Afya ni utajiri ijuwe afya yako

Afya ni utajiri ijuwe afya yako Afya ni utajiri ijue afya yako�����

PID NI NINI ?PID(Pelvic  imframatory disease(maambukizi katika via vya uzaz.)DALILI ZA PID👉Kutokwa na uchafu mzito,mweup...
06/03/2022

PID NI NINI ?
PID(Pelvic imframatory disease
(maambukizi katika via vya uzaz.)

DALILI ZA PID
👉Kutokwa na uchafu mzito,mweupe,wa njano k**a maziwa ya mtindi
👉Kuwashwa sehemu za siri
👉Kutoa harufu mbaya ukeni
👉 Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
👉 Maumivu ya kiuno
👉Uke kuwa wa ulaini sana au mkavu sana
👉 Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉 Kuvurugika kwa hedhi
👉Kutoka maji maji mengi ukeni kupita kiasi
👉 Maumivu makali wakati wa kukojoa na wakati wa kwenda haja kubwa
👉Uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.
👉Kutokwa damu nyingi sana kipindi cha hedhi
👉Au kupata bleed siku nyingi zaidi

👇👇👇👇👇
VISABISHI
👉U.T.I sugu
👉Utoaji mimba
👉Fangasi sugu ukeni
👉 Kutumia njia za uzazi wa mpango
👉 Magonjwa ya zinaa k**a kaswende
n.k na hii ni kutokuwa na mpenzi mmoja.

MADHARA YAKE
👉Mirija ya uzaz kuziba
👉Kutoshika mimba/ugumba
👉Kansa ya shingo kizazi
👉Usipotibiwa kupona kansa usababisha kifo
👉Majeraha kwenye mirija ya uzazi
👉Kupata tatzo la uke mchafu

N.B..PID Mara nyingi uwapata waliopo kwenye mahusiano (95 %)

Kwa tiba wasiliana nasi. 0717952824

🌟Tunatoa ushauri na msaada kwa changamoto K**a ✅UTI, ✅PID, ✅homon imbalance, ✅fangasi, ✅miwasho, ✅ugumba,,✅mirija kuziba...
01/03/2022

🌟Tunatoa ushauri na msaada kwa changamoto K**a
✅UTI, ✅PID, ✅homon imbalance, ✅fangasi, ✅miwasho, ✅ugumba,,
✅mirija kuziba, ✅uvimbe, ✅miwasho, ✅kutokwa na uchafu wa harufu mbaya,🌟Tunawasaidia wamama kutatua changamoto za uzazi kwa njia rahisi.
🌟Na changamoto nyingine nying, Njoo ujipatie suluhisho kwa tiba wasiliana nasi.0717952824

DALILI ZA FANGASI UKENI.kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo;~▪️muwasho Sehemu Za Siri~▪️vipele Vidogo Vidogo Ukeni~▪...
28/02/2022

DALILI ZA FANGASI UKENI.

kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo;

~▪️muwasho Sehemu Za Siri

~▪️vipele Vidogo Vidogo Ukeni

~▪️kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya

~▪️vidonda Au Michubuko Ukeni

~▪️kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni

~▪️kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa

~▪️kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke

~▪️kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke

MADHARA YA FANGASI
•Hommon kutokua balance
•Mvugugiko wa hedhi
•Mimba kuharibika
•Kuchelewa kushika ujauzito au kutobeba kabisa

Tatizo hili linatibika bila shida yeyote ila unapo endelea kukaa nalo mda mrefu huleta madhara makubwa mno

MATIBABU NA USHAURI WASILINA NASI . 0717952824

Asilimia kubwa ya wanawake wanakumbana na matatizo k**a:-1️⃣Harufu mbaya ukeni 2️⃣U.T.I sugu ambayo hujirudia mara Kwa m...
25/02/2022

Asilimia kubwa ya wanawake wanakumbana na matatizo k**a:-
1️⃣Harufu mbaya ukeni
2️⃣U.T.I sugu ambayo hujirudia mara Kwa mara hata baada ya kutumia dawa
3️⃣Fangasi
4️⃣Kuwashwa ukeni na kutokewa na madonda
5️⃣Miirija ya uzazi kujaa maji
6️⃣Ukekulegea
7️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
8️⃣Kutokwa na uchafu ukeni.

