatizo ...
04/02/2023

VIDONDA VYA TUMBO -AINA, CHANZO, DALILI & TIBA

UTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)

Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa



2. Vidonda vya utumbo mdogo (Duodenal ulcers) – Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)



CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;

Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)

Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)

Kuwa na mawazo mengi

Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi

Kunywa pombe na vinywaji vikali

Uvutaji wa sigara

Kuto kula mlo kwa mpangilio

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;



Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula

Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo

Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu

Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana,

0742886127
Kwa tiba na ushauri.

Alihamdulillah 🙏Ean juiceFaida zake💥kubwa kuondoa sumu mwilini💥kuongeza kiwango cha utoaji taka mwili💥kuongezeka kwa mzu...
04/02/2023

Alihamdulillah 🙏

Ean juice
Faida zake
💥kubwa kuondoa sumu mwilini
💥kuongeza kiwango cha utoaji taka mwili
💥kuongezeka kwa mzunguko wa damu
💥kusafisha mwili
💥kuupa mwili nguvu
💥kuongeza mmeng'enyo wa chakula
💥inakupa usingizi mzuri
💥inaondoa msongo wa mawazo
💥inakupa unafuu wa maumivu ya miguu, mifupa na mwili.

☎️0742886127

Address

Mbeya

Opening Hours

Monday 09:00 - 19:55
Tuesday 09:00 - 19:55
Wednesday 09:00 - 19:55
Thursday 09:00 - 19:55
Friday 09:00 - 19:55
Saturday 09:00 - 16:55
Sunday 09:00 - 16:55

Telephone

+255652050388

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Faith herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share