Afya Kwanza tiba kwa magonjwa SUGU

Afya Kwanza  tiba kwa magonjwa SUGU Pata TIBA SAHIHI za asili kwa magonjwa SUGU na mengne meengi ushauli bure no0769662776

12/10/2023

HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI

:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.

*VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
👉Utoaji wa mimba
👉Uwepo wa sumu mwilini.
👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
👉uzito mkubwa
👉Msongo wa mawazo.
👉Kutofanya mazoezi.
👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
👉Kukoma kwa hedhi.

*Dalili za kuvurugika kwa homoni*
👉Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
👉Kutoshika mimba.
👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
👉Kuongezeka uzito.
👉Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
👉Kupoteza kumbukumbu.
👉Hasira za Mara kwa Mara.
👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
👉Uke kuwa mkavu.
👉kutoka jasho jingi usiku.
👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.

*Madhara ya kuvurugika kwa homoni*
👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
👉Kuwa mgumba.
👉U.t.I Mara kwa Mara.
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
👉saratani.

*Hormone imbalance inatibika ondoa shaka,,

jali afya yako!

13/03/2023
26/07/2022

IDADI YA VIFO AJALI YA BASI LA SHULE YA MSINGI KING DAVID YAFIKIA 13

Idadi ya vifo katika ajali ya basi la Shule ya Msingi King David iliyotokea leo mkoani Mtwara imeongezeka na kufika 13.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema majeruhi 15 tayari wamehamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya St. Benedict Ndanda, iliyopo wilayani Masasi-Mtwara kwa matibabu zaidi

https://chat.whatsapp.com/KTXgKpSHln21JkQ7shkvkJFURSA      FURSA    FURSA           🇹🇿BFSUMA TZ🇹🇿.   BFSUMA ni Kampuni y...
17/07/2022

https://chat.whatsapp.com/KTXgKpSHln21JkQ7shkvkJ

FURSA FURSA FURSA

🇹🇿BFSUMA TZ🇹🇿.

BFSUMA ni Kampuni ya kimataifa Toka MAREKANI inayo jihusisha na Uzalishaji na Usambazaji wa VIRUTUBISHALISHE

•••Kwa MTAJI MDOGO KABISA WA ELFU AROBAINI NA SITA(Tsh 46,000/=)

*UTAFANYA BIASHARA yenye Faida Kubwa

++Utofauti wa BFSUMA na KAMPUNI zinginezo
1)UBORA WA BIDHAA,bidhaa zetu ni bora kwa kuwa na matokeo mazuri kwa kila mtumiaji

2)BEI YA BIDHAA,tuna bidhaa nyingi za Bei ya chini Ambazo watu Wengi wana Mudu hivyo itakurahisishia kufanya biashara kwa watu wa matabaka/level zote
Eg.tuna bidhaa hadi za ELFU NNE MIA SITA(4,600/=)

3)NAMNA YA KUANZA BIASHARA,ni rahisi kuanza biashara na BFSUMA kwani MTAJI unaohitajika ni elfu arobaini na Sita tu (Tsh 46,000/=)Ambayo watu Wengi wana mudu...BFSUMA hatuna kuanza biashara kwa PACKAGE za kupangiwa uchukue bidhaa ambazo huna hata mteja wa hizo bidhaa ...Utachukua bidhaa ambayo una mteja anaihitaji au unayohitaji kuitumia
* Tunaamini kumpatia mtu package ya LAKI 8,LAKI 5,laki3 nk Ambazo Magavi /wakala hana mteja wa hizo bidhaa ni kumrudisha nyuma KIUCHUMI kwani utakua umezuia MZUNGUKO wa hiyo pesa

4)MPANGO MASOKO BORA NA UNAOTEKELEZEKA,mpango masoko wa BFSUMA ni rahisi kwa kila Mwenye kujituma katika kufanya kazi hivyo huwezesha WAGAVI/MAWAKALA Kupata BONUS KILA MWEZI,ku QUALIFY SAFARI NA MAGARI

5)BIZAA AINA NYINGI NA ZINAZALISHWA NA KAMPUNI YENYEWE(BFSUMA),Kampuni ya BFSUMA ina bidhaa nyingi zaidi ya AINA 40 Zinazozalishwa na kampuni yenyewe hivyo huzungatia hitaji sahihi la watumiaji kwa wakati husika na kuendelea kuingiza AINA zingine kila wakati kuendena na mahitaji ya Soko,hij pia hufanya KAMPUNI KUWA NA UHAKIKA WA KUWEPO KWA MIAKA MINGI BILA KUYUMBA KWANI WAO WENYEWE NDIO WAZALISHAJI WA BIDHAA lakini KAMPUNI ZINGINEZO Hazizalishi bidhaa bali huingia Mikata na makampuni yanayozalisha bishaa hii huweza pelekea Biashara kukatishwa wakati wowote kwa kua mzaliahaji na msambazaji ni watu wawili p