Hii yote ni kutokana na maisha tunayoishi sasa. Usiendelee kusumbuka pata tiba sahihi
Unachotakiwa kufanya ili upate matokeo ya haraka ni kuwasiliana nasi...0717952824

Kwa Miaka Saba(7) alihangaika kutafuta Ujauzito bila mafanikio hadi pale alipokuja kutumia *COMPLETE na CHOLEDUZ NA LIVE...
26/11/2021

Kwa Miaka Saba(7) alihangaika kutafuta Ujauzito bila mafanikio hadi pale alipokuja kutumia *COMPLETE na CHOLEDUZ NA LIVEN ALKALINE* dozi mbili(alikuwa na shida nyjngi sana ndio maana nikampa bidhaa tatu tofauti). Alipima mwenyewe akakuta Positive hakuamini ameenda hospitalini kuhakiki K**a kweli amenasa🤰🏻 amehakiki Tena hospitalini Kwamba 🤰🏻IMO. *SISI TUNATIBU,MUNGU ANAPONYA !* AHSANTENI MNAOTUAMINI 🤝 kea tiba wasiliana nasi. 0717952824

UNATOKWA NA USAHA WAKATI WA KUKOJOA?✍🏻Wapo wengi ambao wana tatizo k**a hili na ambao wamewakilishwa kupitia swali hili ...
16/11/2021

UNATOKWA NA USAHA WAKATI WA KUKOJOA?

✍🏻Wapo wengi ambao wana tatizo k**a hili na ambao wamewakilishwa kupitia swali hili lililoulizwa na msomaji wetu huyu. Naomba tuwe pamoja kwenye makala hii ili ujifunze kuhusu tatizo la mtu kutokwa usaha wakati wa kukojoa.

✍🏻Tatizo la Kuwepo kwa chembechembe za usaha au usaha kwenye mkojo hujulikana k**a pyuria ambapo linaweza kuonekana kwa kutumia hadubini (microscope) au k**a tatizo ni kubwa linaweza kuonekana kwa macho.

Visababishi vya tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa Kukojoa ni nini?

➡️Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI); Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
➡️Magonjwa ya Zinaa; K**a ugonjwa wa kisonono au ‘’Gono’’ k**a wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
➡️Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) k**a 4; Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
➡️Tatizo linajulikana k**a Reiter’s syndrome
Pyelonephritis; Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana k**a calyces, renal pelvis na tishu za figo
➡️Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana k**a renal abscess
Maambukizi kwenye tezi dume; Prostatitis (Kwa wanaume)
➡️Upungufu wa kinga mwilini
Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
➡️Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo

Dalili

➡️👉🏿Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
👉🏿Maumivu chini ya kitovu
👉🏿Homa
👉🏿Kutapika
👉🏿Tatizo hili likidumu kwa muda mrefu husababisha kupungua uzito kwa mgonjwa

Vipimo vya Uchunguzi

👉🏿Urinalysis – Kipimo cha mkojo
👉🏿Urine for culture and sensitivity. Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
👉🏿Complete blood count. Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia kuonyesha k**a kuna maambukizi kwenye mwili)
👉🏿Blood culture. Kuangalia k**a kuna maambukizi kwenye damu
👉🏿0717952724

Inshaallah panapo majaliwa ni kesho usikosee kutazama Africa TV2 saa tatu kamili Hadi saa nne usiku utajifunza mengi kuh...
01/11/2021

Inshaallah panapo majaliwa ni kesho usikosee kutazama Africa TV2 saa tatu kamili Hadi saa nne usiku utajifunza mengi kuhusu Mambo mbali mbali ya afya

Photo from What key Of LoveANGALIZO; Mwanaume ukigudua mkeo/mwenza wako ana maambukizi sugu ya PID, Chlamydia au zinaa, ...
21/10/2021

Photo from What key Of Love
ANGALIZO;

Mwanaume ukigudua mkeo/mwenza wako ana maambukizi sugu ya PID, Chlamydia au zinaa, msaidie haraka kupata Tiba na CHUKUA TAHADHARI kwa kutumia Kinga.

