Embrace Health's paradise

Embrace Health's paradise Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Embrace Health's paradise, Medical spa, Mbeya.

Embrace Health's paradise Ni kampuni inayojihusisha na usambazaji wa bidhaa "tibalishe" mbalimbali zilizochakatwa na kuthibitishwa kwa viwango vya kitaifa na kimataifa.

Namshukuru sana Mungu kipekee kwa hatua nyingine, Santee wazazi kwa mchango wa thamani, marafiki na ndugu ..indeed I am ...
09/06/2024

Namshukuru sana Mungu kipekee kwa hatua nyingine, Santee wazazi kwa mchango wa thamani, marafiki na ndugu
..indeed I am a living Testimony of the faithfulness of the Lord.

Zaburi 116:
Psalms

12 Nimrudishie Bwana nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?

12 What shall I render to the Lord For all His benefits toward me?

[MAFUNZO BURE] Njia Rahisi na Salama Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa na Maungio Bila Upasuaji... Naitwa Eliazari Meikabi...
02/09/2023

[MAFUNZO BURE] Njia Rahisi na Salama Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa na Maungio Bila Upasuaji...
Naitwa Eliazari Meikabi Ninawasaidia wenye changamoto ya Maumivu ya mifupa na maungio kutokomeza bila Upasuaji
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo
Basi Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Mafunzo Maalum BURE, yatakayokuelekeza hatua kwa hatua …
Namna sahihi ya kuondoa tatizo hili bila kufanyiwa upasuaji
K**a unapenda kupata mafunzo haya Bonyeza Neno WhatsApp Chini ya Video Hii kabla group letu Halijajaa
Endapo Utajiunga Sasahivi Utakwenda Kufahamu Hivi Vitu ni pamoja na:-
1).Makosa 6 Unayofanya Yanayochangia Matatizo ya Mifupa na Maungio
2).Mazoezi 10 Bora Yanayosaidia kupunguza maumivu ya Mifupa na Maungio.
3). Aina ya MBOGA yenye kukusaidia Kupunguza kasi ya Maumivu ya mifupa na maungio
4). Umuhimu na Jinsi Ya kutumia Maji moto, Baridi Pamoja Massage Kwa Kupunguza Maumivu Ya Mifupa na Maungio.
LINK YA GROUP
https://chat.whatsapp.com/IMJPaZeDtyWHub2ptaLOwK

[MAFUNZO BURE] Njia Rahisi na Salama Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa na Maungio Bila Upasuaji... Naitwa Eliazari Meikabi...
29/08/2023

[MAFUNZO BURE] Njia Rahisi na Salama Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa na Maungio Bila Upasuaji...
Naitwa Eliazari Meikabi Ninawasaidia wenye changamoto ya Maumivu ya mifupa na maungio kutokomeza bila Upasuaji
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo
Basi Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Mafunzo Maalum BURE, yatakayokuelekeza hatua kwa hatua …
Namna sahihi ya kuondoa tatizo hili bila kufanyiwa upasuaji
K**a unapenda kupata mafunzo haya Bonyeza link ya group la WhatsApp Chini kabla group letu Halijajaa
Endapo Utajiunga Sasahivi Utakwenda Kufahamu Hivi Vitu ni pamoja na:-
1).Makosa 6 Unayofanya  Yanayochangia Matatizo ya Mifupa na Maungio
2).Mazoezi 10 Bora Yanayosaidia kupunguza maumivu ya Mifupa na Maungio.
3). Aina ya MBOGA yenye kukusaidia Kupunguza kasi ya Maumivu ya mifupa na maungio
4). Umuhimu na Jinsi Ya kutumia Maji moto, Baridi Pamoja Massage Kwa Kupunguza Maumivu Ya Mifupa na Maungio.
5).  Njia Rahisi na Salama Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa na Maungio Bila Upasuaji
6). Mambo 10 Unayopaswa Kujua Kuhusu Maumivu Ya Mifupa na Maungio
7). Njia 8 za Kila Siku Zinazookoa Viungo Vyako.
Hivyo basi... Endapo utapenda kupata Mafunzo haya BURE Sasahivi- Bonyeza Link ya WhatsApp hapo chini Chini
P.S. Ujumbe huu hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu haujapotea.
Na... MAFUNZO haya hivi sasa ni BURE!
Ni Mimi mwenye Kujali afya yako!
ELIAZARI G MEIKABI!