WhatsApp Group Invite

MenuBawasiriBawasiri (au Kikundu au Futuri au Puru au Mjiko au Hemoroidi kutoka Kiingereza​hemorrhoid​) ni hali ya kutu...
14/06/2022



Menu

Bawasiri

Bawasiri (au Kikundu au Futuri au Puru au Mjiko au Hemoroidi kutoka Kiingereza​hemorrhoid​) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa mkundu ambayo husaidia kudhibiti kinyesi.[1][2]Katika hali yake ya fiziolojia, hutenda kazi k**a mto uliotengenezwa kwa njia ya vena na tishu unganishi. Huwa patholojiaikiwa hufungana [3] kwa kuvimba au kupata inflamesheni.

HemorrhoidsMwainisho na taarifa za nje



Mchoro kuonyesha anatomia ya mkundu wenye bawasiri ya ndani na njeICD-10I84.ICD-9455DiseasesDB10036MedlinePlus000292eMedicinemed/2821emerg/242MeSHD006484

Dalili za hemoroidi hulingana na mahali. Hemoroidi za ndani kwa kawaida hujitokeza kwa kinyesi kilicho na damu bila maumivu, ilhali hemoroidi za nje zinaweza kutoa dalili chache au ikiwa zina thrombasi maumivu na uvimbe katika sehemu ya mkundu. Watu wengi hurejelea kimakosa dalili yoyote inayotokea karibu na sehemu ya rektamu ya mkundu kuwa "hemoroidi" na visababishi hatari vya dalili vinapaswa kutupiliwa mbali. Huku kisababishi halisi kikisalia kutojulikana, baadhi ya vipengele vinavyoongeza shinikizo la fumbatio la ndani, hasa kufungika kwa choo, vinaaminika kuchangia ukuaji wa hemoroidi.

Matibabu ya mwanzo ya maradhi madogo hadi yale ya kawaida huwa na ongezeko la kula chakula kilicho na faiba, vinywaji ili kudumisha haidresheni, dawa za kutibu inflamesheni husaidia kwa maumivu, na mapumziko. Baadhi ya taratibu ndogo zinaweza kutekelezwa ikiwa dalili ni kali au hazistawi kwa mwelekeo wa kudhibiti usiobadilika. Upasuajihutengewa wanaokosa kuonyesha mabadiliko. Hadi nusu ya idadi ya watu wanaweza kuwa na matatizo na hemoroidi kwa wakati fulani maishani mwao. Matokeo kwa kawaida huwa mema.

Dalili na ishara



Hemoroidi ya nje ionekanavyo karibu na mkundu wa binadamu

Hemoroidi za ndani na za nje zinaweza kujitokeza vitofauti; hata hivyo, watu wengi wanaweza kuwa na zote mbili.[2] Kuvuja damu kunakotosha kusababisha anemiani nadra,[4] na uvujaji wa damu unaohatarisha maisha ni nadra.[

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE MEPESI.Bawasiri ni nini-Bawasiri ni Ugonjwa unaotok...
20/05/2022

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE MEPESI.

Bawasiri ni nini
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk
▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu .

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.?kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.?kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.?kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.?kupata kinyesi chenye damu
5.?kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.? Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

▶️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
▶️ Ujauzito
▶️ Unywaji pombe
▶️ Kukaa sana sehemu ngumu
▶️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).
▶️ Kujisaidia Choo Kigumu. Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
▶️ Kula sana nyama nyekundu
▶️ Presha ya kupanda
▶️ Kula sana pilipili
▶️ Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)

AINA ZA BAWASIRI⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵⤵⤵⤵

1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵

HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuru

11/04/2022

FURSA FURSA FURSA

🇹🇿BFSUMA TZ🇹🇿.

BFSUMA ni Kampuni ya kimataifa Toka MAREKANI inayo jihusisha na Uzalishaji na Usambazaji wa VIRUTUBISHALISHE

•••Kwa MTAJI MDOGO KABISA WA ELFU AROBAINI NA SITA(Tsh 46,000/=)

***UTAFANYA BIASHARA yenye Faida Kubwa

++Utofauti wa BFSUMA na KAMPUNI zinginezo
1)UBORA WA BIDHAA,bidhaa zetu ni bora kwa kuwa na matokeo mazuri kwa kila mtumiaji

2)BEI YA BIDHAA,tuna bidhaa nyingi za Bei ya chini Ambazo watu Wengi wana Mudu hivyo itakurahisishia kufanya biashara kwa watu wa matabaka/level zote
Eg.tuna bidhaa hadi za ELFU NNE MIA SITA(4,600/=)