Madhara Yake ni makubwa kwa mwanaume;
➡️Husababisha Maambukizi hatari ambayo husababisha maumivu makali na makovu yasiyopona kwa mwanaume
➡️ Huathiri mirija ya Uzazi wa mwanaume
➡️ Maambukizi haya hujionesha ndani ya siku kuanzia 2 nahchka Mua kupona
➡️ Husababisha Ugumba

Kuwa makini. wasiliana nasi kwa msaada zaid

MADHARA WANAYOYAOGOPA SANA KUYAPATA WAGONJWA WA KISUKARI👉Kutumia madawa ya hospitali maisha Yao yote👉Vidonda miguuni na ...
07/10/2021

MADHARA WANAYOYAOGOPA SANA KUYAPATA WAGONJWA WA KISUKARI

👉Kutumia madawa ya hospitali maisha Yao yote
👉Vidonda miguuni na Kukatwa miguu
👉Kuzuiliwa vyakula
👉Pressure na macho kutoona vizuri
👉Kupoeteza uwezo wa tendo la ndoa
👉Ini kufeli, Stroke/Kiharusi na matatizo ya moyo
👉Ganzi mikononi na miguuni na Kifo

NAMNA YA TULIVYOWASAIDIA WENGI KUTIBU CHANGAMOTO YA KISUKARI

✍🏻Kisukari ni Ugonjwa hatari sana ambao hutokana na vyanzo mbalimbali vikiwemo vya kimazingira, mitindo ya maisha na kijenetiki. Ugonjwa huu kwa bahati Nzuri unatibika mbali na kuwa na madhara makubwa na hatari sana.

Tiba yake ni matumizi ya Restolyf, Choleduz Omega-3 Supreme, C24/7 na Liven Alkaline Sugar Free kwa siku 90-120 (UHAKIKA)

FAIDA ZA TIBA ZETU KWA MGONJWA:

👉🏿Hutibu Kisukari level yoyote hata k**a umeharibiwa na vidonda/miguu au vidole vinakaribia kukatwa
👉🏿Huimarisha kiwango cha Sukari Kwenye damu
👉🏿Huimarisha utendaji Kazi wa Kinga ya mwili na kuchakatwa kwa Cholesterols na Anti-oxidants zote Mwilini
👉🏿Huimarisha utendaji Kazi wa Insulin Mwilini (Huna haja ya kupiga sindano za insulin tena)
👉🏿Hutibu na kukinga magonjwa yote yanayosababishwa na madhara ya Kisukari k**a Magonjwa ya Moyo, Presha, Kiharusi/Stroke, Figo na Ini
👉🏿Hutibu matatizo ya macho ambayo husababishwa na Kisukari
👉🏿Hutibu na kukinga Ugonjwa wa figo (Diabetic Neuropathy)
👉🏿Huondoa ganzi zitokanazo na madhara ya Kisukari
👉🏿Hutibu tatizo la Nguvu za Kiume (Kwa Wanaume) kutokana na madhara ya muda mrefu.
👉🏿Zinasaidia kuondoa kila dalili na madhara yasababishwayo na Ugonjwa wa kisukari.

Anza Tiba Yako Leo;

Kwa matatizo ya Uzazi na Nguvu za Kiume

Piga/WhatsApp 0717952824

28/09/2021

Je! Bado Unag'ang'ania Tatizo la Tezi Dume Bila Kujua Madhara Yake? Anza Tiba Salama na Uhakika!Je! Bado Unag'ang'ania Tatizo la Tezi Dume Bila Kujua Madhara Yake? Anza Tiba Salama na Uhakika!

Dalili za Kuvimba kwa Tezi Dume

👉Kukojoa mara kwa mara
👉Kubakiza mkojo kwenye kibofu
👉Kukujoa sana usiku
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kupungukiwa nguvu za kiume
👉UTI ya mara kwa mara
👉Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikano wa mkojo.
👉Figo kujaa maji. Hii sababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea figo (hydronephrosis)
👉Kupoteza fahamu(uremia)

Madhara ya Bph (Kuvimba Tezi Dume)

BPH k**a ilivyo saratani ya tezi dume, inaweza kumletea mgonjwa madhara (complications) kadhaa. Madhara hayo ni pamoja na;

👉Kuingiziwa mrija wa kutoa mkojo (catheter) husababisha maumivu makali (Mara 3 ya maumivu ya uchungu wa uzazi) sana na ni hatari kwa mgonjwa.
👉Mkojo kushindwa kutoka (retention of urine)
👉Mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo
👉Vijiwe kwenye kibofu cha mkojo
👉Uambukizi katika njia ya mkojo (UTI)
👉Madhara katika figo (Figo kushindwa kufanya kazi kabisa/Kidney Failure) au kibofu.
👉Kutokwa kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
👉Kifo
👉Shinikizo la damu
👉Kushindwa kuzalisha mbegu za kiume/ kutoa shahawa kwenye uume (retrograde ej*******on)
👉Nimonia (Pneumonia)
Damu kuganda
👉Madhara ya Upasuaji k**a njia ya Tiba ni;

➡️Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho. Baadaya ya upasuaji mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
➡️Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Incontinence)
➡️75% ya Wanaume kuwa wagumba yaani wasioweza kupata watoto.
➡️Kutokwa na damu katika siku za awali mara baada ya upasuaji kupitia njia ya mkojo.

