Onike Health Solutions

Onike Health Solutions Tunajishuhulisha na ushauri pamoja na matibabu ya changamoto mbalimbali za afya.

04/03/2023

KWA KAWAIDA MWANAMKE UKE WAKE UNATAKIWA KUWA NA HALI YA UNYEVUNYEVU KUTOKANA NA UTE MWEUPE UNAOZALISHWA ILI KUSAIDIA UKE KUWA SAW. HOMONE INAYOJULIKANA KAM ESTROGEN NDYO INAHUSIKA NA UZALISHAJ WA UTE UTE HUO NA KUSAIDIA KUTA ZA UKE KUVUTIKA( ELASTIC) PIA UTE HUU HUSAIDIA KUWEKA KAZIN RAFIKI KWA MBEGU ZA KIUME KUPITA MPKA ZIMAPOFIKA KWENYE MAYAI YA K**E KUSHUKA KWA KIWANGO CHA UTENGENEZEAJ WA HII HOMONE (ESTROGEN) NDIO CHANZO KIKUBWA CHA KUFANYA UTE KUPUNGUA NA UKE KUWA MKAVU KIWANGO CHA HOMONE KINAWEZA KUSHUKA UZALISHAJ WAKE KUTOKANA NA SHIDA YA HOMON IMBALANCE DALILI ZAKE 1 KUPATA MAUMIVU WAKAT WA KUSHIRIK TENDO LA NDOA 2 KUHISI KICHEFU CHEFU 3 UCHOVU ULIOPITILIZA 4 KUOTA NYWELE SEHEM MBALIMBAL ZA MWILI 5 UZITO ULIOPITILIZA 6 KUWA NA HASIRA ZA HARAKA MADHARA 1 KUTOKUW NA UWEZO WA KUPATA UJAUZITO 2 KUTOKUFURAHIA TENDO LA NDOA 3 KUKOSA KUJIAMIN MBELE YA MWENZA WAKO Call/WhatsApp 0658696820

UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na ...
04/03/2023

UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.

CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;

Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)

Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)

Kuwa na mawazo mengi

Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi

Kunywa pombe na vinywaji vikali

Uvutaji wa sigara

Kuto kula mlo kwa mpangilio

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tuna dawa ya kutibu Vidonda vya tumbo ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia baada ya wiki moja mgonjwa huanza kupona na huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa
Kwa mawasiliano zaidi: call/WhatsApp 0658696120

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Onike Health Solutions posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share

Nearby clinics