3)NAMNA YA KUANZA BIASHARA,ni rahisi kuanza biashara na BFSUMA kwani MTAJI unaohitajika ni elfu arobaini na Sita tu (Tsh 46,000/=)Ambayo watu Wengi wana mudu...BFSUMA hatuna kuanza biashara kwa PACKAGE za kupangiwa uchukue bidhaa ambazo huna hata mteja wa hizo bidhaa ...Utachukua bidhaa ambayo una mteja anaihitaji au unayohitaji kuitumia
*** Tunaamini kumpatia mtu package ya LAKI 8,LAKI 5,laki3 nk Ambazo Magavi /wakala hana mteja wa hizo bidhaa ni kumrudisha nyuma KIUCHUMI kwani utakua umezuia MZUNGUKO wa hiyo pesa

4)MPANGO MASOKO BORA NA UNAOTEKELEZEKA,mpango masoko wa BFSUMA ni rahisi kwa kila Mwenye kujituma katika kufanya kazi hivyo huwezesha WAGAVI/MAWAKALA Kupata BONUS KILA MWEZI,ku QUALIFY SAFARI NA MAGARI

5)BIZAA AINA NYINGI NA ZINAZALISHWA NA KAMPUNI YENYEWE(BFSUMA),Kampuni ya BFSUMA ina bidhaa nyingi zaidi ya AINA 40 Zinazozalishwa na kampuni yenyewe hivyo huzungatia hitaji sahihi la watumiaji kwa wakati husika na kuendelea kuingiza AINA zingine kila wakati kuendena na mahitaji ya Soko,hij pia hufanya KAMPUNI KUWA NA UHAKIKA WA KUWEPO KWA MIAKA MINGI BILA KUYUMBA KWANI WAO WENYEWE NDIO WAZALISHAJI WA BIDHAA lakini KAMPUNI ZINGINEZO Hazizalishi bidhaa bali huingia Mikata na makampuni yanayozalisha bishaa hii huweza pelekea Biashara kukatishwa wakati wowote kwa kua mzaliahaji na msambazaji ni watu wawili tofauti

⛔TATIZO LA KISUKARI, HAYA NI MADHARA YA KUSHINDWA KUTIBU KISUKARI KWA WAKATI..!Yafuatayo ni madhara ambayo mgonjwa wa ki...
06/04/2022

⛔TATIZO LA KISUKARI,

HAYA NI MADHARA YA KUSHINDWA KUTIBU KISUKARI KWA WAKATI..!

Yafuatayo ni madhara ambayo mgonjwa wa kisukari anaweza kuyapata endapo atachelewa ama kushindwa kupata tiba ya kisukari.

⛔Matatizo ya macho.
Kushindwa kutibu kisukari kwa wakati kunaweza sababisha matatizo makubwa ya macho ambayo huweza kupelekea mtu kushindwa kuona kabisa....matatizo hayo ni pamoja na mtoto wa jicho, Glaucoma na mengineyo.

⛔Matatizo ya miguu.
Matatizo ya mikuu ambayo huweza sababisha miguu kushidwa kufanya kazi hadi kukatwa. mfano neuropathia, Donda ndugu na kulika kwa nyayo za miguu na vidole.

⛔Matatizo ya ngozi.
Watu walio na kisukari huwa katika hatari zaidi ya kushambuliwa na magonjwa mbalimbali ya ngozi ikiwemo yale ya vimelea vya kuvu.

⛔Mataizo ya moyo.
Matatizo ya moyo k**a kupungua kwa damu inayofika kwenye moyo, uvimbe katika moyo, kiharusi, Shinikizo la damu na mengine mengi.

⛔Kudhoofu kwa afya ya akili.
Kisukari kinaweza kusababisha matatizo mbalimbali ambayo huathiri akili ya mtu, matatizo hayo ni pamoja na wasiwasi, huzuni, woga na upweke.

⛔Kupungua kwa kinga za mwili.
Mgonjwa wa kisukari hukabiriwa na kudhoofu kwa kinga za mwili jambo ambalo humfanya kuwa rahisi kushambuliwa na maradhi.

⛔Uhanisi.
Kisukari huweza kusababisha mwanaume kushindwa kisimamisha uume wake na kupoteza uwezo na nguvu ya kujamiana.

⛔Neuropathia.
Ni matatizo yanayoweza kuukumba mfumo wa neva na kusababisha kupoteza uwezo wa kuhisi na kuitikia miguso. (Ganzi)

⛔Kuchelewa kupona kwa vidonda na majeraha.

⛔ZINGATIA,
Ni vyema kuonana na wataalamu wa afya na kuzingatia matibabu kadri itakavyopendekezwa na daktari wako.

WhatsApp 0769662776

09/03/2022

"JE' UNAFAHAMU NINI KUHUSU KIHARUSI / STROKE" ?