SULUHISHO LA KUDUMU

Je! Wewe Unataka Kupata Tiba ya Uhakika Dhidi ya Tatizo Hili?

Tumia Tiba za Okoa Mwili kwa siku 90-120 kuondoa Uvimbe wa Tezi Dume na madhara yake Mwili bila kupoteza nguvu za Kiume na ukirudia Hali ya kawaida kufanya tendo la ndoa.

Piga/WhatsApp.0717952824

* , WAJUA PID NI UGONJWA UNAOSUMBUA SANA?*PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke na mara nyingi husababishw...
15/09/2021

* , WAJUA PID NI UGONJWA UNAOSUMBUA SANA?*

PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke na mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a gonorrhea na chlamydia, Ila kuna aina ya maambukizi mengine mbali na magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha maambukizi ya PID.

JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?

✍🏻Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:

➡️K**a una ugonjwa wa zinaa na haujatibiwa kwa muda mrefu.
➡️Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala na wanaume tafauti tofauti)
➡️Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nje.
➡️Kuwa na historia ya PID hapo nyuma
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage).
➡️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
➡️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID

DALILI NA UTAMBUZI WA PID

✍🏻Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni:
👉Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.
👉Kupata maumivu ya mgongo.
👉Mwanamke kupata dischage chafu sehemu za siri. Zilizoambatana na harufu mbaya.
👉Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.
👉Kupata maumivu au kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.
👉Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.
👉Kupata homa
👉Kupata damu nje ya siku zako zako za kawaida kupata damu ya hedhi
👉Wakati fulani kuhisi kichefuchefu k**a mwanamke mjamzito na kutapika.

Kwa tiba wasiliana nasi 0717952824

Vidonda Vya Tumbo Vikiwa Sugu Huambatana Na Magonjwa Yafuatayo;➡️Uvujaji wa damu ndani ya utumbo: Hali hii yaweza kusaba...
13/09/2021

Vidonda Vya Tumbo Vikiwa Sugu Huambatana Na Magonjwa Yafuatayo;

➡️Uvujaji wa damu ndani ya utumbo: Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja. Hali hii ni hatari sana na inahitaji tiba ya dharura.

➡️Vidonda vya tumbo huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura. Aidha, kuenea huko kunaweza pia kuathiri tezi kongosho na kusababisha madhara katika tezi hiyo, ugonjwa unaojulikana k**a pancreatitis.

➡️Vidonda vya Tumbo vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease)

➡️Kuvimba kwa kuta za tumbo pamoja na makovu yanayosababishwa na vidonda hivi huweza kusababisha kuziba kwa njia ya kupitishia chakula kutoka kwenye tumbo (stomach) kwenda sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenum) hali ambayo kitaalamu huitwa gastric outlet obstruction.
Iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).
➡️ Maumivu ya Miguu, Mgongo na Magonjwa ya moyo yanayosababishwa na damu Kuwa na kiwango kikubwa cha gesi na Asidi.

✍🏻Amua Kuanza tiba Ili kunusuru viungo vingine. Fika Ofisini kwetu Makumbusho Complex, Floor ya 2.

MIKOANI NA NCHI JIRANI TUNATUMA

Kwa tiba wasiliana nasi 0717952824

WANAWAKE.Je unasumbuliwa na matatizo ya mfumo Wa uzazi mfano hedhi isiyo na utaratibu mzuri ama hedhi isiyo ya kawaida( ...
11/09/2021

WANAWAKE.

Je unasumbuliwa na matatizo ya mfumo Wa uzazi mfano hedhi isiyo na utaratibu mzuri ama hedhi isiyo ya kawaida( ndefu, fupi, isiyotoka kabisa au hedhi inayoambatana na maumivu makali wakati Wa hedhi) matatizo ya kurekebisha Mfumo Wa homoni ama unasumbuliwa na tatizo la mimba kutoka ama kuharibika mara kwa Mara ama kutokubeba kabisa ujauzito. Ama unasumbuliwa na tatizo la uvimbe katika kizazi, kuziba kwa mirija ya uzazi,fangas,kutokwa uchafu na harufu mbaya ukeni.

