Luwis diomed

Luwis diomed Unataka kujua BIF SUMA nini kama ndio call or WhatsApp 0759191274

Bf Suma ni
B bright
F future
S superior
U unique
M manufacturer of
A America
Kampuni ya bfsuma
Ilianza rasmi Los Angeles Amerika mwaka 2006 ikiwa imejikita Sana na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za afya. Makao makuu ya kampuni ya bfsuma yako nchini America Los Angeles
Baada ya kuanzishwa ilianzisha kuzalisha Aina 7 za bidhaa za virutubisho ambazo ni
1.bidhaa za kuongeza kinga
2.bidhaa za mi

fupa na viungo
3.bidhaa za kuzuia mikunyanzi ya ngozi(kutozeeka kwa ngozi)
4.bidhaa za nguvu za kiume na shida za uzazi kwa wanawake
5.bidhaa za magonjwa ya moyo na mishipa
6.bidhaa binafsi Kama sabuni dawa ya mswaki n.k
7.bidhaa za kupunguza unene

Lakini kampuni ya bfsuma imethibitishwa na kupatiwa vyeti mbalimbali vya afya
Mfano FDA, halal, GMPs n.k
Kwa Mara ya kwanza kampuni ya bfsuma iliingi Africa mwaka 2010 ukaingia
2011 Kenya
2012 Uganda
2013 Nigeria
2014 Tanzania
Ikaenea nchi mbalimbali Africa Kama vile Zambia, Congo, Botswana, Africa kusini,Ghana Namibia n.k
Kampuni ya bfsuma inafanya biashara katika mfumo wa mtandao ambapo unajiunga unaanza kushirikisha marafiki wajiunge kwenye mtandao wako kadri wanavyojiunga na kukuza mtandao wako ndio unavyozidi kufanikiwa
Kujiunga na kampuni ya bfsuma kwa Tanzania ni tsh 46,000 baada ya kujiunga unapewa mfuko wenye:
-kadi ya uanachama
-kitabu
-pin ya kampuni
-pakiti 10 za kahawa

Baada ya kujiunga utaendelea kupanda cheo kutoka star 1,star 2,star 3,star 4,star 5,star 6 star 7,senior leader,diamond leader,senior diamond leader,crown leader na senior crown leader
Lakini hii itategemea a na bidii yako na team unayoifanya nayo kazi chini yako

Kuna faida 11 baada ya kujiunga na bfsuma
1.faida za reja reja mfano ukiwa mwanachama unanunua bidhaa Kama antidirr kwa 11500 wewe unaweza kuiuza kwa 21500 hiyo 10,000 ya ziada ni faida yako unapata papo kwa papo
2.faida kutoka kwenye mtandao wako mfano chochote team wanachofanya unapata % kutoka kwenye team yako
3.malipo unayopata kwa kila mwanachama unayemuingiza kwenye kampuni
4.malipo unayopata kutokana na kiinua viongozi wengine wafike cheo Cha 7 star
5.malipo unayopewa kwa cheo Cha 4 star na 7 star
6.malipo unayoyapata dunia nzima toka kwenye gawio la dunia
7.zawadi za safari kila mwaka
8.zawadi za Gari kila mwaka
9.zawadi za nyumba kila baada ya miaka 5 unapofika cheo Cha crown leader
10.bima ya afya yenye thamani ya tsh 40 elfu inayakuruhusu kutibiwa popote duniami(hii kwa wale wote wamefika senior diamond leader)
11.malipo unayoyapata kutoka kwenye kampuni kwa kuanzisha duka
12.kampuni inakusaidia kufanya Kazi kwa urahisi mfano. Kama kukupa business cards ,duka la mtandaoni ,semina mbalimbali zitakazo kuongezea ufanisi wa Kazi
13.kampuni inakupa kibali cha kufungua kampuni yako ya afya ndani ya kampuni
Wasiliana Nami distributer wa kampuni ya BF SUMA kwa taarifa zaid na kwa maelekezo zaidi kuusu kujiunga- 0759191274 au 0621091274
JIUNGE SASA UFAIDIKE!!

09/04/2023

Watch, follow, and discover more trending content.

21/03/2023

karibuni sana kwa mawasiliano piga simu number 0759835744/0759191274

MADHARA YA UTOAJI MIMBA 1)utoaji mimba husababisha maambukizi kwenye mfumo wa uzazi,2)utoaji mimba masalia ya sehemu ya ...
20/03/2023

MADHARA YA UTOAJI MIMBA

1)utoaji mimba husababisha maambukizi kwenye mfumo wa uzazi,

2)utoaji mimba masalia ya sehemu ya mwili ya mtoto yanaweza baki kwenye mfuko wa uzazi na kuoza hivyo kuleta madhara
3)utoaji mimba usio salama hupelekea mwanamke kuwa tasa
4)damu kuvuja mara kwa mara

5)damu inaweza kuganda kwenye kizazi

6)kizazi kinaweza chanwa wakati wa utoaji mimba na kusababisha makovu

N.k

Suluhisho la uhakika linapatikana
0759835744

20/03/2023

Je unaelewa sababu ya vifo vingi vya Sasa husababishwa na itilafu ya mishipa inayo saplai damu kutoka kwenye Moyo kwenda mishipa midogo na mikubwa ? Dalili chache ni hizi hapa, mapigo ya Moyo kubadilika mara kwa mara,kichwa kuuma mara kwa mara kizunguzungu ,miguuu kufa ganzi,baathi mishipa kukaza au...

17/03/2023

Mawasiliano pg 0759835744 Whatsapp 0759191274

15/03/2023

Je unapata maumivu makali na unatumia dawa za kutuliza maumivu NJOO tukuludishie vicheko vyako vya awali number 0759835744/0759191274

Kukaa kwa muda mrefu, kusimama kwa muda mrefu na kuendesha gari kwa muda mrefu* ni chimbuko la matatizo mbalimbali katik...
22/12/2022

Kukaa kwa muda mrefu, kusimama kwa muda mrefu na kuendesha gari kwa muda mrefu*

ni chimbuko la matatizo mbalimbali katika mwili. ⁣

Matatizo hayo ni k**a vile *Maumivu makali ya mgongo, uchovu kupita kiasi na maumivu ya miguu.*⁣

Matatizo hayo yasipopatiwa suluhisho yanaweza kupelekea athari zaidi k**a vile;⁣

▪Kushindwa kushiriki tendo la ndoa, kutokana na maumivu makali ya mgongo⁣

▪Msongo wa mawazo⁣

▪Matatizo ya mfumo wa fahamu⁣

Njoo upate suruhisho la kudumu kwa kutumia dawa lishe

WASILIANA NASI
📞| 0759191274

WHATSAPP 0621091274

⁣KARIBU TUKUHUDUMIE

20/12/2022

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Luwis diomed posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Luwis diomed:

Share