"- Stroke Ni Nini?

Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua sana hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubisho muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa.

Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo hilo ikiziba au mishipa ndani ya ubongo katika eneo hilo kupasuka.

Seli za ubongo za eneo hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu au misuli. Kiharusi ni ugonjwa wa dharura hivyo tiba inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo. Kimsingi kiharusi huweza kumpata mtu ye yote wakati wo wote.Kuna aina tatu za stroke; ischemic, hemorrhagic na TIA.

Kundi la watu lililo kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu ni lile la watu wenye miili mikubwa, umri zaidi ya miaka 55, wenye historia ya ugonjwa huu kwenye familia zao, ambao hawafanyi mazoezi , wanaokunywa sana pombe au kutumia madawa haramu.

Kiharusi Husababishwa Na Nini?

Kila moja ya aina za stroke hapo juu inasababishwa na vitu tofauti.Ischemic strokes, ndiyo aina ya stroke inayowaathiri watu wengi zaidi, asilimia 85 ya wagonjwa wa stroke hupatwa na aina hii ya stroke.

Aina hii ya stroke husababishwa na kuziba kwa arteri (mishipa ya kusafirisha damu safi) zinazoelekea kwenye ubongo au kusinyaa kwa mishipa hiyo hivyo kusababisha hali inayoitwa ischemia (upungufu mkubwa wa mtiririko wa damu).Kuziba kwa mishipa ya damu hutokea baada ya damu kuganda ndani ya arteri zinazoeleka kwenye ubongo au katika maeneo ya mbali zaidi na kusukumwa kwenye mishipa yenye kipenyo kidogo ndani ya ubongo.

Mishipa hii inaweza kuzibwa pia na mafuta yaliyoganda ndani ya arteri (plaque).Hemorrhagic strokes, husababishwa na arteri ndani ya ubongo kuvuja damu au kupasuka. Damu hii iliyovuja huleta mgandamizo kwenye seli za ubongo na kuziharibu.

Kupasuka kwa mishipa

20/01/2022

Kampuni ya BF Suma inatangaza fursa kwa anaehitaji kuwa balozi wake katika sehem yoyote tz kujiunga NI 46000 acha kulalamika kuhusu ajira badili mtazamo na badili maisha na BF suma

22/12/2021

Mtaka Cha uvunguni sharti ainame

17/12/2021

“Watu wataona mabadiliko katika mtazamo wako kwao, lakini hawataona tabia yao iliyokufanya ubadilike”

Lenn Cross mtaalam wa mahusiano ana eleza kuwa. Katika utafiti wake wa miaka 10,aligundua kuwa,wenzi walio wengi wanakua na mabailiko ya kitabia baada ya miaka 2 ya kuishi pamoja,wengine mapema zaidi ya miaka 2. Mahusiano mengi yanaharibiwa na vitajibia vidogovidogo vinavyotunzwa bila kujadiliwa kwa uzuri. Mkusanyiko huu unajenga badiliko la tabia siku hadi siku. Wenzi hujikuta wana shughulika na badiliko jipya la tabia badala ya chanzo cha badiliko. Baadhi wana uwezo wa kujadili chanzo lakini hawafiki mwisho maana wakati wa mjadala wana tafuta nani mshindi badala ya suluhisho. Hili huleta ushindani na kujitetea,athari yake ni kwamba mjadala mpya unapofikiriwa kila mmoja ana kumbuka jinsi ambavyo mjadala uliopita ulileta shida zaidi.
NINI LA KUFANYA?

Tambua haya :-

1. Hakuna badiliko la tabia bila sababu
2. Angalia chanzo cha badiliko
3. Kila mmoja awe mkweli kwa mwenzako anavyojisikia kuhusu mwenzake.
4. Angalieni maeneo muhimu ya kubadilisha katika ndoa yenu
5. Kubali “personality” yaani tabia za kimaumbile za mtu ambazo sio dhambi,hii itakusaidia kuondoa msongo.
6. Badiliko kuelekea tabia nzuri haitokei usiku mmoja,mpe mwenzako support anapoelekea kubadilika.
7. Wote wawili muwe na dhamira ya dhati ya kurekebisha ndoa yenu. Upande mmoja ukiwa na nia mwingine hauna ni kazi saaana.
8. Usitamke maneno k**a,HII NDOA IMENISHINDA,NAONA HUBADILIKI,NINAISHI BORA SIKU ZIENDE! Maneno yana athari kubwa kwa msikiaji na pia yanaweza kutengeneza uhalisia wa unacho kiri.

08/12/2021

Address

Mapumulo

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255769662776

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza tiba kwa magonjwa SUGU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Kwanza tiba kwa magonjwa SUGU:

Share