LINK YA GROUP
(Bonyeza link hii ya group)

https://chat.whatsapp.com/IMJPaZeDtyWHub2ptaLOwK

☕ GINSENG COFFEENi Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.Kahawa hii ina faida zifwatazo;✅Inasaidia mapafu kufanya  ka...
20/08/2023

☕ GINSENG COFFEE

Ni Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.

Kahawa hii ina faida zifwatazo;

✅Inasaidia mapafu kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia kupunguza uzito
✅Inaongeza kinga za mwili
✅Inaondoa sumu mwilini
✅Inaondoa mafuta mwilini
✅Inaweka sawa kiwango cha sukari mwilini
✅Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia wenye tatizo la nguvu za kiume
✅Inaweka sawa mood na kuondoa stress

Kahawa hii👌🏾box lina packet 20 za kahawa.
Mawasiliano 0757371545

📌OFA MAALUM KWA Watu wa-3 kati ya wa-5 kupata punguzo la Mwezi huu ( 15%)  (Nafasi mbili zimeshachukuliwa)📌Mwisho wa OFA...
26/07/2023

📌OFA MAALUM KWA Watu wa-3 kati ya wa-5 kupata punguzo la Mwezi huu ( 15%)
(Nafasi mbili zimeshachukuliwa)📌
Mwisho wa OFA ni Ijumaa 28/7/2023

*JE UNASUMBULIWA NA MATATIZO YA MIFUPA IKIWEPO MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI* (OSTEOPOROSIS)

Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).

Bacteria hao huanza kuozesha mfupa ba misuli inayozunguka mfupa na Mara nyingi mgonjwa hulalamika MAUMIVU makali ya miguu ama MAGOTI yanauma na Mda mwingine hupelekea mfupa kupasuka au kuvunjika au mfupa na tishu zinazoshikilia mfupa kupata majipu na k**a ukichelewa tiba kuna uwezekano mkubwa
wa kupata ulemavu.

Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea ktk uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara),MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.

SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)

1. Ulevi kupita kiasi

2.magonjwa ya figo.

3.upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (MENOPAUSE) kikomo cha hedhi

4.upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake

5.ANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi

MAWASILIANO 0757371545

Oh I am breathless!It is ma birthday 🎂🎂Thank you God for the overwhelming blessings loving parents amazing friends and f...
08/06/2023

Oh I am breathless!

It is ma birthday 🎂🎂

Thank you God for the overwhelming blessings loving parents amazing friends and for everything you bestow unto us 🙏🏽

Ukweli ni kwamba hakuna mtu anapenda kuongelea kuhusu bawasili na ndio maana unaitwa ugonjwa wa aibu. Bawasili ni kuvimb...
05/06/2023

Ukweli ni kwamba hakuna mtu anapenda kuongelea kuhusu bawasili na ndio maana unaitwa ugonjwa wa aibu. Bawasili ni kuvimba tu kwa mishipa midogo ya damu kwenye eneo lako la mkundu.
Nyama hizi zaweza kuwa ndogo sana k**a punje ya haragwe au zikawa kubwa zaidi k**a tonge ugali na mtu mzima. Bawasili kwa mjamzito haina tofauti na ile ya kawaida.

Je bawasili kwa Mjamzito ni Tofauti?
Kuongezeka kwa msukumo wa damu kwenye eneo la nyonga na mgandamizo unaletwa na kiumbe cha tumboni husababisha mishipa midogo ya damu kwenye mkundu kuanza kuvimba.

🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉Kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉Uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉Choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉 Kadri unavyozidi kukaa bila kupata choo kuepuka maumivu ndivyo choo kinavyokuwa kigumu zaidi.

🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉Upungufu wa dam mwilini
👉Kinyesi kutoka bila kujitambua
👉Msongo wa mawazo ambao unaweza kipelekea kupungua hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume
👉Kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi haswa za kukaa kutokana na maumivu
👉Kupata tatizo la kisaikolojia

🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉Kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi (roughage)
👉Kunywa maji mengi lita 4 paka 6 kwa siku.
👉Acha kufanya tendo kinyume na maumbile.
👉Punguza kuchuchumaa kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja kubwa.

TIBA YA BAWASILI;
Tumekuandalia Tiba lishe zilizothibitishwa na Mamlaka mbalimbali zenye uwezo wa kuondoa Bawasili kabisa na kupona kabisa hivyo Utaendelea na Shughuli za kiuchumi kwa Uhuru na wepesi zaidi

Kwa Mawasiliano 0757371545

LEO TUFAHAMU SABABU ZA MAUMIVU YA MIFUPA...Zipo sababu nyingi sana zinazopelekea maumivu ya viungo/mifupa, k**a vile:-•A...
22/05/2023

LEO TUFAHAMU SABABU ZA MAUMIVU YA MIFUPA...

