
11/02/2024
UHUSIANO KATI YA BAWASIRI NA NGUVU ZA KIUME
Utafiti unasema kati ya wanaume 10 wanaume 7 wana upungufu wa nguvu za kiume.Upungufu wa nguvu za kiume unajumuisha matatizo k**a:
1)Mwanaume kushindwa kutungisha mimba
2)Uume kushindwa kusimama vizuri
3)kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4) kuwahi kumwaga mapema
Tatizo hili huchangiwa na sababu mbalimbali k**a vile kujichua,lishe mbovu na magonjwa yanayohusiana k**a vile presha na kisukari
Kwa Upande wa bawasiri maana yake mishipa iliyopo sehemu ya haja kubwa yaani pelvic muscles huathirika kwa kiasi kikubwa ambapo mishipa hii pia huhusika katika uume kusimama vizuri
Hivyo bawasiri ni kichocheo kimojawapo cha nguvu za kiume.Kwa bahati nzuri tatizo hili hutibika kabisa na mwanaume akarudi kwenye hali yake k**a ya mwanzoni