WANAUME.

Je unatoa shahawa ambazo hazina uwezo Wa kutungisha ujauzito?

Uume kusimama ukiwa hauna nguvu(mlegevu),Kukosa hamu ya kurudia tendo la ndoa, kushindwa kabisa kufika kileleni, Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa au wakati unapomaliza, Kuchoka sana na kukosa uchangamfu baada ya tendo la ndoa, Kuwahi kufika kileleni, Uume kusinyaa kabisa k**a wa mtoto mdogo.

Matatizo yote haya yanatatulika bila shaka.

Kumbuka k**a tatizo lako limesababishwa na magonjwa k**a kisukari,uzito kupita kiasi, pressure ,shinikizo la juu la damu ni vziuri ukayashughurikia matatizo haya ili kuweza kupata suluhisho hivyo tunaweza kukusaidia pia magonjwa haya na ukarudi kwenye hali yako ya kawaida kabisa ukapona pressure na kisukari kupitia Virutubisho vyetu ambavyo ni natural kabisa na havina chemical.

KUPATA MSAADA JUU LA TATIZO LAKO WASILIANA NASI

* .* 🔨Mayai yanakomaa na kupevuka  vizuri 🔨Mirija ya uzazi haikuvimba wala kuziba au kuwa na kovu🔨 Mji wa mimba au uteru...
03/09/2021

* .*

🔨Mayai yanakomaa na kupevuka vizuri

🔨Mirija ya uzazi haikuvimba wala kuziba au kuwa na kovu

🔨 Mji wa mimba au uterus upo safi na hauna Vivimbe

🔨Kizazi hakina uambukizo wa aina yoyote, fangasi, UTI,(Urinary Track Infection), PID - (Pelvic Inflammatory Disease )

🔨Homoni zake zimebalance vizuri, (hapati maumivu wakati wa bleed au tendo la ndoa, anapta hamu ya tendo vizuri.)

🔨UTE wa Uzazi /OVULATION uwepo katika siku za hatari.

✍️ ```Uwezo wa kupata sifa hizo na kukufanya ubebe mimba upo.
K**a unamfaham mtu mwenye changamoto hii Usisite kuwasiliana nasi;.```0717952824

K**a unachangamoto yoyote karibu tukupe tiba

Nguvu ya Complete Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke ✍🏻Humwezesha mwanamke kupata mimba kwa;➡️ Hutibu na kuzuia Mvurugiko...
01/09/2021

Nguvu ya Complete Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke

✍🏻Humwezesha mwanamke kupata mimba kwa;
➡️ Hutibu na kuzuia Mvurugiko Wa Vichocheo vya Uzazi (Homon Imbalance)
➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa uzazi (Fibroids)
➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai (Ovarian Cyst s)
➡️Huzuia magonjwa ya Mambukizi ya Mfumo wa via vya uzazi (PID)
➡️Tiba ya Maambukizi ya njia ya Mkojo (Urinary Tract Infection, UTI) na Gono (Gonorrhea)
➡️Huondoa Makovu kwenye Mfuko wa uzazi yanayosabishwa na matumizi ya vitanzi au njia za Uzazi wa mpango
➡️Kinga na tiba dhidi ya Ukomo wa hedhi kabla ya wakati (Early Monopause Problems)
➡️Huondoa miwasho na uchafu/Utoko ukeni (Vaginal Discharge/Vaginitis)
➡️Huondoa Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi (Abdominal pain)
➡️Huondoa ukavu ukeni
➡️Huzuia mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)
➡️ Husafisha Kibofu cha Mkojo

✍🏻Matumizi yake ni dozi ya siku 90. Pia unaweza kutumia kwa matumizi KUJIKINGA na Magonjwa tu.

K**a umekosa mtoto, una matatizo ya Uzazi, Ugumba, hedhi, nk. Wasiliana nasi piga

Kuipata bidhaa hii ni rahisi wasiliana nasi0717952824

HAYA NDO MADHARA YA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO. YAEPUKE, ANZA TIBA✍🏻Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda...
29/08/2021

HAYA NDO MADHARA YA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO. YAEPUKE, ANZA TIBA

✍🏻Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yoyote ya ukuta wa tumbo au utumbo wa binadamu. Kwa kawaida tatizo hili huleta maumivu makali sana ya tumbo ingawa si lazima kila maumivu ayapatayo mgonjwa husababishwa na vidonda vya tumbo.