Zipo sababu nyingi sana zinazopelekea maumivu ya viungo/mifupa, k**a vile:-

•Ajali

*•Upungufu wa madini ya chuma mwilini k**a CALCIUM, MAGNESIUM, ZINC, POTASSIUM n.k*

•Magonjwa K**a KISUKARI, PRESHA na magonjwa ya uzazi.

*•Kuisha kwa Gegedu (Uteute) katika maungio ya mifupa na kusababisha mifupa kusagika, k**a magoti, nyonga & Kulika kwa PINGILI ZA MGONGO."*

•Uzito mkubwa (unene)
*•Kuongezeka kwa acids k**a URIC ACID ambazo husambaa katika mwili na kuathiri mifupa.*

*Karibu kwa msaada na ushauri kwa MAWASILANO ZAIDI 0757371545*

29/03/2023
DALILI ZA KANSA.Hizi ni dalili tu na sio lazima ziwe ni ugonjwa wa kansa  lakini kikubwa ni kwenda hospitalini kwa vile ...
27/03/2023

DALILI ZA KANSA.

Hizi ni dalili tu na sio lazima ziwe ni ugonjwa wa kansa lakini kikubwa ni kwenda hospitalini kwa vile uwezekano upo.

Hizi ni pamoja na :

1:KIKOHOZI/ MABADILIKO YA SAUTI
Kukohoa muda mrefu na pia hali hii ikaifanya sauti kuwa nzito, nyepesi au kukwaruza na hata kukwama si ya kupuuzwa.
Japo kikohozi wengi hakiwahofishi, kukohoa kwa muda mrefu na kupata makohozi yenye damu ni dhahiri jambo la kuhofiwa.
"Vikohozi vingi si kansa," anasema Therese Bartholomew Bevers, dakati na profesa wa kuzuia saratani katika taasisi ya Underson Cancer Center. "Lakini kwa hakika kukohoa makohozi yenye damu mara kwa mara kunahitaji kuchunguzwa na kuangaliwa k**a kuna saratani ya mapafu inayojitokeza.
Ni lazima bingwa achunguze mapafu kwa xray au kwa CT scan kufahamu hatari ama uwezekano wa saratani unaohofiwa.

2. MATATIZO YA KUPATA CHOO
Iwapo tumbo lako litakuwa na mabadiliko kwenye utaratibu wa kupata haja usizubae tafuta tiba. Inaweza kuwa kuhara mara kwa mara, choo kupungua au kuwa na choo kidogo au kukosa haja kubwa inaweza kuwa ni tatizo kwenye utumbo mpana, anasema Bartholomew Bevers.
"Inawezekana kuna uvimbe unaozuia haja kupita kwenye utumbo na kusafiri ili kutoka nje. Huu ndiyo wakati wa kufanyiwa kipimo kinachoitwa colonoscopy kuona k**a kuna uvimbe tumboni.”

3:MABADILIKO KWENYE HAJA NDOGO
"K**a kuna damu kwenye mkojo inawezekana ni saratani ya kibofu ama ya figo japo katika hali ya kawaida wengi hudhani ni tatizo la maambukizi ya njia ya mkojo UTI” Bartholomew Bevers, anaongeza.

4.MAUMIVU YA MUDA MREFU
"Si maumivu yote ni saratani lakini yale ya muda mrefu na ya mara kwa mara tena eneo moja ni lazima kuyachunguza “,Bartholomew Bevers. Mathalani ukiwa na maumivu ya mara kwa mara kichwani si kwamba una saratani ya kichwa lakini kuna jambo la kuangaliwa.
Aidha, maumivu makala kifuani pengine ni dalili ya saratani ya mapafu, pia maumivu ya mara kwa mara kwenye tumbo chini ya kitovu yaweza kuashiria saratani ya kifuko cha mayai.

5:MABADILIKO YA VIVIMBE
K**a una kivimbe au kipele usoni au popote kwenye ngozi lakini ghafla kinabadilika na kuanza kukua na kubadilika usisite kukitafutia tiba. Ni vyema kumpelekea mtaalamu wa ngozi vivimbe hivyo.

Address

Mbeya

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Embrace Health's paradise posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category