✍🏻Tafiti zimeonesha kwamba 70% hadi 90% ya vidonda vya tumbo husababishwa na aina ya vimelea vya bakteria wajulikanao k**a Helicobacter Pylori. Aidha, matumizi ya baadhi ya dawa za kutuliza maumivu za jamii ya Non Steroid Anti-inflamatory Drugs k**a aspirin au diclofenac huweza kusababisha au kuongeza uwezekano wa kupata ugonjwa huu.

✍🏻Kuna dhana iliyozoeleka kuwa vidonda vya tumbo huathiri zaidi mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo (stomach). Dhana hii si kweli kwani sehemu inayoathiriwa zaidi na tatizo hili ni sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ijulikanayo k**a duodenum.

✍🏻Kuna makundi makuu yafuatayo ya ugonjwa huu: Vidonda vinavyotokea kwenye mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo kitaalamu Gastric ulcers, vidonda vinavyotokea kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (Duodenal Ulcers), vidonda vinavyotokea kwenye koo (Oesophageal ulcers), vidonda vijulikanavyo k**a Merckel’s diverticulum ulcers.

Madhara Yake

1️⃣ KUWEPO KWA MAAMBUKIZI YA KUDUMU.

✍🏻Bakteria wa H.Pyroli husababishwa zaidi na kushindwa kwa mfumo wa kinga mwilini kuwaua na kuondoa kabisa vimelea hawa ndani ya mwili.

✍🏻Matokeo ya kushindwa huku husababisha kuwepo kwa maambukizi ya kudumu katika kuta za tumbo (chronic active gastritis), maambukizi ambayo huharibu mfumo na uwezo wa kuta za tumbo kutunza homoni/ kichocheo aina ya Gastrin, ambacho ni muhimu katika kuhakikisha mazingira ya tumbo yanakuwa na kiwango salama cha tindikali.

✍🏻Kwa kawaida, kazi ya gastrin ni kuchochea utolewaji wa tindikali (gastric acid) kutoka kwenye seli za ukuta wa tumbo zijulikanazo k**a Parietal cells. Iwapo bakteria hawa watashambu

SABABU ZA UGONJWA WA KULIKA/MAUMIVU YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS)👉🏿Upungufu wa hormone za Estrogen hii huwapata sana wenye me...
29/08/2021

SABABU ZA UGONJWA WA KULIKA/MAUMIVU YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS)

👉🏿Upungufu wa hormone za Estrogen hii huwapata sana wenye menopause.
👉🏿Ulevi
👉🏿Upasuaji wa kuondolewa ovaries
👉🏿Magonjwa ya figo
👉🏿(Hyperthyroidism) tatizo la utengenezwaji wa thyroid homoni nyingi kipita kiasi na hivyo kusababisha mwili usifanye kazi vizuri
👉🏿(Anorexia)uzito Mdogo kupita kiasi unao sababishwa na tabia ya kujinyima kula kupita kiasi, kufanya mazoezi kupita kiasi kwa kuogopa kunenepa au kutaka mtu abaki akiwa na kilo chache sana ukilinganisha na urefu wake.
👉🏿Baadhi ya matibabu, madawa yenye kemikali (chemotherapy) k**a steroids, proton pump inhibitor na anti seizure medications
👉🏿Uvutaji wa sigara
👉🏿kutokufanya mazoezi ya viungo vya mwili

MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO HILI

➡️Maumivu makali ya mifupa katika Magoti, uti wa Mgongo, mabegani, kifuani au katika nyonga
➡️Kupinda Mgongo hasa wakati wa uzeeni
➡️Kuvunjika mifupa kwa urahisi

MATIBABU YA OSTEOPOROSIS

👉🏿Kuondoa Maumivu ya mgongo, Maungio (joints), magoti
👉🏿Tiba zinazofanya homoni za estrogens kuwa sawia (kwa wanawake)
👉🏿Tiba zetu zitasaidia kukupatia Vitamin D na madini ya calicium ya kutosha na itakayo weza kuimarisha mifupa.
👉🏿Zitasaidia kupata fatty acid na uteute kwenye joints
👉🏿Kuzuia kusagika kwa mifupa, kulika kwa gegedu na kuisha kwa Cartilage
👉🏿Kuimarisha na kutunza Mifupa Yako

Kupata Tiba, Kwa matatizo ya Uzazi

Karibu kwa tiba Imara na Bora. Piga/WhatsApp 0717952824

Address

Mapumulo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni utajiri ijuwe afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni utajiri ijuwe afya yako:

Share